eSIM ni kitu gani? nini tofauti yake na SIM(Line za kawaida)?

Unaongelea CDMA
 
Hakuna huduma ya eSIM Tanzania,wala haijawahi kuwepo. Nimeenda tigo, Vodacom na Airtel na Samsung yenye line moja na esim nimeambiwa hivyo
Anaongelea CDMA ambayo TTCL aliikumbatia mwisho kampuni ikafa maana makampuni mengine yalikuja na teknolojia mpya
 
eSim kwa Tz tatizo ni makampuni
 
Airtel Tanzania wamekuja na huduma ya eSIM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…