Ernest Sungura na Madudu ya gazeti la Uhuru: Kulikoni?

Ernest Sungura na Madudu ya gazeti la Uhuru: Kulikoni?

"Uhuru" imekuwa na nguvu kuliko "Mwanagaza"? Inastua kidogo.
Angalia BBC walivyoandika kipengele hicho cha mahojiano...

1628756367386.png
 
Angalia BBC walivyoandika kipengele hicho cha mahojiano...

View attachment 1889337
Asante sana! Lakini, najiuliza kwamba maamuzi ya Chama pia na nafsi yake haina utashi juu ya jambo hilo kwa sasa!? Ukizingatia binadamu tuna huluka ya kujiwekea mipango ya muda mfupi na muda mrefu huku tukijua Mungu ndiye muamuzi wa mwisho.

Hata hivyo, mbali na maswali yangu hayo, ninaungana na Mama kukataa mjadala wa ugombea urais 2025 kwa sasa. Sababu zipo wazi, uchumi wa nchi umetetereka kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo covid, pia Mama bado hata hajamaliza mwaka mmoja kwenye nafsai hiyo ya urahisi! Pia Mama ameshalitangazia taifa kuwa anataka kuimarisha uchumi kwanza.

Kwa hiyo kumuulizia habaza uchaguzi wa 2025 ni kuleta figisu za kisiasa zisizo na tija kwa taifa.
 
View attachment 1889313
Ernest Sungura, Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Communications aliyesimamishwa

Ernest Samson Sungura ni Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Communications aliyesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kosa la gazeti la Uhuru kumlisha maneno Raois Samia. Toleo lipo hapa chini.

Sungura ni miongoni mwa watu wachache makini ambao nimewahi kuona, tangu enzi zile akiwa Mkurugenzi wa Tanzania Media Foundation (TMF).

Nijuavyo mie, Sungura asingeweza kushindwa kuona kosa hilo lililiofanywa na gazeti la uhuru. Kulitokea nini hasa?

Ni vigumu kuacha kuamini tuhuma kwamba ametumiwa na ndugu zake maarufu kama sukuma gang!

Itabidi afanye kazi kubwa kujitetea...

View attachment 1889305
Tafsiri yake ni kuwa kama hana wazo hilo, kwa sasa anafanya nini? Au wazo halipo kwa sasa? Je, kwli haya hayapo kwenye clip ya BBC? Halafu, sakata hili linaonesha nia anayo, ingawaje sioni ubaya mtu kuwa na nia hiyo!
 
Tafsiri yake ni kuwa kama hana wazo hilo, kwa sasa anafanya nini? Au wazo halipo kwa sasa? Je, kwli haya hayapo kwenye clip ya BBC? Halafu, sakata hili linaonesha nia anayo, ingawaje sioni ubaya mtu kuwa na nia hiyo!
Ukisoma stori ndani iko sawa.
Heading haiko sawa,
Wameandika "Sina wazo la Urais 2025"
Suppose wangeandika "Sijawaza Urais wa 2025"
Au wakaandika "Bado sina wazo la Urais 2025"
Unaona tofauti?
 
Vetting iliyompata jpm ndyo iliyompata ssh kuwa vp kama hafai basi wote hawakufaa kuwa marais wa nchi hii
Kikwete alisema yeye ndio aliingia na jina la Magufuli mfukoni. Ulisikiliza hotuba yake ya Chato?

Mama Samia alisema yeye alikuwa ni mjumbe tu wa kamati kuu akashangaa ameitwa chamber akapewa ugombea mwenza, hata yeye alishangaa kwerii kwerii.
 
Acha hizo bana, mtu makini hawezi kufanya kazi kwenye hicho kijarida za kufungia mandazi.
 
View attachment 1889313
Ernest Sungura, Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Communications aliyesimamishwa

Ernest Samson Sungura ni Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Communications aliyesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kosa la gazeti la Uhuru kumlisha maneno Raois Samia. Toleo lipo hapa chini.

Sungura ni miongoni mwa watu wachache makini ambao nimewahi kuona, tangu enzi zile akiwa Mkurugenzi wa Tanzania Media Foundation (TMF).

Nijuavyo mie, Sungura asingeweza kushindwa kuona kosa hilo lililiofanywa na gazeti la uhuru. Kulitokea nini hasa?

Ni vigumu kuacha kuamini tuhuma kwamba ametumiwa na ndugu zake maarufu kama sukuma gang!

Itabidi afanye kazi kubwa kujitetea...

View attachment 1889305
Sina wasiwasi kwamba kauli hii ilitolewa lkn kwenye mahojiano yake na Kikeke ila ilihaririwa huku yeye akikimbilia kuiandika. Wenyewe huiita scoop.
 
Huyu dada wa Taifa anachezewa sana na Wasukuma.

Yuko bize na MBOWE kumbe maadui zake hatari ni wale anaokula nao meza moja, huku wakigonganisha glass zao
Ameweka pamba kwenye masikio
Lakini cha kushangaza ni hata wateule wake wakwe shemeji wakamwana nk wanashindwa kumsaidia kweli?
Yupo kwenye denial au naive au anaburuzwa na msogwa jazz band
Nchi imevurugwa
Wastaafu wapo tu
Jeshi lipo tu
Makanisa yapo tu
Misikiti ipo tu
Balozi zipo tu
Inafikirisha haileti maana....
Mlango wa kutokea ni upi Nchi ipo kwenye giza nene
Wa Singida Kigoma Mwanza Tabora Shinyanya Nzega wana mpambano hatari kushika nchi
 
Back
Top Bottom