Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Hivi mikutano Mh Lissu anafanyia kwenye mitandaoni?? upo illogical sana kwanini kada? Ok lets wait and see.
Mbona unazidisha unyumbu? Hakuna ishu kwenye mikutano mikutano ni sanaa tu! Mbona Magufuli anafunika Kila anapoenda?
Ukweli upo kwenye box la kura ndipo kelele zenu zitapoishia. Hii ni nchi sio kijiwe. Ni kichapo kitakatifu 28 oct
 
Kwa hiyo huyo Mlinzi wa Matiko ndiyo kaamua kumletea Police Boss wake!? Na kwa nini akimbilie kwa Matiko ambae ni Mwanamke na kuacha kujificha Nyuma ya Wanaume wenzie!?
 
Kwa hiyo huyo Mlinzi wa Matiko ndiyo kaamua kumletea Police Boss wake!? Na kwa nini akimbilie kwa Matiko ambae ni Mwanamke na kuacha kujificha Nyuma ya Wanaume wenzie!?
Why police ampige dole matiko na asidili na wamtakae, pili alikataa wito wa kuitwa kituoni, sababu ya wasiojulikana Jamii Ina hofu hakuna anayekubali kufika tu unanyakuliwa juu kwa juu huu si utaratibu wa ukamataji huoni ni mitego hii
 
Mbona unazidisha unyumbu? Hakuna ishu kwenye mikutano mikutano ni sanaa tu! Mbona Magufuli anafunika Kila anapoenda?
Ukweli upo kwenye box la kura ndipo kelele zenu zitapoishia. Hii ni nchi sio kijiwe. Ni kichapo kitakatifu 28 oct
Kwann wagombea wa ccm usikii wakisumbuliwa uoni uleta shaka hili
 
Mkuu vuta subira kuna kitu kinaitwa "common interest " tarehe 28 ipo karibu sana sidhani hizo bunduki wanabeba kuwafwata watu kwenye kakundi kadogo kuti zitasaidia ku dhibiti nchi nzima.Ratio ya Asikari to raia kama hujuwi nchini nivigumu sana ku control ghasia ikitokea national wide.Ushauri mzuri watende haki tuu kama atashinda kihalari Magufuli sawa au Lissu vinginevyo huwu uchaguzi sio kama wa 2015 tisidanganyane nchi hii sio ya amani ni uvumilivu tuu sema wengi hatujuwi.Kwanza raia wa inchi zingine hapendezwi kua mkimbizi kwenye nchi zingine but kukosekana kwa Uhuru na haki kutoka kwa viongozi.FREE AND FAIR ELECTIONS THATS ONLY WAY TO GO AS IT STANDS.
 
Kule ukamatwi hovyo hovyo unaambiwa unakamatiwa nn,Kama huna silaha na si hatarishi kwao kwann huwezi pigwa risasi
Sasa wwe ukitoka nduki Kama huyo Mlinzi, unashauri Police wasimame wamwangalie tu!? Raia yoyote mchafu lazima ataliogopa Jeshi la Police,Raia Mwema anaweza hata akaingia kituo chochote cha police na kuwomba hata nauli ya Daladala Kama kapungikiwa kweli! Na anaweza hata akabahatika Usafiri wa defender Kama litakua linaenda mitaa ya huko anako elekea!!
 
Mbona unazidisha unyumbu? Hakuna ishu kwenye mikutano mikutano ni sanaa tu! Mbona Magufuli anafunika Kila anapoenda?
Ukweli upo kwenye box la kura ndipo kelele zenu zitapoishia. Hii ni nchi sio kijiwe. Ni kichapo kitakatifu 28 oct
Your thinking capacity its too low and narrow ....naponde anafunika ? Mkutano unakuwa wakina Mondi huoni akimaliza kukata mauno wato wanasepa ? you must imbecile
 
Huyo mgombea jimbo la mchinga hawezi kufanya ujinga kama huo.
Kumbuka ujinga hufanywa na wajinga
Tunakuuliza angemfanyia hayo mgombea ubunge jimbo LA Mchinga mngesema hayo?
MTU mzima acha kuwa mpumbaf!
 
Taratibu za kuarrest zinajulikana,yaani we watu wavamie tu nyumba yako bila kujitambulisha wakukwapue tu nawe utulie je Kama sio wasiojulikana je Mara ngapi wasiojulikana wamekwapua watu kwa police style na wakapotea Hadi leo
Wwe hata ujielewe unasema nini!? Sasa Kama kachukuliwa na wasiyojulikana huyo Matiko kamsaidia nini!? mbona bado kasombwa! Acheni kujitoa akili mkaona Uchaguzi Kama Vita,kumbukeni Serekali bado iko Kazini,na utii wa Sheria bila shuruti ndiyo njia ya kupata haki yako kwa ustaili!! Ubabe na Serekali mwisho wa siku wwe ndiyo utaumia!!
 
