Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Kuliko ccm mpiga kura 1 (meko). Haaaa kweli ccm imekufa.
Wapiga kura 82 tu?........kweli Chadema ni chama kidogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapiga kura 82 tu?........kweli Chadema ni chama kidogo!
"Boniphace Kichongeo" Nikisema wewe ni pumbavu, utalalamika kuwa nimekutukana wakati ndivyo ulivyo!!!? "Mpumbavu" ni aina ya watu wanaokubali kutumika hovyo na watu fulani. Biblia huwaita: "Watu wasiofaa" 1Wafalme 21:10-13Mbowe is smarter!
Heche hakuchukua fomu but he is a really threat to the Sultanate
Aisee kama jokate alivyo chakula ya ..Chakula yake.
Ingekuwa enzi zile, ningekutakia safari njema, lakini siku hizi hilo halimtishi mtu.na sijawahi pima toka enzi hizo basi balaa tupu!
Hivyo hivyo. Ndo wale wale.Aisee kama jokate alivyo chakula ya ..
noma sama nasubiri na wewe upate uteuzi uniajiri kuwa houseboy.Hivyo hivyo. Ndo wale wale.
"Mtamani"? Soma uelewe.Mhuuuuum kumbe ulishawahi mtamani Juliana?
VidoleMkuu unaandika kwa kutumia nini.!?
Njoo nikuajiri,sihitaji uteuzi ili nikuajiri.noma sama nasubiri na wewe upate uteuzi uniajiri kuwa houseboy.
Sasa hapo haujaelewa nini ?"Mtamani"? Soma uelewe.
Mbona unachanganya mambo?Sasa hapo haujaelewa nini ?
Ila siku hizi una majunguuu..haipendezi bwanaHawaendi mbali. Mimi ni Mtanzania sio ufipa wala Lumumba.
Ona majungu yako sasaSasa hapo haujaelewa nini ?
Ok,nimekuelewa.Mbona unachanganya mambo?
Sio mimi nisiyeelewa alichoandika uliyem'quote'
Hakuishia 'kutamani' tu bali alichimba madini yenyewe.
Shujaa Esther Matiko. Segerea kulimpa ushujaa usio na shaka. Hii ni zamu ya mashujaaEsther Matiko 44
John Heche 38
Hongera Mwana mama Esther Matiko.
Hahahaha.Kumbe nilikuwa sijaelewa. Kumbe ulishapita kwa Juliana ? Sasa why haukuoa?Sasa hivi ungekiwa naibu waziri kivuli wa sanaa,habari na michezo.Ona majungu yako sasa
Namfahamu Esther kuanzia SUA,she strong than you can ever imagine!Estar amepewa sababu ya nundu yake ila hana lolote
State agent
Lakini jambo jema ni kwamba, yeye alikuwa 'mwaka wa kwanza', na madini yalikuwa wa 'pili'.Ok,nimekuelewa.
Wapiga kura mbowe anawaingia moyoni?Esta soon mbowe atamfikia ,hii rushwa ya ngono inaitafuna chadema baada ya Joyce mukya na mbowe ,Rose kamili na slaa sasa ni kutafunana
State agent