Esperence waifurahia kutopangwa na simba

Unateseka mkuu. Nenda kwenye wesite ya tunis tv utaona hiyo habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka nikawa najiuliza hivi simba inatisha kiasi hiki mpaka mabingwa wa africa wanaiogopa. Ila hapa bongo kuna baadhi ya timu wanaidharau simba. Kweli nabii hathaminiwi kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika timu zilizokua pale kila timu ilikua inaomba dua ipangwe na simba.kwakua unauhakika ukiwa kwako unapata goli nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli shukran ya punda mateke baada ya kuwasogezea nafadi ya kushiriki champions league vyura wameanza kejeli
 
Unateseka sana. Nakiwekea link subiri

Sent using Jamii Forums mobile app

Esperance washangilie kutopewa simba!!!! Unaijuwa Esperance kamanda?? Na ndio club inatisha all africans, tokea michuano hii ianze hawakupoteza game hata moja...mimi ni shabiki wa Wydad Casablanca...but nawapa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa Esperance.....Note my words!!


Home, Simba 2-1 Tp Mazembe
Away, Tp Mazembe 3-1 Sim
ba
 
Simba 3-0Mazembe

Away

Mazembe 4-1Simba

Simba anafuzu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…