Uchaguzi 2020 Ester Bulaya aiua CCM Bunda kifo cha kikatili mno. Uzinduzi wa kampeni wadhihirisha

Uchaguzi 2020 Ester Bulaya aiua CCM Bunda kifo cha kikatili mno. Uzinduzi wa kampeni wadhihirisha

Duh!! Uwezo wako ni wa ajabu sana. Hebu tuambiwe ni nini kilichosemwa!
Kuna lugha ya picha,ukiona picha tu kwa macho unajua kinachoendelea.
haya mambo ni makubwa wewe huwezi juwa.
 
Wana akili timamu zitakazoendelea kuwakosti. Maji tu shida hapo na Bulaya hana uwezo wa kuwapelekea maji. Wasira alipelekaga mradi wa kuchimba mbwawa chini ya Ikuzu kule, tangu Bulaya aingie limekuwa josho la mifugo na hakuna cha mradi wala babu yake mradi.
Kwa taarifa yako maji Mwanza ni shida kuliko bunda...... Ccm ni chama cha kigaidi na hii ni serikali ya kishetani
 
Back
Top Bottom