Esther Matiko: Unapoingia Segerea unavuliwa nguo zote, unaambiwa "unakaguliwa na hata kama ni Mama utaruka kichurachura"

Esther Matiko: Unapoingia Segerea unavuliwa nguo zote, unaambiwa "unakaguliwa na hata kama ni Mama utaruka kichurachura"

Mbunge huyu ana hoja ya maana hata kama ni wa chadema.Imagine mama yako mzazi,dada yako,mkeo,mwanao wa kike yupo kwenye siku zake anabaki uchi anaruka kichura chura ili akaguliwe.Nimejiskia vibaya sana kwa kitendo hiki kufanyiwa mtu.Lakini ewe Binti Matiko sheria si zinatungwa huko Bungeni?wekeni sheria sawa sio kula posho na kukopa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.Pia msisahau kurekebisha fao la kujitoa ni ukoloni mambo leo.Nchi za wenzetu zilizoendelea unaweza kukopeshwa hata kama huna dhamana ukiwapa business proposal wakiichambua unakopa,sisi tumekazania vitu vya kikoloni.Shangaeni kwa wenzetu mtu ana miaka 18 amemaliza chuo kikuu sisi tunaingia madarasa na madarasa bila kujua tulifanyiwa vile ili kucheleweshwa.
 
Prison is not home !!!! ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia...

Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengene

Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamiks
Baada ya kuuweka u-covid-19 wake naona ana hoja ya msingi inayohitaji majibu ya kina toka serikalini.

Sidhani kama sisi tupo sahihi kuhusu mageleza zetu, wenzetu walioendelea walikuwa na mageleza kama zetu kwenye karne ya 16 na 17 ila wakaachana nazo!! kumtesa na kumwaibisha (intimidate) mtu gelezani si njia sahihi ya kumfunza ili ajutie makosa yake... instead unaweza kumfanya mfungwa kuwa sugu zaidi - Refer ule msamaha wa wafungwa lukuki kipi kilitokea walivyorudi uraiani.

Nafikiri kuna sehemu hatuko sawa, kutumia mageleza kama torturing place hatuko sahihi rather tunafanya hawa wafungwa kuwa sugu.
 
Prison is not home !!!! ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia...

Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengene

Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamiks
Kasema zifungwe mashine za ukaguzi, au hii sio njia ya ufumbuzi kwako?!
 
Prison is not home !!!! ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia...

Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengene

Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamiks
Kwani hajasema mbinu yakutumika?

soma tena
 
Prison is not home! ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia.

Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengine.

Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamika.
Kwahiyo wewe uliona utoe majibu kwanza ndio baadae ukasome hoja iliyotolewa??
 
Prison is not home! ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia.

Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengine.

Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamika.
Airport huwa wanavua nguo? na wanaoshikwa na madawa ya kulevya tumboni huwa wanaingizwa vidole tumboni?

Tumieni teknolojia adhabu inaenda na haki za binadamu ndio maana mtu hanyongwi hadharani ila sirini.
 
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko, ameitaka Serikali kufunga mashine maalum kwenye Magereza ili kuondoa malalamiko ya Wafungwa kukaguliwa wakiwa uchi wa mnyama jambo ambalo ni kinyume na Haki za Binadamu.

“Unapoingia Segerea unavuliwa nguo zote, unaambiwa unakaguliwa na hata kama ni mama upo kwenye siku zako utaruka kichurachura ili waone kama kuna kitu umeficha huku chini"- Ameeleza Esther Matiko.

Tuwe na vifaa vya kisasa vya ukaguzi, kama kuna kitu ameweka tumboni kitaonekana kuliko wanavyofanya sasa hivi, ni udhalilishaji

Spika wa Bunge, Job Ndugai, amesema ukaguzi wa namna hiyo ni mapokeo ya kikoloni na yanaondoa Utu wa Mtu kwasababu sio sawa kwa Wanawake na hata Wanaume kukaguliwa kwa hali ya udhalilishaji.

Aidha, Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amemtaka Mbunge kuweka wazi ni wapi matukio kama hayo yanafanyika ili wahusika waweze kuchukuliwa hatua.
Enzi ya dikteta wangeongea hivyo?
 
Kwanini waziri anauliza atajiwe ni gereza lipi ili wahusika wachukuliwe hatua?

Hatua gani atazochukua wakati huo ndio utaratibu wa magereza zote nchini?

Inawezekana huyu waziri hajawahi kuwekwa mahabusu na hatimaye gerezani ndio maana kuna umuhimu wa viongozi wa kisiasa karibu wawe wanafungwa kwanza ili wajifunze ni kwa kiwango gani raia huwa wanadhalilika gerezani.

Wanasiasa ndio watungaji wa sheria, spika kudai ni sheria za mapokeo kutoka ukoloni kwa hiyo yeye kama mkuuwa mhimili wa utungaji sheria kwanini hajawahi kuishauri serikali kurekebisha sheria hizo dhalili?
Wakiwa madarakani huwa ni wapumbafu sn, Lowasa na Sumaye walipokuwa mawaziri wakuu walikuwa wanaona katiba ni nzuri sn, walipoenda CHADEMA wakaanza kudai katiba mpya nao.
 
Prison is not home! ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia.

Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengine.

Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamika.
"Tuwe na vifaa vya kisasa vya ukaguzi, kama kuna kitu ameweka tumboni kitaonekana"

Hapo bado hajaonyesha njia?
 
Wanapuuza wakifikiri jela ni sehemu ya watu flani tu. Itafika zamu yao siku wasiyoijua.
Inaweza wasiwe wao hata watoto wao wataipata, Ali Bashiri wa Sudani kama sikosei analalamika kila siku magereza hakufai lakini enzi yake kila mtu alikuwa anampeleka gerezani
 
Prison is not home! ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia.

Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengine.

Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamika.
Wewe kweli unakula mavi. Sijui ni livivu la kusoma. Huoni ameeleza mashine zitumike badala ya hizo njia zinazotweza utu wa watu.
 
Hilo li Simbachawene ni hopeless kabisa. Maafrika sijui nani katuroga. Yaani anajibu kana kwamba hilo suala ni geni. Matako yake makubwa!
 
Prison is not home! ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia.

Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengine.

Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamika.
Umeelewa ushauri wa mbunge au una bwabwaja tu
 
Back
Top Bottom