Uchaguzi 2020 Esther Matiko asuswa na viongozi wa CHADEMA wilaya na mkoa

Sawa,

Tungojee tarehe husika.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 
Lumumba wanaliwazana kweli hapa, huyo Deo mwenyewe hana ubavu kwa Esther, kama amabisha mwambieni apelele pua yake pale aone.
 
Naona umeamua kupuu kabisa
 
Its been a minute and it will be another minute. Before we know it.....its............
 
Ashindwe ubunge mabaharia tupate jinsi ya kumuingia.. Mtoto mkali sana huyu. Akikosa tu ubunge bavicha anzeni kuniita shemeji BUSH BIN LADEN
Safarini kuelekea Tarime kwenda kuyajenga na bidada anae ukonga moyo wangu, Ester Matiko. Bavicha mlioko mitaa ya Tarime naombeni kampani yenu nikifika huko. Lazima mwaka huu niwe shemeji yenu
 
Subiriii HECHEE WAKOOO
ATAKUWAA HACHAAA
 
Safarini kuelekea Tarime kwenda kuyajenga na b@idada anae ukonga moyo wangu, Ester Matiko. Bavicha mlioko mitaa ya Tarime naombeni kampani yenu nikifika huko. Lazima mwaka huu niwe shemeji yenu
Dah BIN LADEIN matamanio yako yamekua kweli😍 sasa shindwa mwenywe😂😂😂😂
Ashindwe ubunge mabaharia tupate jinsi ya kumuingia.. Mtoto mkali sana huyu. Akikosa tu ubunge bavicha anzeni kuniita shemeji BUSH BIN LADEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…