Uchaguzi 2020 Esther Matiko asuswa na viongozi wa CHADEMA wilaya na mkoa

Uchaguzi 2020 Esther Matiko asuswa na viongozi wa CHADEMA wilaya na mkoa

ESTHER MATIKO ASUSWA NA VIONGOZI CHADEMA MKOA NA WILAYA

  • Ni Lucas Ngoto Mwenyekiti Mkoa, na Hamisi Nyanswi Mwenyekiti Wilaya.
  • Sababu kubwa ni dharau, kiburi na malingo.
  • Pia wanajiepusha na lawama ya kushindwa sababu hali yao ni tete.
  • Kushindwa kwake kutekeleza ahadi zake kwawa mwiba mkubwa katika kampeni zake.
  • Waamua bora waende kufa na Heche ambaye nae pia anapumulia mashine.
  • Hivi sasa kila mkutano wake ni wanachadema walewale wanahamasishana walau ionekane kuna watu.View attachment 1606972
Hali ya Chadema katika majimbo yote ya Tarime Mjini imezidi kuwa tete na hivi sasa viongozi wa Wilaya na Mkoa wamefarakana na mgombea wao wa Jimbo la Tarime Mjini, kwa sababu mbalimbali ikiwemo dharau, kiburi na malingo.

Hali hiyo imepekekea viongozi hao wakiongozwa na Lucas Ngoto na Hamisi Nyanswi kuamua kujikita na kampeni za Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini walau kuhalalisha wao kumkacha Esther Matiko ambaye hali yake ni mbaya sababu alishindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Katika ahadi alizoahidi mwaka 2015 zilizokuwa kwenye kipeperushi na zisizokuwa kwenye kipeperushi hajafanikiwa kutekeleza hata asilimia tatu (3%). Na kwa kuwa wananchi wana uelewa mpana sasa wanamuhoji kama uliahidi tukakupa kura ukashindwa kutekeleza ahadi basi wewe ni kiongozi mbabaishaji mkubwa.

Katika kuokoa jahazi hivi sasa Esther anawalipa wanachadema wanaohudhuria mikutano yake shilingi 2000 kwa kila mmoja kuficha aibu ya kutokuwa na wahudhuriaji kwenye mikutano yake, ndio maana baada ya mikutano wote huelekea ofisini kuchukua posho yake na watu wote ni wa sehemu moja.

Maana hakuna namna mtu atoke Kenyamanyori, Ketare, Nkende, Nyandoto n.k na kurudi ofisini baada ya mkutano na atembee kurudi kijijini kwa mguu. Na kikundi hicho ni cha wafuasi wao wengi ambao wanaishi Tarime Mjini maana wakienda kwenye mkutano, wakarudi ofisini na kuchukua buku mbili basi wananyooka moja kwa moja kwenda nyumbani kwao.

Nimeweka picha yenye kipeperushi cha ahadi zake za 2015 ambazo katika kipeperushi hicho hakuweza kutekeleza hizo ahadi. Na ndio maana umma wa wana Tarime umesema wao wanaenda na Mh. Michael Kembaki na madiwani wake, na Mh. Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa ahadi thabiti zinazotekelezeka.



Imeandikwa na:

Deo Meck

Tarime
Hahahaha DEO upo? Umemaliza vyama vyote sijui sahvi uko chama gani

Ni aibu kubwa sana kuambulia kura 300 alafu matiko alikuacha mara elfu, mtoto wa kiume kwa mara kuangushwa na binti ni aibu mnoo.

Kma unamuweza si ungechukua fomu tena? Jukwaani ulimshindwa alafu sahvi unaanza kumvizia.

Unatia huruma
 
Chama cha Mbowe ndembendembe, Leo katikiswa vibaya mno kwenye Moja ya ngome yao kongwe.Kilimanjaro imetwaliwa na CCM, kutoka kwenye utumwa wa Mbowe na genge lake.
Na kesho Arusha inaporomoka hivi hivi mbele ya macho yake.
 
ESTHER MATIKO ASUSWA NA VIONGOZI CHADEMA MKOA NA WILAYA

  • Ni Lucas Ngoto Mwenyekiti Mkoa, na Hamisi Nyanswi Mwenyekiti Wilaya.
  • Sababu kubwa ni dharau, kiburi na malingo.
  • Pia wanajiepusha na lawama ya kushindwa sababu hali yao ni tete.
  • Kushindwa kwake kutekeleza ahadi zake kwawa mwiba mkubwa katika kampeni zake.
  • Waamua bora waende kufa na Heche ambaye nae pia anapumulia mashine.
  • Hivi sasa kila mkutano wake ni wanachadema walewale wanahamasishana walau ionekane kuna watu.View attachment 1606972
Hali ya Chadema katika majimbo yote ya Tarime Mjini imezidi kuwa tete na hivi sasa viongozi wa Wilaya na Mkoa wamefarakana na mgombea wao wa Jimbo la Tarime Mjini, kwa sababu mbalimbali ikiwemo dharau, kiburi na malingo.

