Wamesema kwenye tv, simu au kishabiki ulipoona tu wanashangilia.Tv ya taifa ya Tunisia, Tunis tv. Jana walionyesha mashaniki wa Esperence wakisheherekea kwenye viunga vya mji wa Tunis baada ya kuambiwa kuwa hawakutani na simba sc ya Tanzania. Wanasema bora wakutane nao kwenye fainali kuliko kipindi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hesabu ukiijua haikusumbui, Simba walicheza na namba ila Vyura nyie Lipuli wanawaogopa??weka ushahidi. maana mikia mnajikuza sana... timu ipigwe magoli 13 mechi 6.. mabingwa watetezi esperence waiogope
unajua mpaka anatwaa ubingwa amekutana na kina nani stage zote.. halafu aogope mkia
Tv ya taifa ya Tunisia, Tunis tv. Jana walionyesha mashaniki wa Esperence wakisheherekea kwenye viunga vya mji wa Tunis baada ya kuambiwa kuwa hawakutani na simba sc ya Tanzania. Wanasema bora wakutane nao kwenye fainali kuliko kipindi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mashabiki walikuwa wanashangilia kutokutana na Simba?? Yaani umeigeuza au unaigeuza Jamii Forums kuwa mtandao wa mipasho? Yaani hujui kuwa JF ni mtandao uliojikita kwenye habari za kina, uchambuzi na hoja za nguvu?? unadhani hapa ni facebook au group la Whatsaap??
Wakongo watakubishia. Bana Kongo banaoishi Tanzanie biko na mayele pomoni πππππTv ya taifa ya Tunisia, Tunis tv. Jana walionyesha mashaniki wa Esperence wakisheherekea kwenye viunga vya mji wa Tunis baada ya kuambiwa kuwa hawakutani na simba sc ya Tanzania. Wanasema bora wakutane nao kwenye fainali kuliko kipindi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unateseka mkuu. Wakat mods wame google hii habari na wameikutaCha ajabu mods wamekaa kimya