Erick Shigongo: Hali ya maisha imekuwa ngumu mtaani

Erick Shigongo: Hali ya maisha imekuwa ngumu mtaani

I0000eVgOCtooS0U.jpg
T3-Chicken-feets-on-a-braai-stand.-Pic-file-.jpg

👆Hali ilivyo Nchini Wananchi wanashindia MLO MMOJA WA MIGUU YA KUKU na Raisi wetu amekuwa "KIGULU NA NJIA" Mfumuko wa BEI umemshinda UMEME umemshinda.
 
The problem will begin after election
 
Nimekumbuka clip ya juzi yule jamaa wa kule Nyamongo alivyokataliwa wazi wazi sasa Shigongo nae anacheza beat ile ile.

ccm ndo shida hii nchi wala mchawi asitafutwe!

Mama anasifiwa tu ila kwa ujumla nchi imemshinda!
 
"Watanzania hawana pesa mfukoni, Watanzania hawana pesa ya kununua, watu hawawezi kuendesha maisha, wachumi watakuwa wananielewa (mimi sio mchumi) nimesoma mahali hali ya mtu kuwa na mahitaji lakini hana pesa na naliongelea kwa sababu ni Wizara ya Viwanda na Biashara, Wizara ambayo inaratibu biashara katika Taifa letu, Mheshimiwa Mwenyekiti nikupe kwanza taswira ya hali yetu ya sasa kama Taifa, pato la Taifa linaongezeka, pato la kila mwananchi mmoja mmoja (per capital income) inaongezeka, balance of trade kati ya Tanzania na Kenya, Tanzania inauza zaidi Kenya kuliko Kenya wanavyouza Tanzania, shilingi ya Tanzania inaimarika kuliko shilingi Kenya, ni kweli zamani tulikuwa tunabadilisha shilingi ya Kenya kwa shilingi elfu 21 leo hii ni shilingi 15, ina maana shilingi yetu inaimarika licha ya uwepo wa UVIKO-19, vita vya Ukraine nk" -Shigongo

"Mheshimiwa Mwenyekiti hilo lipo kwenye vitabu, nikiwaeleza wananchi wa Buchosa kwamba per capital income imeongezeka, nikiwaeleza wananchi wa Buchosa kwamba GDP imeongezeka wananiambia GDP ndio nini wakat hawana kitu mfukoni, sina pesa mfukoni GDP ni kitu gani, tumeshindwa kushusha uchumi kutoka juu kwenda kwenye meza ya mwananchi wa kawaida, Mheshimiwa Mwenyekiti kwa nini tuko hapa?, tuko hapa kwa sababu ya vita nilizozitaja, tuko hapa kwa sababu ambazo awamu ya Tano (5) iliyafanya, awamu ya tano ilikuwa awamu ya kuthubutu, iliingia kwenye miradi mikubwa mikubwa ambayo si jambo baya, lakini hii maana yake ni kwamba mapato yakazidiwa na matumizi, certificate ya Bwawa ikiiva lazima Mwigulu achanganyikiwe" -Shigongo

"Mheshimiwa Mwenyekiti ndio hali tuliyonayo nyie wote niashahidi watu wanalalamika maisha ni magumu hawana pesa ya kununua, watu wanasitisha maisha yao kwaa sababu maisha ni magumu sana huko mtaani lakini, lakini bado magonjwa ya akili yanaongezeka, maisha yamekuwa magumu" -Shigongo

"Sekta za uchumi za nchi hii lazima zichangie pato la Taifa, hazichangii Mheshimiwa Mwenyekiti, agriculture (27%), tourisma imepanda kidogo, mining (10%), fishing (1.8%) Taifa letu ni tajiri mno sekta hazichangii, tunataka sekta za uchumi za nchi hii zichangie pato la Taifa ili mwisho wa siku kapu likijaa tupunguze hata kodi zetu, hakuna ubaya kapu likijaa tukasema VAT iwe 4% kwani shida nini, nikisema hivyo Wafanyabiashara wataenda kulipa kodi, faida zinaongezeka, Mheshimiwa Mwenyekiti watu hawalipi kodi, tax base yetu haifiki milioni sita (6) kwenye Taifa hili"

Mbunge huyo wa jimbo la Buchosa amezungumza hayo akiwa Bungeni, jijini Dodoma Februari 12, 2024
Ni lini maisha yakikuwaga rahisi?
 
