Hivi uliwahi hata kuona mlango wa jengo la chekechea?Hakuna Cha kumuuwa labda atake MUNGU tu na hizo porojo zenu eti raisi ajitokeze ajitokeze wapi? Mtaa wa ufipa au mloganzila? Bungeni? Au azurure tu Kama DJ makengeza? Mnataka inchi hata utaratibu wa uongozi hamuujui, uraisi sio sawa na kushika santuri bilicanas
Hawaoni viongozi wenzakeUnataka akae reception pale mloganzila, au ashike bomba la sindano pale muhimbili?
Kwani walioolewa wana akili gani?
Huyo Esther Bulaya ubunge ausahau maisha take yote. Na Magufuli ndio Rais wako hadi 2025!Bulaya yuko sahihi Magufuli hafai ajiuzulu
Nasikia "anaishi" na Mh. Mdee!
Mkuu umesikia awaonani au kuwasiliana?Hawaoni viongozi wenzake
Bora amtumikie MdeeHuu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Mumewe[emoji23][emoji1787][emoji2960]Bora amtumikie Mdee
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
We we ndio unatangaza wabunge au mpiga kura pekeyako nyambafuHarudi tena bungeni huyo
Mabeberu ndio tunaowaomba watupe mikopo isio na riba au watusamehe kulipa madeni kipindi hiki cha corona.
Ha haa hilo tusi mke wangu huwa ananitukana kila nikimaliza kum.....pls nww njooWe we ndio unatangaza wabunge au mpiga kura pekeyako nyambafu
Ha haa hilo tusi mke wangu huwa ananitukana kila nikimaliza kum.....pls nww njoo
Naona chizi utakuwa wewe sio nyie mlikuwa mnapinga mnasema raisi anazurura leo mmesahau mnamtafuta Tena mnasema haonekani! Sasa nani chizi hapa!
Anajifanya hashangai hiliHushangai yule aliyewaambia watumishi wake
Hawa musiwabomoleshe nyumba zao kwa kuwa walinipigia kura
Wakati huo huo ameboa nyumba zetu Morogoro road.