Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Huu mtego baraza la habari wamejaa kiboya sana, kufungiwa na wakasisitiza adhabu watetezi wa vyombo vya habari wamejichanganya
Sio ajabu hii ndio strategy ya mama kuelekea kuviminya na wakija kuuliza atatoa mfano wa alikishughulikia chombo cha habari kinachomilikiwa na chama chake mwenyewe.
Nimemsikiliza Balile jana nkasema huku ni kujichanganya, walipaswa kulitetea hili gazeti kwa kwenda mbali keenye content ya habari si kichwa cha habari wangesema hata nibtyping error basi.
Wanaharakati wa habari mmechemka sana
Mama anazidi kuupiga mwingi.
Sio ajabu hii ndio strategy ya mama kuelekea kuviminya na wakija kuuliza atatoa mfano wa alikishughulikia chombo cha habari kinachomilikiwa na chama chake mwenyewe.
Nimemsikiliza Balile jana nkasema huku ni kujichanganya, walipaswa kulitetea hili gazeti kwa kwenda mbali keenye content ya habari si kichwa cha habari wangesema hata nibtyping error basi.
Wanaharakati wa habari mmechemka sana
Mama anazidi kuupiga mwingi.