Hivi uliwahi hata kuona mlango wa jengo la chekechea?Hakuna Cha kumuuwa labda atake MUNGU tu na hizo porojo zenu eti raisi ajitokeze ajitokeze wapi? Mtaa wa ufipa au mloganzila? Bungeni? Au azurure tu Kama DJ makengeza? Mnataka inchi hata utaratibu wa uongozi hamuujui, uraisi sio sawa na kushika santuri bilicanas