Esma Platnum amefanya exclusive interview na Zamaradi amefunguka mengi kuhusu ndoa yake iliyopita

Huyu mdada anajisahau anafikiri anaweza kupendewa na Kijana kizembekixembe. Usichana wake was over ana watoto kadhaa sasa watu wanakwenda kimaslahi
 
HAPA ndipo napomuaminigi MANGE KIMAMBI maana alisema siku ileile kuwa Jamaa Msizwa ni mtu wa Biashara za Pakistan lakini watu wakaona ni wivu tu.
Leo nimeamini Mange ni taasisi na sio mtu kama tunavyomuona.
Hata kama ni hasira lakini kwa mtu uliyelala nae kitanda kimoja huwezi kufunguka namna ike na unajua kipindi kitarushwa. Msizwa hata j
Kama alikwenda kimaslahi u Tandale aliokutana nao hana hamu.
 
Hata kama ni hasira lakini kwa mtu uliyelala nae kitanda kimoja huwezi kufunguka namna ike na unajua kipindi kitarushwa. Msizwa hata j
Kama alikwenda kimaslahi u Tandale aliokutana nao hana hamu.
Shida ni kwamba MSIZWA pia anaongea huko kwenye Ma-intavyuu, sasa katika hali hiyo kukaa kimya inamaanisha ni kuthibitisha/kukubaliana na anayoyasema, Mimi nadhani alichofanya ESMA ni sahihi dawa na MSANII ni kuwa Msanii zaidi yake.
 
Proposal ya 200m ingetiki hata wewe ungepewa kazi ulishe familia yako hapo Kibondemaji
 
HAPA ndipo napomuaminigi MANGE KIMAMBI maana alisema siku ileile kuwa Jamaa Msizwa ni mtu wa Biashara za Pakistan lakini watu wakaona ni wivu tu.
Leo nimeamini Mange ni taasisi na sio mtu kama tunavyomuona.
Mange hajawahi kukosea ktk kusema ukweli.
 
Umeandika nini sasa🙄🙄 Au leo umesahau kumeza dawa?
Namaanisha ukiwa unamponda jamaa uangalie na upande mwingine endapo ingetiki hata wewe ungenufaika pale lounge TMK
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] heeeh mama na wew huwa unaandika km haya?
Huyo niliyemjibu nadhani kuna vitu vimeachana kichwani kha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…