- Thread starter
- #21
Unateseka mkuu. Nenda kwenye wesite ya tunis tv utaona hiyo habariYaani mashabiki walikuwa wanashangilia kutokutana na Simba?? Yaani umeigeuza au unaigeuza Jamii Forums kuwa mtandao wa mipasho? Yaani hujui kuwa JF ni mtandao uliojikita kwenye habari za kina, uchambuzi na hoja za nguvu?? unadhani hapa ni facebook au group la Whatsaap??
Sent using Jamii Forums mobile app