Uchaguzi 2020 Ester Bulaya aiua CCM Bunda kifo cha kikatili mno. Uzinduzi wa kampeni wadhihirisha

Uchaguzi 2020 Ester Bulaya aiua CCM Bunda kifo cha kikatili mno. Uzinduzi wa kampeni wadhihirisha

Tukio la Lissu bado ni tata ana/wana haki ya kulisema, na unaposema ndio sera ya waomba kura wote ni uongo ulipitiliza. (Nisiliseme hili tuliambiwa lisijadiliwe eti)

Mbona mkuu hukushangaa hoja za kibaguzi za mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM ?
Kupigwa risasi kwa Lissu mwananchi wa kawaida akumuhusu.labda kama mnahitaji kura za huruma ambazo amuwezi pata kamwe.
Nafatilia kampeni za mgombea wa CCM sijawai kusikia hoja za kibaguzi.
nachosikia mimi ni sera mwanzo mwisho.
 
Ukiangalai kwa makini hizo picha,wananchi wanaonekana kabisa wanashangaa,hawaelewi kinachoongelewa kwenye jukwaa hakiusiani na maisha yao ya kawaida.
Kama mikutano ya chama fulani watu wanashangaa wasanii tu
 
Hebu nisaidieni, hivi usemi maendeleo hayana vyama maana yake ni nini!
 
Safi sana Wananchi wa Mara..

Nyie siyo wa kufokewa fokewa namna ile yule jamaa kaharibu sana kwa kauli zake zile.
Msifanye makosa Oktoba 28 mjitokeze kwa wingi kwenda kumaliza kazi .
Ili ajue watu wa Mara hawana mchezo ,huwezi kwenda kufokea wapiga kura.
Eti Maji Wasira mwenyewe alikuwa waziri wa Maji na hakupeleka Maji huko .

Uzuri watu wa huko mna misimamo najua hamtowaangusha wagombea wa Chadema.
 
Kupigwa risasi kwa Lissu mwananchi wa kawaida akumuhusu.labda kama mnahitaji kura za huruma ambazo amuwezi pata kamwe.
Nafatilia kampeni za mgombea wa CCM sijawai kusikia hoja za kibaguzi.
nachosikia mimi ni sera mwanzo mwisho.
Mpaka sasa nimeshakuelewa ni mtu wa aina gani !

Asante kwa muda wako
 
Tuwekee video tusikie kajibuje hoja za JPM
Alikuwa na hoja gani zaidi ya ubaguzi?
Kama hatapeleka maendeleo Mara kwa kuchagua upinzani na ofisi zote za TRA na halmashauri zifungwe ili wananchi wasitozwe kodi.

Don't support nonsense!
 
Ukiangalai kwa makini hizo picha,wananchi wanaonekana kabisa wanashangaa,hawaelewi kinachoongelewa kwenye jukwaa hakiusiani na maisha yao ya kawaida.
Kwa hiyo ulitaka wawawekee miziki ya wale waigizaji wenu?
 
Hongera sana Madam Esta Bulaya .Rais ana wawakilishi wateule wake kuanzia ngazi ya Mkoa,RC,RAS,DC,DAS..... huu ushamba wa kutisha watu eti pesa zitakosa wasimamizi mkichagua mbunge ama diwani upinzani unatoka wapi!? Barabara Kubwa Bunda ipo chini Tanroad.Tunahitaji wawakilishi wa kuhoji na kuisimamia serikali sio wapiga makofi na washanguliaji wanafiki wanaomini wanapata nafasi kwa matakwa ya Rais/ mwenyekiti wa ccm.Tukemee ubaguzi,ujinga na ushamba huu kuligawa taifa.
 
Mbunge wa bunda mh Ester Bulaya leo hii amefanya mkutano wa ufunguzi wa kampeini kwa kishindo kikuu mjini bunda.

Mkutano huu imekuwa ni majibu tosha kwa mkutano wa jana wa mgombea wa ccm ulio fanyika musoma huku yakitokea ya kutokea kama tulivyo sikia.

Hizi ni salaam kwa wana ccm kuwa safari hii wananchi wameichoka kabisa.

Tanzania bila ccm inawezekana.
20200907_191550.jpg
Screenshot_20200907-191519.jpg
Screenshot_20200907-191503.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom