Ester Bulaya ameolewa?

fulsa hyooo
 
Hapo nina kajambo nakajua ila naogopa kumjoin Lema
Mkuu....
Bora ukaage kimya ili usikutane na mkono wa sheria ya m 7.
Kuna jamaa flani yupo kwenye kitengo aliwahi kunimegea habari ya yule mama.
Yaani nilibaki kinywa wazi kama vile ilikua ni hadithi ya kutunga.
Ngoja niishie hapa tafadhali
 
Itakuwa siasa imewanyumbulisha!
 
Mkuu....
Bora ukaage kimya ili usikutane na mkono wa sheria ya m 7.
Kuna jamaa flani yupo kwenye kitengo aliwahi kunimegea habari ya yule mama.
Yaani nilibaki kinywa wazi kama vile ilikua ni hadithi ya kutunga.
Ngoja niishie hapa tafadhali
mmh kwa jinsi ulivyoandika basi habari yako inafanana na yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…