Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Usajili wake kwa biometrics inakuwaje?
Usajili ni vile vile tu, profile utayopewa na mobile operator itaambatanishwa na taarifa zako binafsi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usajili wake kwa biometrics inakuwaje?
Je ikiibiwa au kuokotwa atakayekuwa nayo anaweza kufanyiwa hiyo configuration au?Kuna mdau uko juu katoa ufafanuzi kuwa unaenda TIGO au VODA wanakufanyia configuration nadhani itakuwa hivyo
Unaongelea CDMAMkuu kipindi hicho nilikuwa naona tu wanaelekezana uende MAKAO MAKUU sasa sijui walifanikiwa au ilikuaje ila nakumbuka miaka hiyo HataTTCL walitoaga simu za AINA hiyo hazikuwa na sehemu ya kuweka laini
Ilitokeag kuna mtu alikiokotaga kimeunganishwa na TTCL kila tukiatafuta tutie laini wapi JAMAA akiwasha tu kinapigwa na mwenyewe mpk akairudisha
Mimi nimeongelea kuwajuza kwamba hiyo mifumo sio mipya ni tangu zamani
Hiyo story nilokupigia ni mwaka 2004 au 2006 km sikosei sema sikuwa najua kama ndo inaitwa Esim ila kuanza kuiona nilianza kuiona kitambo sana
Kuna mdau uko juu katoa ufafanuzi kuwa unaenda TIGO au VODA wanakufanyia configuration nadhani itakuwa hivyo
Mm sikuwahi kumiliki simu ya aina hiyo na ni miaka mingi sana hata 15 inapita tangu mara ya mwisho nione simu ya hvyo
nilivyoona hii thread ndio nikakumbuka
Anaongelea CDMA ambayo TTCL aliikumbatia mwisho kampuni ikafa maana makampuni mengine yalikuja na teknolojia mpyaHakuna huduma ya eSIM Tanzania,wala haijawahi kuwepo. Nimeenda tigo, Vodacom na Airtel na Samsung yenye line moja na esim nimeambiwa hivyo
Airtel wanayoMimi nimeona hii kwenye simu ni provider gani kwasasa hap TZ
HIyo hand set ni aina gani mkuu?,View attachment 2511401
Kama hiyo
ipo kwa airtelHakuna huduma ya eSIM Tanzania,wala haijawahi kuwepo. Nimeenda tigo, Vodacom na Airtel na Samsung yenye line moja na esim nimeambiwa hivyo
Airtel tz wanataka uduma ya esimHakuna huduma ya eSIM Tanzania,wala haijawahi kuwepo. Nimeenda tigo, Vodacom na Airtel na Samsung yenye line moja na esim nimeambiwa hivyo
Airtel wanayo,labda kama handset yako haina huo uwezo.Nenda kwenye ofisi za airtel wakuangalizieHakuna huduma ya eSIM Tanzania,wala haijawahi kuwepo. Nimeenda tigo, Vodacom na Airtel na Samsung yenye line moja na esim nimeambiwa hivyo
Hakuna huduma ya eSIM Tanzania,wala haijawahi kuwepo. Nimeenda tigo, Vodacom na Airtel na Samsung yenye line moja na esim nimeambiwa hivyo