Tatizo si mkopo ila ni ufisadi wa JK katika huo mkopoKabisa, kwa mkopo tulioingia sioni umeme ukiwa bei rahisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo si mkopo ila ni ufisadi wa JK katika huo mkopoKabisa, kwa mkopo tulioingia sioni umeme ukiwa bei rahisi.
Tatizo si mkopo ila ni ufisadi wa JK katika huo mkopo
Umesema kweli maana tunakuwa tunalipa deni pamoja na interest. Kutokuwa na viongozi wasio na maono ni shida kweli. Hata vijukuu vyetu watakuja kulipia haua madeni maana yanaonekana kupaa kila siku.Hata hiyo stiegler ikikamilika, bado umeme utakuwa bei juu tu.
Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha CHADEMA, Esther Matiko amelalamikia gharama kubwa za umeme Tanzania huku akitolea mfano wakazi wanaoishi Kagera na kutumia umeme kutoka Uganda wanalipia 10,000 na kupata unit 80 ilihali kwa fedha hiyo Tanzania inanunua unit 28 pekee.
Huenda huko atatambulika kama mbunge!Hamia kwa Yoweri.
Point!Ndio matatizo ya monopoly hiyo upuuzi mtupu huduma mbovu bei kubwa , hawa wajinga ilibidi wapatiwe mshindani WA kibiashara huu uduwanzi WA kuhodhi sekta ni ujinga , yaletwe makampuni yazalishe umeme Kwanza ajira zitatengenezwa zaidi , kuna wahandisi wa umeme wapo mitaani wanasaga rumba ajira hamna , pia competition itawaforce bei kushuka Tu pia customer care na huduma Kwa ujumla kuboreka
Nani anatawala hii nchi sasa kupitia kivuli cha Samia?Mkuu JK na mkopo wa SG wapi na wapi?
SG haukuwa mpango wa JK pls.Nani anatawala hii nchi sasa kupitia kivuli cha Samia?
Kwanini umesema hivyo mkuu?[emoji3][emoji3]Ndio maana nchi hii watu wengi wanazeeka mapema
SG haukuwa mpango wa JK pls.
Dogo Tatizo huwa unakurupuka tu. Nasema JPM alitaka kusiwe na ufisadi ili unit ya umeme iwe na bei ndogo. Hivyo alizuia mikopo yenye ufisadi. Kwa sasa anayeongoza kwa kivuli cha Samia anapenda ufisadi, lazima amuingize chaka Samia ili akope na ufisadi uwepo ndani. Ufisadi ndiyo hufanya end product kuwa ya ghali.SG haukuwa mpango wa JK pls.
Sij
Dogo Tatizo huwa unakurupuka tu. Nasema JPM alitaka kusiwe na ufisadi ili unit ya umeme iwe na bei ndogo. Hivyo alizuia mikopo yenye ufisadi. Kwa sasa anayeongoza kwa kivuli cha Samia anapenda ufisadi, lazima amuingize chaka Samia ili akope na ufisadi uwepo ndani. Ufisadi ndiyo hufanya end product kuwa ya ghali.
Akili yako ndogo tuUkope 6.5t kisha utegemee umeme uwe na bei ndogo, acha utani basi boss.
InawezekanaAisee....
hv mtu wa dar naweza kutumia umeme wa kagera
Stiegler ipi tena? Ile 2115 MG? Mbona project imekufa?
ADB wametoa mkopo kuzalisha umeme kwenye mto gan sijui kama project ingekua hai si tungesubiri za jpm 2115 MG?i see