Uchaguzi 2020 Ester Bulaya aiua CCM Bunda kifo cha kikatili mno. Uzinduzi wa kampeni wadhihirisha

Tuwekee video tusikie kajibuje hoja za JPM
 
Wananchi wa Bunda mnajitia viburi eeeh.

Daktari Mwalimi nguli Magufuli mtoto wa Chato alishasema mkichagua mbunge wa upinzani mtajuta kwa sababu mkichagua wapinzani mnamuudhi.

Kuna mizee inadeka kama mitoto ya shule za vidudu.
 
Duh, huu ni umati wa kumsikiliza mgombea wa urais au ubunge? Hongereni Bunda. Mmetupa fundisho.
 
hizi ni picha za mkutano wa lissu
 
Kweli nimeamini watanzania wana jambo lao October 28 na ni LAZIMA litimie.. mtaa wa saba wamebakia midogo wazi kama wamefumaniwa!!
Hakuna aliyetegemea come back kali namna hii baada ya kuzibwa midogo kwa miaka yote 5.

Hongera sana watanzania, kweli safari hii mmeamua kweli kweli. Piganieni nchi yenu irudi katika misingi yake ya Upendo, Haki na Mshikamano. mrudi kwenye enzi zenu za siasa kama utani na si vita.
 
Wananchi wa nchi hii hivi sasa hawaogopi tena vitisho vyake Jiwe na chama chake cha CCM..............

Eti sitaleta maendeleo kwenye maeneo watakayochagua wapinzani!

Utadhani hiyo pesa ya maendeleo anaitoa mfukoni mwake yeye mwenyewe Jiwe, wakati ni pesa inayotoka Hazina, ambapo ni pesa za walipa kodi wa nchi hii, wanaccm na wana Chadema na wasio na chama.

Kwa ubaguzi anaoonyesha wazi wazi, basi ni bora angewatangazia wananchi hao anaowatisha ili awaeleze pia iwapo watachagua wapinzani hawataendelea kulipa kodi
 
Bunda mmetisha fukuza hao ccm mbali kabsa.nikirusi zaidi ya corona.
 
Hiyo Ni matokeo ya katiba mbovu, mtu mmoja anazuia maendeleo wakati Kuna bunge
 
Hata kama wewe kwanini usishangae!!,kupigwa risasi Lissu ndo imekuwa sera ya waomba kura wote wa Chadema?
Tukio la Lissu bado ni tata ana/wana haki ya kulisema, na unaposema ndio sera ya waomba kura wote ni uongo ulipitiliza. (Nisiliseme hili tuliambiwa lisijadiliwe eti)

Mbona mkuu hukushangaa hoja za kibaguzi za mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…