Kule ukamatwi hovyo hovyo unaambiwa unakamatiwa nn,Kama huna silaha na si hatarishi kwao kwann huwezi pigwa risasiHawa wapuuzi hawajui kuwa hata Marekani uki resist arrest ni kosa tena unaweza ukafa. Wanajifanya wanaijua amerika kushinda wengine humu. Waulizeni wale watu weusi huko ndio wata waeleza.
Hatasema jamaa kwanini amekimbia zaidi ya kutukana na kueneza uongo.
Taratibu za kuarrest zinajulikana,yaani we watu wavamie tu nyumba yako bila kujitambulisha wakukwapue tu nawe utulie je Kama sio wasiojulikana je Mara ngapi wasiojulikana wamekwapua watu kwa police style na wakapotea Hadi leombona una ruka ruka tu, tunaomba utuambie kama anavyouliza Matiko, kuna shida gani? mbona jamaa kakimbia.
Ingekuwa Marekani huyu ashapigwa risasi kwa ku resist arrest.
Nini kilitokea huko nje kabla jamaa hajakimbilia ndani? Kama hakuwa na tatizo nao kwanini katoka nduki kukimbilia ndani, mbona huyo mwingine kasimama kama roboti na hawajamgusa? ,iko shida mahali...
Vipi Kama mama yako ndo amepigwa dola hivo in public utajisikiajeMtu apigwe dole atulie!! Bas atakuwa mzoefu.
Taratibu za kuarrest zinajulikana,yaani we watu wavamie tu nyumba yako bila kujitambulisha wakukwapue tu nawe utulie je Kama sio wasiojulikana je Mara ngapi wasiojulikana wamekwapua watu kwa police style na wakapotea Hadi leo
Kule ukamatwi hovyo hovyo unaambiwa unakamatiwa nn,Kama huna silaha na si hatarishi kwao kwann huwezi pigwa risasi
UHALISIA TARIME: MLINZI WA ESTHER MATIKO ALIYEKAMATWA NI JAMBAZI SUGU AMBAYE AMEKUWA AKITAFUTWA NA POLISI SIKU NYINGI.Tulisema tangu awali kwamba CCM bila polisi ni wepesi kuliko pamba , Ushahidi wa video huu hapa
View attachment 1600019
Hii bado hujajibu kile kilichotokea kabla ya tukio. Shida ilikuwa nini?Taratibu za kuarrest zinajulikana,yaani we watu wavamie tu nyumba yako bila kujitambulisha wakukwapue tu nawe utulie je Kama sio wasiojulikana je Mara ngapi wasiojulikana wamekwapua watu kwa police style na wakapotea Hadi leo
Vipi Kama mama yako ndo amepigwa dola hivo in public utajisikiaje
Sidhan kama mama yako ana akili za kijinga kama matikoVipi Kama mama yako ndo amepigwa dola hivo in public utajisikiaje
Mkuu kiongozi wenu amesema atawaamuru manyumbu wake muingie barabarani. Tunasubiri kwa hamu kuona huo mtanangeWakilianzisha utasikia wanataka kutuchafulia amani yetu,mara wametumwa na mabeberu......ila kiuhalisia hawakupaswa kumbeba hvyo maana wamekosa utu kulikuwa na haja hata ya kumsikiliza hoja zake then wakakubaliana na utaratibu ukafuatwa...
Amani hii tunayoichezea ipo siku itatoweka na tutaishi maisha ya digi digi kwa kuranda randa....kaa utambue uvumilivu wa mwanadamu una kikomo chake.
hii bado imekaa kishabiki sana mkuu. Maana unaonekana kabisa wewe ni kada wa kijani. Tunaomba taarifa rasmi ya polisi na sio maneno yako. Tunapenda sana kujua nini kilitokea kablabya kukimbizwa huyo mtu.UHALISIA TARIME: MLINZI WA ESTHER MATIKO ALIYEKAMATWA NI JAMBAZI SUGU AMBAYE AMEKUWA AKITAFUTWA NA POLISI SIKU NYINGI.
- Alikamatwa akiwa na Esther Matiko katika Hotel ya Blue Sky – Tarime.
- Esther alijaribu kuzuia Polisi kumkamata muhalifu, kwa kisingizio ni Mlinzi wake.
- Wasingizia amekamatwa katika ofisi yao wakati kakamatwa Hotelini.
