Kwani hakuona uniform ya Jeshi la Police!? Siku ingine atakuja umia, mwambie Kama kazowea kumfanyia Mume wake ubabe, mwambie Wanaume tunatofatiana sana asitufananishe na Mume wake anaempelekesha huko Nyumbani kwake!!Sasa si wamemvamia kwake ulitaka atulie tu bila ku react?
Mume ni mume ,hao wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria ,kuna taratibu zinazomguide mume na kuna taratibu zina zoguide hao waliovaa uniform,ingekuwa hao wenye uniform wapo juu ya sheria Act RPC bageni asingehukumiwa Kunyongwa na Zombe asingesweka Lupango.Kwani hakuona uniform ya Jeshi la Police!? Siku ingine atakuja umia, mwambie Kama kazowea kumfanyia Mume wake ubabe, mwambie Wanaume tunatofatiana sana asitufananishe na Mume wake anaempelekesha huko Nyumbani kwake!!
Watu hili la Msingi sana hawalioni, wao akili zao zote ziko kwa Matiko na Dole! Yaani Watanzania akili zetu zinawaza ngono kila saa!!ingelikuwa mimi ndiye mlinz ningejiendea zangu huko nilikotakiwa then najua tungemalizana tuu maana si kwa mbio zile alafu anabebwa ka kukuu,
Mie sioni kosa lolote pale maana alikuwa mkaidi kwa kitendo cha kukimbia tu inatosha askari wale kutumia nguvu ile,
Laiti angelitii wala lisingemtokea lile lililotokea na ukitaka kufahamu watu wanajua sheria hasa wale walokuwa pale pembeni hakuna aliyezuia askari kumkamata zaidi ya kutoa maneno ambayo hayakuwa na tija yoyote.
Sasa yeye Matiko Sheria gani inamruhusu kuzia Jeshi la Police kufanya kazi yake!? Kama wengekuwa wanamuhitaji yeye si angeambiwa, Mtoto wa kike hana stara hata kwenye Public place!! Wanawake aina hiyo hata mkiwa Guest hacheliwi kukujazia watu!!Mume ni mume ,hao wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria ,kuna taratibu zinazomguide mume na kuna taratibu zina zoguide hao waliovaa uniform,ingekuwa hao wenye uniform wapo juu ya sheria Act RPC bageni asingehukumiwa Kunyongwa na Zombe asingesweka Lupango.
Sasa yeye Matiko Sheria gani inamruhusu kuzia Jeshi la Police kufanya kazi yake!? Kama wengekuwa wanamuhitaji yeye si angeambiwa, Mtoto wa kike hana stara hata kwenye Public place!! Wanawake aina hiyo hata mkiwa Guest hacheliwi kukujazia watu!!
Aliyempiga Lissu risasi kafichwa na Chadema Ubeligiji, siku akirudi atakamatwa na kufunguliwa kesi ya shambulizi la kujaribu kumuua Lissu, mbona jambo hilo ni rahisi na liko waziWaama wewe katika majuha unaongoza, hebu kwanza niambie unatumia ubongo huu huu kufikiria au kuna kiungo kingine?
Dhamira ya shambulio dhidi ya Lissu ilikuwa ni kumuua, je angekufa polisi wa Tanzania wangefunga jalada? Mbona kada wa CCM aliyeuliwa majuzi polisi wamewakamata watuhumiwa? Alitoa ushirikiano akiwa kaburini?
Upumbavu mwingine, kuna kesi yeyote ya mauaji Tanzania au nje ambako muadhirika wa mauaji ameenda kufungua kesi?
Duh! Tuna wagonjwa wa akili seriously among us
Maiti kuokotwa kwenye viroba ni hali yangu? CCM acheni kejeli, dharau na ufedhuli.Pambana na hali yako, Mbeligiji atakupoteza sana, mwenzio anafadhiliwa na robati, wenyewe wanaelewana sana,sijui wanapeana nini!?
Wameona waunge juhudi ki style,badala ya kusimamia haki na mateso wanayopata Wanyonge.Tulisema tangu awali kwamba CCM bila polisi ni wepesi kuliko pamba , Ushahidi wa video huu hapa
View attachment 1600019
Bwana alitoa na bwana ametwaa .Wameona waunge juhudi ki style,badala ya kusimamia haki na mateso wanayopata Wanyonge.
Covid 19 Ugonjwa mbaya sana