Sasa yule nae tishio? [emoji57]A
Aliyepigwa risasi 2017
Na walikuwa na mamlaka ya kuondoa cctv camera kwenye nyumba za eneo la tukio.Kwasababu wahusika hawatoi ushirikiano na polisi,hiyo ndio sababu ya kwanza,sababu ya pili walikuwa smart .hawakuacha track.....,sababu ya tatu hili tukio limefanywa kisiasa zaidi likimuhusisha mkuu wa nchi.sasa kama upinzani wanahisi fulani kahusika kwanini wasisaidie polisi?jamaa walimiss target lakini wapo smart.
SawaNa walikuwa na mamlaka ya kuondoa cctv camera kwenye nyumba za eneo la tukio.
Walikuwa na mamlaka ya kuondoa walinzi wote wakati wa tukio.
Dhamira ilikuwa ni kumuua, angekufa polisi wa Tanzania hawawezi kufanya uchunguzi, pia hawataki msaada kutoka nje kwa wenye uwezo wa kufanya uchunguzi.
Wakakataa kumlipia matibabu na kumfukuza ubunge, hao ndio waliomshambulia.
Na watetezi wanatumia kiungo mbadala kufikiria badala ya ubongo
Ndio maana akisema jambo :Sasa yule nae tishio? [emoji57]
Sa wakimjibu ndio tishio? Mchezo tu wa siasa...hana lolote huyo jamaa,stori inaishia oct 28,baada ya hapo ni kimyaaa.5 years!Ndio maana akisema jambo :
Magufuli anajibu
Polepole anajibu
Makamba anajibu
Katibu mkuu anajibu
Mahera anajibu
Nyahoza anajibu
Policcm wananibu
Wapambe wao wenye low iq wanajibu
Hii yote ni kwa sababu siyo tishio
Kwa mwendawazimu ni sawa unayosemaSa wakimjibu ndio tishio? Mchezo tu wa siasa...hana lolote huyo jamaa,stori inaishia oct 28,baada ya hapo ni kimyaaa.5 years!
Mwendawazimu wewe hapo[emoji3][emoji3],unapambania kitu ambacho hakitakupa matokeo chanya.Kwa mwendawazimu ni sawa unayosema
Hii Roho ni ya kuzimu kabisa.inatupeleka pabaya sana kisa madaraka.Tulisema tangu awali kwamba CCM bila polisi ni wepesi kuliko pamba , Ushahidi wa video huu hapa
View attachment 1600019
Never argue with a fool, he ll pull you down to his level and beat you with experience, na nimegundua you are really FOOL!!Mwendawazimu wewe hapo[emoji3][emoji3],unapambania kitu ambacho hakitakupa matokeo chanya.
Wenzio wanajibu kimhemko hawajiulizi haya maswali.Nini kilitokea huko nje kabla jamaa hajakimbilia ndani? Kama hakuwa na tatizo nao kwanini katoka nduki kukimbilia ndani,mbona huyo mwingine kasimama kama roboti na hawajamgusa? ,iko shida mahali...
[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]Never argue with a fool, he ll pull you down to his level and beat you with experience, na nimegundua you are really FOOL!!
Have a nice dream
Kabisa[emoji119][emoji119]Wenzio wanajibu kimhemko hawajiulizi haya maswali.
Hawa jamaa ni mabingwa wakulianzisha af wanategemea huruma ya raia. Hana kosa Sasa ninini kilichomtoa nduki? Mbona kakamatwa peke yake? Mwanakulifind mwanakuligetNini kilitokea huko nje kabla jamaa hajakimbilia ndani? Kama hakuwa na tatizo nao kwanini katoka nduki kukimbilia ndani,mbona huyo mwingine kasimama kama roboti na hawajamgusa? ,iko shida mahali...
Alikuwa anakimbia nn km anataka kukamatwa kistaarabu na baada yakukamatwa mbona kawa mbishi?. Tii sheria bila shuruti.Kwaiyo kama iko shida mahali ndo akamatwe vile, kama jambazi kama sio mtanzania.
Kweli kabisa maana pentagon ndo kila kitu kwenu.Mwambieni Magufuli ASIWAJARIBU KABISA PENTAGON.
Pentagon wamekwisha kumuonya JIWE na hasikii, LUMUMBA mwambieni Mzee wenu PENTAGONI ni makao makuu ya ulinzi ya Jeshi la Marekani.
Think Tank haina mchezo. Atabiduliwa
Mjinga wewe, siyo watanzaniaMkuu CCM imefanikiwa kuongoza na kuwatawala watanzania kwa kuwa 70% ya watanzania ni wajinga Mtaji wa watawala ni elimu mbovu inayozuia mtu kujitambua, kutambua umuhimu wa siasa, uhuru na haki kuwa ndio tunu za taifa lenye maendeleo watanzana huona siasa ni kama ushabiki Simba na Yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.
Yeah,is betterA Boers' era?