Tv ya taifa ya Tunisia, Tunis tv. Jana walionyesha mashaniki wa Esperence wakisheherekea kwenye viunga vya mji wa Tunis baada ya kuambiwa kuwa hawakutani na simba sc ya Tanzania. Wanasema bora wakutane nao kwenye fainali kuliko kipindi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app