Hali hiyo imepekekea viongozi hao wakiongozwa na Lucas Ngoto na Hamisi Nyanswi kuamua kujikita na kampeni za Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini walau kuhalalisha wao kumkacha Esther Matiko ambaye hali yake ni mbaya sababu alishindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Katika ahadi alizoahidi mwaka 2015 zilizokuwa kwenye kipeperushi na zisizokuwa kwenye kipeperushi hajafanikiwa kutekeleza hata asilimia tatu (3%). Na kwa kuwa wananchi wana uelewa mpana sasa wanamuhoji kama uliahidi tukakupa kura ukashindwa kutekeleza ahadi basi wewe ni kiongozi mbabaishaji mkubwa.

Katika kuokoa jahazi hivi sasa Esther anawalipa wanachadema wanaohudhuria mikutano yake shilingi 2000 kwa kila mmoja kuficha aibu ya kutokuwa na wahudhuriaji kwenye mikutano yake, ndio maana baada ya mikutano wote huelekea ofisini kuchukua posho yake na watu wote ni wa sehemu moja.

Maana hakuna namna mtu atoke Kenyamanyori, Ketare, Nkende, Nyandoto n.k na kurudi ofisini baada ya mkutano na atembee kurudi kijijini kwa mguu. Na kikundi hicho ni cha wafuasi wao wengi ambao wanaishi Tarime Mjini maana wakienda kwenye mkutano, wakarudi ofisini na kuchukua buku mbili basi wananyooka moja kwa moja kwenda nyumbani kwao.

Nimeweka picha yenye kipeperushi cha ahadi zake za 2015 ambazo katika kipeperushi hicho hakuweza kutekeleza hizo ahadi. Na ndio maana umma wa wana Tarime umesema wao wanaenda na Mh. Michael Kembaki na madiwani wake, na Mh. Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa ahadi thabiti zinazotekelezeka.



Imeandikwa na:

Deo Meck

Tarime
nakucheka kwa dharauuuuu
 
Yani wewe ni liongo huoni hata aibu Lumumba shida tupu!
ESTHER MATIKO ASUSWA NA VIONGOZI CHADEMA MKOA NA WILAYA

  • Ni Lucas Ngoto Mwenyekiti Mkoa, na Hamisi Nyanswi Mwenyekiti Wilaya.
  • Sababu kubwa ni dharau, kiburi na malingo.
  • Pia wanajiepusha na lawama ya kushindwa sababu hali yao ni tete.
  • Kushindwa kwake kutekeleza ahadi zake kwawa mwiba mkubwa katika kampeni zake.
  • Waamua bora waende kufa na Heche ambaye nae pia anapumulia mashine.
  • Hivi sasa kila mkutano wake ni wanachadema walewale wanahamasishana walau ionekane kuna watu.View attachment 1606972
Hali ya Chadema katika majimbo yote ya Tarime Mjini imezidi kuwa tete na hivi sasa viongozi wa Wilaya na Mkoa wamefarakana na mgombea wao wa Jimbo la Tarime Mjini, kwa sababu mbalimbali ikiwemo dharau, kiburi na malingo.

Hali hiyo imepekekea viongozi hao wakiongozwa na Lucas Ngoto na Hamisi Nyanswi kuamua kujikita na kampeni za Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini walau kuhalalisha wao kumkacha Esther Matiko ambaye hali yake ni mbaya sababu alishindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Katika ahadi alizoahidi mwaka 2015 zilizokuwa kwenye kipeperushi na zisizokuwa kwenye kipeperushi hajafanikiwa kutekeleza hata asilimia tatu (3%). Na kwa kuwa wananchi wana uelewa mpana sasa wanamuhoji kama uliahidi tukakupa kura ukashindwa kutekeleza ahadi basi wewe ni kiongozi mbabaishaji mkubwa.

Katika kuokoa jahazi hivi sasa Esther anawalipa wanachadema wanaohudhuria mikutano yake shilingi 2000 kwa kila mmoja kuficha aibu ya kutokuwa na wahudhuriaji kwenye mikutano yake, ndio maana baada ya mikutano wote huelekea ofisini kuchukua posho yake na watu wote ni wa sehemu moja.

