Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ule mpambano wa kukata na shoka kati ya Mikey Garcia na Errol Spence hatimaye umewadia.
Errol Spence anatetea mkanda wake wa IBF dhidi ya Mikey Garcia.
Mikey Garcia amepanda uzito mara mbili ili kumchallange Errol Spence , vilevile Garcia ni bingwa wa dunia mara nne katika uzito tofauti tofauti wakati Spence yeye anapigana katika uzito wa Welterweight pekee.
Garcia imepigana jumla ya mapambano 39, 30 ameshinda kwa K.O na hakuwahi kupigwa wala kutoa sare (39-0-0) ,kwa upande wa umri ana miaka 31, urefu wa mita 1.6 na uzito wa Kg 61 , ni Orthodox
Spence amepigana jumla ya mapambano 24, 21 ameshinda kwa K.O 3 ,hakuwahi kupigwa wala kutoa sare (24-0-0) , ana umri wa miaka 29, urefu wa mita 1.7, uzito wa Kg 67 yeye ni southpaw.
Sasa je nani atapoteza title ya undefeated????
Majibu yote tutayapata usiku wa leo.
Errol Spence anatetea mkanda wake wa IBF dhidi ya Mikey Garcia.
Mikey Garcia amepanda uzito mara mbili ili kumchallange Errol Spence , vilevile Garcia ni bingwa wa dunia mara nne katika uzito tofauti tofauti wakati Spence yeye anapigana katika uzito wa Welterweight pekee.
Garcia imepigana jumla ya mapambano 39, 30 ameshinda kwa K.O na hakuwahi kupigwa wala kutoa sare (39-0-0) ,kwa upande wa umri ana miaka 31, urefu wa mita 1.6 na uzito wa Kg 61 , ni Orthodox
Spence amepigana jumla ya mapambano 24, 21 ameshinda kwa K.O 3 ,hakuwahi kupigwa wala kutoa sare (24-0-0) , ana umri wa miaka 29, urefu wa mita 1.7, uzito wa Kg 67 yeye ni southpaw.
Sasa je nani atapoteza title ya undefeated????
Majibu yote tutayapata usiku wa leo.