Ernest Sungura na Madudu ya gazeti la Uhuru: Kulikoni?

Ernest Sungura na Madudu ya gazeti la Uhuru: Kulikoni?

Huu mtego baraza la habari wamejaa kiboya sana, kufungiwa na wakasisitiza adhabu watetezi wa vyombo vya habari wamejichanganya

Sio ajabu hii ndio strategy ya mama kuelekea kuviminya na wakija kuuliza atatoa mfano wa alikishughulikia chombo cha habari kinachomilikiwa na chama chake mwenyewe.

Nimemsikiliza Balile jana nkasema huku ni kujichanganya, walipaswa kulitetea hili gazeti kwa kwenda mbali keenye content ya habari si kichwa cha habari wangesema hata nibtyping error basi.

Wanaharakati wa habari mmechemka sana
Mama anazidi kuupiga mwingi.
 
View attachment 1889313
Ernest Sungura, Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Communications aliyesimamishwa

Ernest Samson Sungura ni Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Communications aliyesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kosa la gazeti la Uhuru kumlisha maneno Raois Samia. Toleo lipo hapa chini.

Sungura ni miongoni mwa watu wachache makini ambao nimewahi kuona, tangu enzi zile akiwa Mkurugenzi wa Tanzania Media Foundation (TMF).

Nijuavyo mie, Sungura asingeweza kushindwa kuona kosa hilo lililiofanywa na gazeti la uhuru. Kulitokea nini hasa?

Ni vigumu kuacha kuamini tuhuma kwamba ametumiwa na ndugu zake maarufu kama sukuma gang!

Itabidi afanye kazi kubwa kujitetea...

View attachment 1889305
Acha laana ya uchafuzi wa 28/10/2020 iwatafune.
 
Ameweka pamba kwenye masikio
Lakini cha kushangaza ni hata wateule wake wakwe shemeji wakamwana nk wanashindwa kumsaidia kweli?
Yupo kwenye denial au naive au anaburuzwa na msogwa jazz band
Nchi imevurugwa
Wastaafu wapo tu
Jeshi lipo tu
Makanisa yapo tu
Misikiti ipo tu
Balozi zipo tu
Inafikirisha haileti maana....
Mlango wa kutokea ni upi Nchi ipo kwenye giza nene
Wa Singida Kigoma Mwanza Tabora Shinyanya Nzega wana mpambano hatari kushika nchi
Sasa ni rasmi vita kati ya Sukuma gang na mshika fedha wa Kinyiramba
 
Back
Top Bottom