Maana hakuna namna mtu atoke Kenyamanyori, Ketare, Nkende, Nyandoto n.k na kurudi ofisini baada ya mkutano na atembee kurudi kijijini kwa mguu. Na kikundi hicho ni cha wafuasi wao wengi ambao wanaishi Tarime Mjini maana wakienda kwenye mkutano, wakarudi ofisini na kuchukua buku mbili basi wananyooka moja kwa moja kwenda nyumbani kwao.

Nimeweka picha yenye kipeperushi cha ahadi zake za 2015 ambazo katika kipeperushi hicho hakuweza kutekeleza hizo ahadi. Na ndio maana umma wa wana Tarime umesema wao wanaenda na Mh. Michael Kembaki na madiwani wake, na Mh. Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa ahadi thabiti zinazotekelezeka.



Imeandikwa na:

Deo Meck

Tarime
 
ESTHER MATIKO ASUSWA NA VIONGOZI CHADEMA MKOA NA WILAYA

  • Ni Lucas Ngoto Mwenyekiti Mkoa, na Hamisi Nyanswi Mwenyekiti Wilaya.
  • Sababu kubwa ni dharau, kiburi na malingo.
  • Pia wanajiepusha na lawama ya kushindwa sababu hali yao ni tete.
  • Kushindwa kwake kutekeleza ahadi zake kwawa mwiba mkubwa katika kampeni zake.
  • Waamua bora waende kufa na Heche ambaye nae pia anapumulia mashine.
  • Hivi sasa kila mkutano wake ni wanachadema walewale wanahamasishana walau ionekane kuna watu.View attachment 1606972
Hali ya Chadema katika majimbo yote ya Tarime Mjini imezidi kuwa tete na hivi sasa viongozi wa Wilaya na Mkoa wamefarakana na mgombea wao wa Jimbo la Tarime Mjini, kwa sababu mbalimbali ikiwemo dharau, kiburi na malingo.

Hali hiyo imepekekea viongozi hao wakiongozwa na Lucas Ngoto na Hamisi Nyanswi kuamua kujikita na kampeni za Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini walau kuhalalisha wao kumkacha Esther Matiko ambaye hali yake ni mbaya sababu alishindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Katika ahadi alizoahidi mwaka 2015 zilizokuwa kwenye kipeperushi na zisizokuwa kwenye kipeperushi hajafanikiwa kutekeleza hata asilimia tatu (3%). Na kwa kuwa wananchi wana uelewa mpana sasa wanamuhoji kama uliahidi tukakupa kura ukashindwa kutekeleza ahadi basi wewe ni kiongozi mbabaishaji mkubwa.

Katika kuokoa jahazi hivi sasa Esther anawalipa wanachadema wanaohudhuria mikutano yake shilingi 2000 kwa kila mmoja kuficha aibu ya kutokuwa na wahudhuriaji kwenye mikutano yake, ndio maana baada ya mikutano wote huelekea ofisini kuchukua posho yake na watu wote ni wa sehemu moja.

Maana hakuna namna mtu atoke Kenyamanyori, Ketare, Nkende, Nyandoto n.k na kurudi ofisini baada ya mkutano na atembee kurudi kijijini kwa mguu. Na kikundi hicho ni cha wafuasi wao wengi ambao wanaishi Tarime Mjini maana wakienda kwenye mkutano, wakarudi ofisini na kuchukua buku mbili basi wananyooka moja kwa moja kwenda nyumbani kwao.

Nimeweka picha yenye kipeperushi cha ahadi zake za 2015 ambazo katika kipeperushi hicho hakuweza kutekeleza hizo ahadi. Na ndio maana umma wa wana Tarime umesema wao wanaenda na Mh. Michael Kembaki na madiwani wake, na Mh. Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa ahadi thabiti zinazotekelezeka.



