Uchaguzi 2020 Ester Bulaya aiua CCM Bunda kifo cha kikatili mno. Uzinduzi wa kampeni wadhihirisha

Duh!! Uwezo wako ni wa ajabu sana. Hebu tuambiwe ni nini kilichosemwa!
Kuna lugha ya picha,ukiona picha tu kwa macho unajua kinachoendelea.
haya mambo ni makubwa wewe huwezi juwa.
 
Kwa taarifa yako maji Mwanza ni shida kuliko bunda...... Ccm ni chama cha kigaidi na hii ni serikali ya kishetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…