kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,398
Mkuu unaandika kwa kutumia nini.!?Wato wako Njema na Heche. Binafsi I was Indifference Kwa hawa Makamanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaandika kwa kutumia nini.!?Wato wako Njema na Heche. Binafsi I was Indifference Kwa hawa Makamanda.
Ulitaka utafynwe wewe nni? maana una wivu na kamanda mboweEsta soon mbowe atamfikia ,hii rushwa ya ngono inaitafuna chadema baada ya Joyce mukya na mbowe ,Rose kamili na slaa sasa ni kutafunana
State agent
😂😂😂Weekend leo usishangae.... [emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa hawa ukija kulinganisha na mtu kama Juliana Shonza ndio utakapo juwa tofauti kati ya mbwa wa kufuga na Simba mwituni.
Wote waliojifanya kutaka nafasi ya mwenyekiti wamepigwa chini mapema ili kuonyesha kwamba hawakubaliki au hawana uwezo wa kusimama kwenye nafasi ya juu, siasa za Nchii hii bado ngumu sana na democrasia tunaitaja tu lakini bado inatupa shida sana wanatanzania! Any way hongera kwake kwa ushindi!Kuna harufu ya rafu hapo.
Juliana aliwahi kuwa Makamu Mwenyekiti Bavicha...
Ukweli ni kwamba anaejaribu kuitaka nafasi ya juu lazima aangukie pua kwenye hizi chaguzi za kanda!HONGERA KWAO ...WAKAJENGE CHAMA CHAO NA TAIFA KWA UJUMLA ..
NATILIA SHAKA KUSEMA HECHE KURA ZAKE ZIMEPUNGUA KWA SABABU NILISIKIA NAE ANACHUKUA FOMU YA UENYEKITI TAIFA ....KIFUPI HAWA WAMEANGUKA KWA ELEMENT HIZO
SELASINI ..MWAMBE NA SUMAYE ..NAONA WAMESHINDWA KWA SABABU YA KUUTAKA UONGOZI WA JUU ...JAPO SINA UHAKIKA ILA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA IMEKUA ....HONGERENI VIONGOZI WOTE MLIOCHAGULIWA MSIWABAGUE AMBAO WAMESHINDWA LAKINI PIA MSIWAONE WENGINE KAMA WASALITI .
Wote waliojifanya kutaka nafasi ya mwenyekiti wamepigwa chini mapema ili kuonyesha kwamba hawakubaliki au hawana uwezo wa kusimama kwenye nafasi ya juu, siasa za Nchii hii bado ngumu sana na democrasia tunaitaja tu lakini bado inatupa shida sana wanatanzania! Any way hongera kwake kwa ushindi!
Juliana Shonza ni mashine sana huwezi kumtofautisha na akina Bulaya... BAVICHA yao ilikuwa juu sana.Sasa hawa ukija kulinganisha na mtu kama Juliana Shonza ndio utakapo juwa tofauti kati ya mbwa wa kufuga na Simba mwituni.
Kwani uko mbali kiasi gani mkuu? Chukua mmojawapo Kiongozi atakufaa sana! Mimi nakupa mwanasheria mwenzio ili nyumbani kwako pachimbike ukileta za kuletwa!Honestly, I like Susan Kiwanga, Esther Matiko, Ester Bulaya, Halima Mdee and the like. They are the iron ladies and the heart of CHADEMA! Ningekuwa karibu nao, kwa wasioolewa, ningemuoa mmojawapo. Ha ha ha ha ha ha
Hizi ndo siasa, Heche will accept it as a gentleman, siyo ujinga wa akina Sumaye na MwambeEsther Matiko 44
John Heche 38
Hongera Mwana mama Esther Matiko.
Yule dada nakumbuka mm nipo first year yeye yupo second year pale UDSM Mabibo hostel, landmark hotel palikuwa nyumbani kwetu...Ila siku hizi uso wake unahorojeka sijui ni nini na sijawahi pima toka enzi hizo basi balaa tupu!mkuu nilifanya kazi 2010 na juliana kule mbozi kwa silinde, anapenda hela yule dada sijapata ona!.....
pia kuna dogo mmoja mweupe hv sijui alikua duce au mkwawa nae alikua chenga kweli......... kiufupi vijana wengi waliotimkia ccm walikua wepesi sana aisee
Unalinganisha waziri na wajumbe wa bawacha!mbingu n ardhi.Sasa hawa ukija kulinganisha na mtu kama Juliana Shonza ndio utakapo juwa tofauti kati ya mbwa wa kufuga na Simba mwituni.
Acha story za kutungaMbowe is smarter!
Heche hakuchukua fomu but he is a really threat to the Sultanate
Wewe kaoe MaCCM shehe, akili kubwaz za Upinzani huziweziHonestly, I like Susan Kiwanga, Esther Matiko, Ester Bulaya, Halima Mdee and the like. They are the iron ladies and the heart of CHADEMA! Ningekuwa karibu nao, kwa wasioolewa, ningemuoa mmojawapo. Ha ha ha ha ha ha
Wapiga kura 82 tu?........kweli Chadema ni chama kidogo!