Imeandikwa na:

Deo Meck

Tarime
Naona anaka figure kazuri kanalipa, sema nywele ndio wig akiitoa unaweza kukimbia
 
ESTHER MATIKO ASUSWA NA VIONGOZI CHADEMA MKOA NA WILAYA

  • Ni Lucas Ngoto Mwenyekiti Mkoa, na Hamisi Nyanswi Mwenyekiti Wilaya.
  • Sababu kubwa ni dharau, kiburi na malingo.
  • Pia wanajiepusha na lawama ya kushindwa sababu hali yao ni tete.
  • Kushindwa kwake kutekeleza ahadi zake kwawa mwiba mkubwa katika kampeni zake.
  • Waamua bora waende kufa na Heche ambaye nae pia anapumulia mashine.
  • Hivi sasa kila mkutano wake ni wanachadema walewale wanahamasishana walau ionekane kuna watu.View attachment 1606972
Hali ya Chadema katika majimbo yote ya Tarime Mjini imezidi kuwa tete na hivi sasa viongozi wa Wilaya na Mkoa wamefarakana na mgombea wao wa Jimbo la Tarime Mjini, kwa sababu mbalimbali ikiwemo dharau, kiburi na malingo.

Hali hiyo imepekekea viongozi hao wakiongozwa na Lucas Ngoto na Hamisi Nyanswi kuamua kujikita na kampeni za Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini walau kuhalalisha wao kumkacha Esther Matiko ambaye hali yake ni mbaya sababu alishindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Katika ahadi alizoahidi mwaka 2015 zilizokuwa kwenye kipeperushi na zisizokuwa kwenye kipeperushi hajafanikiwa kutekeleza hata asilimia tatu (3%). Na kwa kuwa wananchi wana uelewa mpana sasa wanamuhoji kama uliahidi tukakupa kura ukashindwa kutekeleza ahadi basi wewe ni kiongozi mbabaishaji mkubwa.

Katika kuokoa jahazi hivi sasa Esther anawalipa wanachadema wanaohudhuria mikutano yake shilingi 2000 kwa kila mmoja kuficha aibu ya kutokuwa na wahudhuriaji kwenye mikutano yake, ndio maana baada ya mikutano wote huelekea ofisini kuchukua posho yake na watu wote ni wa sehemu moja.

Maana hakuna namna mtu atoke Kenyamanyori, Ketare, Nkende, Nyandoto n.k na kurudi ofisini baada ya mkutano na atembee kurudi kijijini kwa mguu. Na kikundi hicho ni cha wafuasi wao wengi ambao wanaishi Tarime Mjini maana wakienda kwenye mkutano, wakarudi ofisini na kuchukua buku mbili basi wananyooka moja kwa moja kwenda nyumbani kwao.

Nimeweka picha yenye kipeperushi cha ahadi zake za 2015 ambazo katika kipeperushi hicho hakuweza kutekeleza hizo ahadi. Na ndio maana umma wa wana Tarime umesema wao wanaenda na Mh. Michael Kembaki na madiwani wake, na Mh. Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa ahadi thabiti zinazotekelezeka.



Imeandikwa na:

Deo Meck

Tarime
Chadema kinajifia
 
Hana cha kupoteza,akikosa ubunge wa jimbo atapata ubunge wa kuteuliwa na akikosa vyote ataenda kufundisha chuo ,since alikuwa mhadhiri UDSM
 
ESTHER MATIKO ASUSWA NA VIONGOZI CHADEMA MKOA NA WILAYA

  • Ni Lucas Ngoto Mwenyekiti Mkoa, na Hamisi Nyanswi Mwenyekiti Wilaya.
  • Sababu kubwa ni dharau, kiburi na malingo.
  • Pia wanajiepusha na lawama ya kushindwa sababu hali yao ni tete.
  • Kushindwa kwake kutekeleza ahadi zake kwawa mwiba mkubwa katika kampeni zake.
  • Waamua bora waende kufa na Heche ambaye nae pia anapumulia mashine.
  • Hivi sasa kila mkutano wake ni wanachadema walewale wanahamasishana walau ionekane kuna watu.View attachment 1606972
Hali ya Chadema katika majimbo yote ya Tarime Mjini imezidi kuwa tete na hivi sasa viongozi wa Wilaya na Mkoa wamefarakana na mgombea wao wa Jimbo la Tarime Mjini, kwa sababu mbalimbali ikiwemo dharau, kiburi na malingo.

Hali hiyo imepekekea viongozi hao wakiongozwa na Lucas Ngoto na Hamisi Nyanswi kuamua kujikita na kampeni za Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini walau kuhalalisha wao kumkacha Esther Matiko ambaye hali yake ni mbaya sababu alishindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Katika ahadi alizoahidi mwaka 2015 zilizokuwa kwenye kipeperushi na zisizokuwa kwenye kipeperushi hajafanikiwa kutekeleza hata asilimia tatu (3%). Na kwa kuwa wananchi wana uelewa mpana sasa wanamuhoji kama uliahidi tukakupa kura ukashindwa kutekeleza ahadi basi wewe ni kiongozi mbabaishaji mkubwa.