- Sababu ya hali yao kuwa mbaya waamua kutumia majambazi ili kutengeneza kikosi cha kudhuru wana CCM.
- Jambazi mmoja anayemiliki bunduki mbili kiharamu wamefanikiwa kumtorosha lakini Jeshi la Polisi linaendelea kumsaka.
Na: Deo Meck, Tarime Mjini.
Tukio la kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ujambazi jana tarehe 14/10/2020, katika Hotel ya Blue Sky katika mji wa Tarime limegeuzwa kuwa propaganda ya kutafuta kura za huruma kwa Chadema katika Jimbo la Tarime Mjini.
Mtuhumiwa huyo wa ujambazi ambaye ni mmoja wa walinzi wa Esther ambaye kwa muda mrefu amekuwa akitafutwa na Jeshi la Polisi alikamatwa baada ya raia wema kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi kuhusu mahali alipo.
Polisi walifika katika Hotel ya Blue Sky, na ukiona katika video wanayosambaza Esther alikuwa na Walinzi wengi ila huyo mmoja ndio alijaribu kukimbia na Polisi kumfukuza na kumkamata ndani ya Hotel hiyo.
Esther amejaribu kulialia kuwa wao wanaonewa sababu ya jambazi huyo kukamatwa, na alijaribu kutumia nguvu kuwazuia Polisi kufanya kazi yake ili baadae aje kulalamika anaonewa.
Kama mtu sio muhalifu kwa nini akimbie mara awaonapo Polisi? Mbona alikuwa na walinzi wengi na aliyekamatwa ni mmoja peke yake? Sababu ni kuwa wao wameamua kutumia wahalifu kwani wana uzoefu wa kudhuru watu.
Hata wiki iliyopita Polisi walikamata wahalifu wengine anaowatumia John Heche kama kikosi kazi cha kudhuru wana CCM, ambapo tayari walikuwa wametekeleza tukio la kumkata mapanga kijana mmoja wa CCM alipokuwa anatoka kwenye mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi.
Hivyo tunawashauri Chadema kwanza wakubaliane na hali kuwa mwaka huu hawana chao katika majimbo ya Tarime, pili wajiepushe na uhalifu ili kuutumia kutafuta kura za huruma, wameingia kwenye ushindani wakubali kuna kushinda na kushindwa. N a uhalifu hauna Chama, hata ukiwa mwanachama wa CCM ukafanya uhalifu utakamatwa tu. Kuwa Upinzani sio kinga dhidi ya uhalifu. Hakuna Chama chenye malaika pekee, hivyo wajiepushe na propaganda mfu, sisi tutakuwa tunazijibu na kuwaumbua, OVA.
wale walipigwa risasi hadi kuzusha vurugu ilikuwa mwaka gani? George aliyekandamizwa ardhini na goti? au unajitoa ufahamu mkuu.Kule ukamatwi hovyo hovyo unaambiwa unakamatiwa nn,Kama huna silaha na si hatarishi kwao kwann huwezi pigwa risasi
Ndugu yangu, kwa kuwa hunifahamu, nitakusamehe kwa kudhani niko JF kutafuta sifa za namna yoyote ile. Ustaarabu ni uungwana.video ulioiona wewe ni tofauti na iliyowekwa humu? km ni hii, propaganda yako imebuma maana hata matiko jalalamika hilo tukio. Ni upumbavu kutafuta sifa za kijinga. Unaweza tuambia hapo matiko kadalilishwa wapi? au ni kitendo ganinhuyo polisi kafanya?
Mkuu, hivi alietiwa dole, tena kiongozi wa upinzani aache kulalamika hadi uje ulalamike wewe? kweli? hii ni ajabu coz hata Ester alimuangalia tu askari na kuendelea kuhoji.Ndugu yangu, kwa kuwa hunifahamu, nitakusamehe kwa kudhani niko JF kutafuta sifa za namna yoyote ile. Ustaarabu ni uungwana.
Angalia sekunde ya 19 mpaka 21, utaona kitendo ninachokizungumzia. Kama kwa kitendo hicho cha kihuni ni sawa kwako, kwa sababu yoyote ile, endelea tu na maisha yako.
Haki yake ya kufunguliwa mashitaka ya kukimbia ndani na kutaka kujificha na kufurukuta pamoja na kuwasumbua polisi wasifanye kazi yao kwa kimombo wanasema resisting arrest.