Tetesi: ESTIM kujenga barabara Kimara - Kibaha

HAPO NAMBA TATU NIMEWAPENDA ZAIDI NAHISI WANATOAGA GUARANTEE ZIKIARIBIKA..MNAOOOKAA TANKIBOVU ESTIM WALE WAUSIKU WANAOREKEBISHA VIPANDE VILIVYOARIBIKA NDIOHAO
 
HAKUNANPATEL MASKINI KILA NCHI UENDAKO WANA UTAJIRI KUANZIA UKOO VINAVYOKUJA N NYONGEZA WWLIZONAZO
 
HAPO NAMBA TATU NIMEWAPENDA ZAIDI NAHISI WANATOAGA GUARANTEE ZIKIARIBIKA..MNAOOOKAA TANKIBOVU ESTIM WALE WAUSIKU WANAOREKEBISHA VIPANDE VILIVYOARIBIKA NDIOHAO
Hivyo vipande vyenyewe mbona kama wameweka pechi za matuta ukipita utasikia tairi kwaaa kwaaa viraka kama vya tanroads, bure kabisa wawape SOGEA kampuni iliyojenga kipande cha uyole-kyela wale komesha barabara tangu earlier 90 bado iko smoooth kama ya jana
 
labda kuna kitu hatujakielewa..
mwendo kasi inapanuliwa kutoka kibo hadi kimara? kivipi?
na njia sita hadi kibaha hii ni bara bara za kawaida wataziweza
Somatenaampwaa
Tokaa kmr mpaka kibaha
Anyway niliwahi kumwambia mtuhapa mjadala mmoja was bomobomoa hatawavunjekote lazima wajenge kwanza kmr kibamba..hiindio najua na pesa ilitolewa wah wakaishia kmr ..nahisi mojayamasharti n lazima wamalizie ile barabara kwanza...na estim wataifanya kwa miaka miwili so hats hip mwaka.mmoja sahau
 
Achatu mpwaaa twende wanavyotaka shukuru nahivyo viraka..
 
Sogea kampuni ya nchi gani
 
Estim yupo vizuri sana, ila sijaiona kazi yake hata moja
 
Cha muhimu barabara ijengwe hii michakato ya tenda sometimes ni ubabaishaji tu
Mkuu kichwani kuko sawa kweli? unajua maana ya tender,taratibu zake, kutangazwa na sababu zake? kama sio tatizo la shule basi wewe sio mzima.
 
Mkuu wana chuki na wivu tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…