G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Mmmh unadhani nipo hivyo? Ningekuwa msaka opportunities basi ningekuwa UN hukoooHahahaha.Kumbe nilikuwa sijaelewa. Kumbe ulishapita kwa Juliana ? Sasa why haukuoa?Sasa hivi ungekiwa naibu waziri kivuli wa sanaa,habari na michezo.