Esma Platnum amefanya exclusive interview na Zamaradi amefunguka mengi kuhusu ndoa yake iliyopita

Esma Platnum amefanya exclusive interview na Zamaradi amefunguka mengi kuhusu ndoa yake iliyopita

Esma ame Eleza kwa kirefu jinsi alivyokutanavna aliyekuwa mume wake Msizwa, ndoa ilivyokua, maisha ya ndoa na mipango yake ya baadae.

Esma amekanusha kuwa hakutoa ujauzito wa Msizwa bali alikua wana matatizo ya kutoka Mwana damu, tatizo lililopelekea yeye kulazwa hospitali.

Siku ya harusi mama aliyetambulishwa hakuwa mama yake mzazi Msizwa. Mama wa Msizwa Esma alikuja kumjua baadae akiwa kwenye ndoa.

Huyu mdada anajisahau anafikiri anaweza kupendewa na Kijana kizembekixembe. Usichana wake was over ana watoto kadhaa sasa watu wanakwenda kimaslahi
 
HAPA ndipo napomuaminigi MANGE KIMAMBI maana alisema siku ileile kuwa Jamaa Msizwa ni mtu wa Biashara za Pakistan lakini watu wakaona ni wivu tu.
Leo nimeamini Mange ni taasisi na sio mtu kama tunavyomuona.
Hata kama ni hasira lakini kwa mtu uliyelala nae kitanda kimoja huwezi kufunguka namna ike na unajua kipindi kitarushwa. Msizwa hata j
Kama alikwenda kimaslahi u Tandale aliokutana nao hana hamu.
 
Hata kama ni hasira lakini kwa mtu uliyelala nae kitanda kimoja huwezi kufunguka namna ike na unajua kipindi kitarushwa. Msizwa hata j
Kama alikwenda kimaslahi u Tandale aliokutana nao hana hamu.
Shida ni kwamba MSIZWA pia anaongea huko kwenye Ma-intavyuu, sasa katika hali hiyo kukaa kimya inamaanisha ni kuthibitisha/kukubaliana na anayoyasema, Mimi nadhani alichofanya ESMA ni sahihi dawa na MSANII ni kuwa Msanii zaidi yake.
 
Ila huyo Msizwa nae maneno meeeengi, usanii mwingiii, janjajanja tuu

Hongera kwake Esma kwa kutumia akili yake sawasawa vinginevyo angempelekea lile bag yule M-Pakistan kule Zanzibar angeweza kuwa na mama wa vibubu segerea

Na zile tuhuma za Mange sio za uongo
Proposal ya 200m ingetiki hata wewe ungepewa kazi ulishe familia yako hapo Kibondemaji
 
HAPA ndipo napomuaminigi MANGE KIMAMBI maana alisema siku ileile kuwa Jamaa Msizwa ni mtu wa Biashara za Pakistan lakini watu wakaona ni wivu tu.
Leo nimeamini Mange ni taasisi na sio mtu kama tunavyomuona.
Mange hajawahi kukosea ktk kusema ukweli.
 
Umeandika nini sasa🙄🙄 Au leo umesahau kumeza dawa?
Namaanisha ukiwa unamponda jamaa uangalie na upande mwingine endapo ingetiki hata wewe ungenufaika pale lounge TMK
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] heeeh mama na wew huwa unaandika km haya?
Huyo niliyemjibu nadhani kuna vitu vimeachana kichwani kha!
 
Back
Top Bottom