Raia mdogo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2018
- 1,387
- 1,518
Ni wachina wanajenga sijajua jina la kampuni ipo vizuri japo haijaisha.Naomba kujua kampun inayojenga barabara pale mafinga ukiwa unaenda mbeya kiukwel uki drive kwenye njia ile unahisi hauko Tanzania ingawa haijakamilika ila hongera kampuni hiyo.
Ule ujenzi ulikua wa kisiasa [emoji1]Huyo estim amejenga kipande kutoka morroco hadi barabara inamabonde kma shamba la carrot
SureSTRUBAG ndio baba lao
Jeetu PatelHii kampuni ni ya Nani?
Mkuu nafikiri wote tupo sahihi.. Ila ukifuatilia utajua kwa nini nasema estim wamejenga hiyo barabara ya Mwenge Tegeta.Waliojenga mwenge tegeta sio estim ni Konoike..
Estim wamejenga mwenge-morocco
Hahahahaha..., duuh.., utaratibu wa wapi huu?Tenda itatangazwa ujenzi wa bara bara ukikamilika.🙄
Nimekumbuka emvi DSMCha muhimu barabara ijengwe hii michakato ya tenda sometimes ni ubabaishaji tu
Morocco-Mwenge nayo ni ya KUJIVUNIA?Estim wako vyema in capital,equipments na personel..uhusiano wao na konoike umewabeba sana,sasa wanaweza compete na mchina squarely!
1.bagamoyo _ msata.
2.morroco _ mwenge
3.mbezi mwisho_tangi bovu
4.makumbusho bus stand sorrounding roads
5.morroco square.
6.posta twin towers.
Hapo kupanuliwa mwendo kasi Kibo - Kimara ndio sijaelewa hapo, inapanuliwa kivipi..?labda kuna kitu hatujakielewa..
mwendo kasi inapanuliwa kutoka kibo hadi kimara? kivipi?
na njia sita hadi kibaha hii ni bara bara za kawaida wataziweza
We kweli kilazaCha muhimu barabara ijengwe hii michakato ya tenda sometimes ni ubabaishaji tu
Njia sita zingeanzia mjini kabisa..Inakusaidia nini kuwa na njia sita kuanzia kimara-kibaha wakati huohuo kuingia mjini kuna barabara moja zinakuja 6 inatoka 1 msongamao hautapungua hapo ni matumizi mabaya ya fedha za mikopo
Naukumbuka huo uzi,ulibandikwa during JK eraLakini nakumbuka kuna uzi uliletwa hapa ukionesha barabara imepasuka, (sina uhakika kama ilikuwa kwa lengo la kuichafua kampuni au vinginevyo) kwa mtazamo wangu naona barabara iliyojengwa kwa kiwango kizuri ni ile inaanzia daraja mbili kwenda Iringa japo sijui ni kampuni gani iliijenga