Ester Matiko: Kama Chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

Hahahaa hakuna Muha anakataa hela wewe eti kisa siasa, siasa kitu gani wewe.. hao wanaotangaza wenzao wasiende wamevimba mashavu kama paka maana wao wanapiga ruzuku acha na wanawake wenzako wapige posho za bunge.
Miongoni mwa Waha wachache wapumbavu niliowahi kuwashuhudia.
 
Uthibitisho anao Halima Mde(mb), muulize au sikiliza alicho ongea mara baada ya kuapishwa, Mbowe anafahamu na Lisu lazima pia kwani Lisu ni Makamu mwenyekiti
Haya ngoja tusubiri hiyo tarehe 27 pindi watakapofukuzwa uanachama
 
Haya ngoja tusubiri hiyo tarehe 27 pindi watakapofukuzwa uanachama
Mbowe na Makamu wake wamebariki mchakato mzima kwa mujibu wa maelezo ya Mdee na wenzake Matiko na Bulaya..sasa nani wa kumfukuza mwenzake hapo!!
Nawapa hongera sana kwa maamuzi waliyoyafanya,
Sasa huu ndio upinzani, upinzani sio kununiana wala kuchukiana
 
Tarehe 27 ni keshokutwa tu mkuu. Tusubiri tuone wanavyofukuzwa uanachama.
 
Kukusemea kwa nani ili akusikilize kama huyo anayepaswa kukusikiliza huwa hakusikilizi?
 
Tarehe 27 ni keshokutwa tu mkuu.Tusubiri tuone wanavyofukuzwa uanachama.
Tatizo sio kufukuzwa tatizo hapo hakuna chama tena, watu wanagawana mbao hapo. Kila kiongozi anachukua chake ndio ujue kuwa CHADEMA hakikuwa chama chenye mfumo unaoeleweka. Sasa ni dhahiri kilikuwa chama cha mtu au kikundi cha baadhi ya watu walio jijengea umaarufu.
 
Mimi Hawa ndiyo mwarubani wa CHADEMA. Hawa ndiyo wataweka ndiyo wameweka overdrive hadi 2025.
 
Kimsingi sahihi ya mwisho ya uthibitishaji wa hawa wabunge kwa upande wa chama inatoka kwa katibu mkuu na sii mwenyekiti.
Sasa katibu mkuu wa chama ndie huyo amejitokeza kukana kuwa hajawahi kupeleka majina NEC.
Hakuna tena shaka juu ya hawa viti maalumu chadema ni wasaliti wanaoshirikiana na mtesi wao ccm wakiishirikisha dola kuhujumu chama.
Binafsi napendekeza msaliti ahukumiwe kama msaliti na taratibu zote za kisheria zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuwasikiliza kwanza mbele ya baraza.
Huenda nao kuna baadhi yao wameingizwa mkenge bila kujua hili wala lile
Haya yote yatajulikana baada ya utetezi wao na hukumu itatolewa kulingana na utetezi wa kila mmoja.
 
Na wewe, kuna muandika minutes na mutasari. Katibu ni mtendaji mkuu wa chama. Ndiye ana kalenda ya vikao vya chama, yeye na secretariyeti yake ndiyo inandaa agenda . Fedha zote za chama ziko chinI ya milki yake. Kwa maana nyingine ni mtawala
 
Pumbavu,kwanini hukuwachagua kwa kura kama unawahitaji wakakusemee,au ndo unakiri kuwa kura za chadema ziliibiwa?
 
Tuliza mshono dada wenzako wako kazini unafikiri wanapiga domo bure kama wewe?
 
Kwa sisi tunaojua kuunga dot hili changa limetoka CCM ili kuidhalilisha chadema kupitia spika .NEC na jiwe

Yaan apo ata CHADEMA iwafukuze uanachama kaz bure tu watatetewa na spika katiba imeekwa kapuni nanukuu tu
"Mm ni kichaa ma ndio maana nimechagua vichaa wenzangu "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…