Ngoja kwanza tuagize ndege watawala wasipate shida na zile V8 saba zilizopata ajali!
 
CCM ni janga la taifa
Wala hawajali wanajua pa kuwavuruza masikini na kuwafanya wawaamini
Eti mtu anazunguka nchi kwa mabilioni na umeme hakuna kila leo
Halafu mtu anajitokeza na kusema bila aibu eti transfoma 80 zimeibiwa seriously Dunia ya leo hata ng'ombe naweza kumuwekea chip nikampata itakuwa vyuma
Wanaiba ya ya kwanza kimya ya pili kimya
Eti ndio sababu hizi

Hawa ni zaidi ya laana
 
"Watanzania hawana pesa mfukoni, Watanzania hawana pesa ya kununua, watu hawawezi kuendesha maisha, wachumi watakuwa wananielewa (mimi sio mchumi) nimesoma mahali hali ya mtu kuwa na mahitaji lakini hana pesa na naliongelea kwa sababu ni Wizara ya Viwanda na Biashara, Wizara ambayo inaratibu biashara katika Taifa letu, Mheshimiwa Mwenyekiti nikupe kwanza taswira ya hali yetu ya sasa kama Taifa, pato la Taifa linaongezeka, pato la kila mwananchi mmoja mmoja (per capital income) inaongezeka, balance of trade kati ya Tanzania na Kenya, Tanzania inauza zaidi Kenya kuliko Kenya wanavyouza Tanzania, shilingi ya Tanzania inaimarika kuliko shilingi Kenya, ni kweli zamani tulikuwa tunabadilisha shilingi ya Kenya kwa shilingi elfu 21 leo hii ni shilingi 15, ina maana shilingi yetu inaimarika licha ya uwepo wa UVIKO-19, vita vya Ukraine nk" -Shigongo

"Mheshimiwa Mwenyekiti hilo lipo kwenye vitabu, nikiwaeleza wananchi wa Buchosa kwamba per capital income imeongezeka, nikiwaeleza wananchi wa Buchosa kwamba GDP imeongezeka wananiambia GDP ndio nini wakat hawana kitu mfukoni, sina pesa mfukoni GDP ni kitu gani, tumeshindwa kushusha uchumi kutoka juu kwenda kwenye meza ya mwananchi wa kawaida, Mheshimiwa Mwenyekiti kwa nini tuko hapa?, tuko hapa kwa sababu ya vita nilizozitaja, tuko hapa kwa sababu ambazo awamu ya Tano (5) iliyafanya, awamu ya tano ilikuwa awamu ya kuthubutu, iliingia kwenye miradi mikubwa mikubwa ambayo si jambo baya, lakini hii maana yake ni kwamba mapato yakazidiwa na matumizi, certificate ya Bwawa ikiiva lazima Mwigulu achanganyikiwe" -Shigongo

"Mheshimiwa Mwenyekiti ndio hali tuliyonayo nyie wote niashahidi watu wanalalamika maisha ni magumu hawana pesa ya kununua, watu wanasitisha maisha yao kwaa sababu maisha ni magumu sana huko mtaani lakini, lakini bado magonjwa ya akili yanaongezeka, maisha yamekuwa magumu" -Shigongo

"Sekta za uchumi za nchi hii lazima zichangie pato la Taifa, hazichangii Mheshimiwa Mwenyekiti, agriculture (27%), tourisma imepanda kidogo, mining (10%), fishing (1.8%) Taifa letu ni tajiri mno sekta hazichangii, tunataka sekta za uchumi za nchi hii zichangie pato la Taifa ili mwisho wa siku kapu likijaa tupunguze hata kodi zetu, hakuna ubaya kapu likijaa tukasema VAT iwe 4% kwani shida nini, nikisema hivyo Wafanyabiashara wataenda kulipa kodi, faida zinaongezeka, Mheshimiwa Mwenyekiti watu hawalipi kodi, tax base yetu haifiki milioni sita (6) kwenye Taifa hili"

Mbunge huyo wa jimbo la Buchosa amezungumza hayo akiwa Bungeni, jijini Dodoma Februari 12, 2024
Ajiuzulu ubunge aje kitaa tuungane
 
Back
Top Bottom