Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Hahahahah.Inawezekana. G Sam na yeye ni noma.Lakini jambo jema ni kwamba, yeye alikuwa 'mwaka wa kwanza', na madini yalikuwa wa 'pili'.
Kombinesheni za aina hiyo huwa ni za nadra. Inawezekana G Sam alikuwa na 'mpunga' wa kutosha!