Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Acha ujinga, sheria hizo zinamtaka akiona polisi akimbie? Tatizo hapo ni kukimbia. Mbona mwenzake hajasumbuliwa? Aibu mwanaume unakimbia polisi unakimbilia kwa mwanamke. Jinga kabisa.Hili tatzo wanalidharau lakini sio jema sheria zipo namna yakumkamata mtu inafahamika kwanini badala yakulinda amani wanavuruga amani
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app