Esmail Qaani; Kamanda wa Majeshi ya Iran Ambaye Ametoweka, Yasemekana Alikuwa Mossad Agent

Esmail Qaani; Kamanda wa Majeshi ya Iran Ambaye Ametoweka, Yasemekana Alikuwa Mossad Agent

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
IMG-20241019-WA0066.jpg

Esmail Qaani ni kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) la Iran, hasa tawi la Vikosi vya Quds, ambalo linahusika na operesheni za kijeshi nje ya Iran. Aliteuliwa kuwa kamanda wa Vikosi vya Quds mnamo Januari 2020 baada ya kifo cha Qasem Soleimani, aliyekuwa kamanda wa vikosi hivyo kabla yake.

Kama kiongozi wa Vikosi vya Quds, Qaani anahusika na uratibu wa sera za kijeshi na kijasusi za Iran katika nchi za Mashariki ya Kati kama vile Iraq, Syria, Lebanon, na Yemen, ambapo Iran ina maslahi ya kijiopolitiki. Qaani alikuwa na uzoefu wa muda mrefu katika jeshi la Iran, na amekuwa na jukumu muhimu katika kuimarisha ushawishi wa Iran katika kanda hiyo.

Iko siku tutasikia kuwa hata Ayatollah Seyyid Ali Khamenei naye alikuwa wakala wa Mossad. Mbona hauawi??
 
Uyo mjomba yupo Iran ilishakwisha iyo story ilikuwa uhongo wa zayuni. Juzi kati alikuwepo ktk mazishi y kamanda mwenzie.sooo akuna iyo y ujasus yupo Iran akiendelea na majukum yake.
 

Esmail Qaani ni kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) la Iran, hasa tawi la Vikosi vya Quds, ambalo linahusika na operesheni za kijeshi nje ya Iran. Aliteuliwa kuwa kamanda wa Vikosi vya Quds mnamo Januari 2020 baada ya kifo cha Qasem Soleimani, aliyekuwa kamanda wa vikosi hivyo kabla yake.

Kama kiongozi wa Vikosi vya Quds, Qaani anahusika na uratibu wa sera za kijeshi na kijasusi za Iran katika nchi za Mashariki ya Kati kama vile Iraq, Syria, Lebanon, na Yemen, ambapo Iran ina maslahi ya kijiopolitiki. Qaani alikuwa na uzoefu wa muda mrefu katika jeshi la Iran, na amekuwa na jukumu muhimu katika kuimarisha ushawishi wa Iran katika kanda hiyo.

Iko siku tutasikia kuwa hata Ayatollah Seyyid Ali Khamenei naye alikuwa wakala wa Mossad. Mbona hauawi??
Waajemi wamejikaanga kwa mafuta yao wenyewe
 

Esmail Qaani ni kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) la Iran, hasa tawi la Vikosi vya Quds, ambalo linahusika na operesheni za kijeshi nje ya Iran. Aliteuliwa kuwa kamanda wa Vikosi vya Quds mnamo Januari 2020 baada ya kifo cha Qasem Soleimani, aliyekuwa kamanda wa vikosi hivyo kabla yake.

Kama kiongozi wa Vikosi vya Quds, Qaani anahusika na uratibu wa sera za kijeshi na kijasusi za Iran katika nchi za Mashariki ya Kati kama vile Iraq, Syria, Lebanon, na Yemen, ambapo Iran ina maslahi ya kijiopolitiki. Qaani alikuwa na uzoefu wa muda mrefu katika jeshi la Iran, na amekuwa na jukumu muhimu katika kuimarisha ushawishi wa Iran katika kanda hiyo.

Iko siku tutasikia kuwa hata Ayatollah Seyyid Ali Khamenei naye alikuwa wakala wa Mossad. Mbona hauawi??
🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa Ayatollah
 
Kuna wajinga tukiwashauri waachane na Wayahudi wanatuona kana kwamba sisi ni ma ayatolla yaani ni watu bule na tusiowapenda
 
Kama wamemuua Hanniyyeh, NASRALLAH, Sinwar unadhani hawajui aliko Ayatollah?
Sasa Bw. Ndugu kwani unafikiri Iran ikitaka kumuua Netanyahu watashindwa?

Kama Hizbullah wamepitisha drones mpaka kwenye makazi ya Netanyahu Iran itashindwa?
 
Sasa Bw. Ndugu kwani unafikiri Iran ikitaka kumuua Netanyahu watashindwa?

Kama Hizbullah wamepitisha drones mpaka kwenye makazi ya Netanyahu Iran itashindwa?
Wameshindwa tayari. Drone imepita offpoint
 
Wameshindwa tayari. Drone imepita offpoint
Suala siyo kushindwa suala ni kuweza kukwepa mifumo ya ulinzi na kusafiri umbali wa 70km ndani ya Israel na kupiga hayo makazi.

Juzi kambi ya jeshi ilipigwa wakati wa wanajeshi wakipata dinner.

Kingine inaonyesha kwamba na wao wana intelijensia inayofuatilia kwa undani mwenendo wa viongozi wa Israel.

Hili suala halipo sawa na siyo jepesi.
 
Back
Top Bottom