*UHALISIA TARIME: MLINZI WA ESTHER MATIKO ALIYEKAMATWA NI JAMBAZI SUGU AMBAYE AMEKUWA AKITAFUTWA NA POLISI SIKU NYINGI*.

• Alikamatwa akiwa na Esther Matiko katika Hotel ya Blue Sky – Tarime.

• Esther alijaribu kuzuia Polisi kumkamata muhalifu, kwa kisingizio ni Mlinzi wake.

• Wasingizia amekamatwa katika ofisi yao wakati kakamatwa Hotelini.

• Sababu ya hali yao kuwa mbaya waamua kutumia majambazi ili kutengeneza kikosi cha kudhuru wana CCM.

• Jambazi mmoja anayemiliki bunduki mbili kiharamu wamefanikiwa kumtorosha lakini Jeshi la Polisi linaendelea kumsaka.


Tukio la kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ujambazi jana tarehe 14/10/2020, katika Hotel ya Blue Sky katika mji wa Tarime limegeuzwa kuwa propaganda ya kutafuta kura za huruma kwa Chadema katika Jimbo la Tarime Mjini.

Mtuhumiwa huyo wa ujambazi ambaye ni mmoja wa walinzi wa Esther ambaye kwa muda mrefu amekuwa akitafutwa na Jeshi la Polisi alikamatwa baada ya raia wema kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi kuhusu mahali alipo.

Polisi walifika katika Hotel ya Blue Sky, na ukiona katika video wanayosambaza Esther alikuwa na Walinzi wengi ila huyo mmoja ndio alijaribu kukimbia na Polisi kumfukuza na kumkamata ndani ya Hotel hiyo.

Esther amejaribu kulialia kuwa wao wanaonewa sababu ya jambazi huyo kukamatwa, na alijaribu kutumia nguvu kuwazuia Polisi kufanya kazi yake ili baadae aje kulalamika anaonewa.

Kama mtu sio muhalifu kwa nini akimbie mara awaonapo Polisi? Mbona alikuwa na walinzi wengi na aliyekamatwa ni mmoja peke yake? Sababu ni kuwa wao wameamua kutumia wahalifu kwani wana uzoefu wa kudhuru watu.

Hata wiki iliyopita Polisi walikamata wahalifu wengine anaowatumia John Heche kama kikosi kazi cha kudhuru wana CCM, ambapo tayari walikuwa wametekeleza tukio la kumkata mapanga kijana mmoja wa CCM alipokuwa anatoka kwenye mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi.

Hivyo tunawashauri Chadema kwanza wakubaliane na hali kuwa mwaka huu hawana chao katika majimbo ya Tarime, pili wajiepushe na uhalifu ili kuutumia kutafuta kura za huruma, wameingia kwenye ushindani wakubali kuna kushinda na kushindwa. N a uhalifu hauna Chama, hata ukiwa mwanachama wa CCM ukafanya uhalifu utakamatwa tu. Kuwa Upinzani sio kinga dhidi ya uhalifu. Hakuna Chama chenye malaika pekee, hivyo wajiepushe na propaganda mfu, sisi tutakuwa tunazijibu na kuwaumbua, OVA.
 
Huu ujinga kila siku mnauwaza, nyie mkae nyuma ya keyboard ila wenzenu ndio waandamane? Hakuna wa kuandamana
Ndio maana nikakuambia ona kilichotokea kwa huyo matiko, lema na heche, alafu utaelewa
 
Vipi Kama mama yako ndo amepigwa dola hivo in public utajisikiaje
Na wwe Mshakunaku watu tunaangalia arest inavyoendelea,wwe mwenzetu akili zako zimeenda kwenye Ngono,ile ilikua purukushani na kugusana kwenye purukushani ni Jambo la kawaida! Sasa Kama kuna maswala ya dole,ni yule aliyepigwa dole atowe malalamiko kwa Mamlaka husika na Uchunguzi utasema ukweli!!
 
Huu ujinga kila siku mnauwaza, nyie mkae nyuma ya keyboard ila wenzenu ndio waandamane? Hakuna wa kuandamana
Ndio maana nikakuambia ona kilichotokea kwa huyo matiko, lema na heche, alafu utaelewa
kila kitu kina kuwa na strategy, kwanza nani amekuforce ili uandame wewe?Mh Lissu hakusema fungeni barabara hadi to attain the goal nini kilifwata?? hata mujaribu kukatisha tamaa watu safari hii huyu sio Lowassa muka mukill amerudi mazima.usiwe desperate na shameless kihivyo kada.
 
Ile ni planned act yenye dhamira labda Askari ndo alitumia nafasi hii adhimu ya kugusa ndoto yake
 
Your thinking capacity its too low and narrow ....naponde anafunika ? Mkutano unakuwa wakina Mondi huoni akimaliza kukata mauno wato wanasepa ? you must imbecile
Mabeberu washakulemaza. Umekuwa mtumwa kamili.
Mi nakujibu kiswahili wewe unaniandikia sijui makorokocho gani....
Lukobha ghwa nyoko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…