Katika kuokoa jahazi hivi sasa Esther anawalipa wanachadema wanaohudhuria mikutano yake shilingi 2000 kwa kila mmoja kuficha aibu ya kutokuwa na wahudhuriaji kwenye mikutano yake, ndio maana baada ya mikutano wote huelekea ofisini kuchukua posho yake na watu wote ni wa sehemu moja.

Maana hakuna namna mtu atoke Kenyamanyori, Ketare, Nkende, Nyandoto n.k na kurudi ofisini baada ya mkutano na atembee kurudi kijijini kwa mguu. Na kikundi hicho ni cha wafuasi wao wengi ambao wanaishi Tarime Mjini maana wakienda kwenye mkutano, wakarudi ofisini na kuchukua buku mbili basi wananyooka moja kwa moja kwenda nyumbani kwao.

Nimeweka picha yenye kipeperushi cha ahadi zake za 2015 ambazo katika kipeperushi hicho hakuweza kutekeleza hizo ahadi. Na ndio maana umma wa wana Tarime umesema wao wanaenda na Mh. Michael Kembaki na madiwani wake, na Mh. Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa ahadi thabiti zinazotekelezeka.



Imeandikwa na:

Deo Meck

Tarime
Kama Msigwa tu.

Mkutano unakuwa na wahamasishaji tu. Wakazi wa eneo husika hata hawahudhurii.

Anasingizia eti wananchi wanatishwa na CCM wasihudhurie mikutano yake.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 
Kama Msigwa tu.

Mkutano unakuwa na wahamasishaji tu. Wakazi wa eneo husika hata hawahudhurii.

Anasingizia eti wananchi wanatishwa na CCM wasihudhurie mikutano yake.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Mbona hamueleweki.

CHADEMA wakijaza mikutano ooh mnadai sio wapiga kura.

Wasipojaza mikutano mnadai hashindi sababu hamna wakazi wameenda.

Kujaza uwanja ni indicator ya ushindi au sio?
 
Wasipojaza ndio ujue hali ni mbaya zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Iringa 2015 si mlijaza uwanja mzima na mkatoa matusi weee kwa Lowassa ila mliambulia kura ngapi?

Kwa majimbo ya incumbents maamuzi hufanyika hta kabla ya kampeni hazijaanza maana mnapima ahadi vs utekelezaji sio kelele za mikutanoni.

Sasa kma unadhani Jessca atashinda then unajidanganya.
 
Iringa 2015 si mlijaza uwanja mzima na mkatoa matusi weee kwa Lowassa ila mliambulia kura ngapi?

Kwa majimbo ya incumbents maamuzi hufanyika hta kabla ya kampeni hazijaanza maana mnapima ahadi vs utekelezaji sio kelele za mikutanoni.

Sasa kma unadhani Jessca atashinda then unajidanganya.
We subiri mwaka huu.

Msigwa ashachokwa Iringa mjini.

Mambo mengi hajayatimiza. Amebaki kuomba kura za huruma.
Anasema eti kuanzisha vicoba sio kazi ya mbunge, kwani kama kitu kinafaida kwa jamii kwani kuna ubaya kukifanya hata kama sio jukumu lako.
Unaona watu wanateseka na uwezo wa kuwasaidia unao, unasema sio kazi yangu.

Jesca ndio chaguo la wana Iringa mjini kwa sasa.

Vipindi viwili alivyokaa vimemtosha atafute kazi nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 
We subiri mwaka huu.

Msigwa ashachokwa Iringa mjini.

Mambo mengi hajayatimiza. Amebaki kuomba kura za huruma.
Anasema eti kuanzisha vicoba sio kazi ya mbunge, kwani kama kitu kinafaida kwa jamii kwani kuna ubaya kukifanya hata kama sio jukumu lako.
Unaona watu wanateseka na uwezo wa kuwasaidia unao, unasema sio kazi yangu.

Jesca ndio chaguo la wana Iringa mjini kwa sasa.

Vipindi viwili alivyokaa vimemtosha atafute kazi nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Mliyasema hya hya 2015 lakini nadhanu wote tuliona yaliyotokea. Huyo Jessca si ndio alikua mwenyekiti wenu kipindi Msigwa anawatandika mkaishia kumuita msaliti!! Leo hii ndio aje amng'oe Msigwa akiwa hana mamlaka yale ya 2015?

Anyway tutakutana hapa Tar 29 tukumbushane
 
Back
Top Bottom