SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,073
CaspianSio ya Rostam Aziz. ROSTAM ana kampuni nyingine ipo migodini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CaspianSio ya Rostam Aziz. ROSTAM ana kampuni nyingine ipo migodini
Umeona eeMorocco-Mwenge nayo ni ya KUJIVUNIA?
Hapo angetatua tatizo sio kwa mpango alio nao ni sawa na kuhamishia kabati la nguo sebuleni ukasema sasa chumba cha kulala kikubwa umesahau huwezi badiri nguo sebureniNjia sita zingeanzia mjini kabisa..
StrabagSTRUBAG ndio baba lao
Barabara ya hovyp kabisa,imetuingiza gharama na hapo tunaambiwa mkorea ame inject hela ijengwe tena,Umeona ee
Ulikua wa kutia nchi hasara tu yani barabara inamabonde bonde ukiwa speed unaweza jua tyre la gari lako limechomokaUle ujenzi ulikua wa kisiasa [emoji1]
WakopoaaasanaaaTender ilitangazwa mwezi wa 12 kama sikosei Estim wanapiga kazi istoshe JPM anamkubali sana yule mdosi wa Estim walitoka mbali tangu enzi za ujenzi
HAPO NAMBA TATU NIMEWAPENDA ZAIDI NAHISI WANATOAGA GUARANTEE ZIKIARIBIKA..MNAOOOKAA TANKIBOVU ESTIM WALE WAUSIKU WANAOREKEBISHA VIPANDE VILIVYOARIBIKA NDIOHAOEstim wako vyema in capital,equipments na personel..uhusiano wao na konoike umewabeba sana,sasa wanaweza compete na mchina squarely!
1.bagamoyo _ msata.
2.morroco _ mwenge
3.mbezi mwisho_tangi bovu
4.makumbusho bus stand sorrounding roads
5.morroco square.
6.posta twin towers.
Hivyo vipande vyenyewe mbona kama wameweka pechi za matuta ukipita utasikia tairi kwaaa kwaaa viraka kama vya tanroads, bure kabisa wawape SOGEA kampuni iliyojenga kipande cha uyole-kyela wale komesha barabara tangu earlier 90 bado iko smoooth kama ya janaHAPO NAMBA TATU NIMEWAPENDA ZAIDI NAHISI WANATOAGA GUARANTEE ZIKIARIBIKA..MNAOOOKAA TANKIBOVU ESTIM WALE WAUSIKU WANAOREKEBISHA VIPANDE VILIVYOARIBIKA NDIOHAO
Somatenaampwaalabda kuna kitu hatujakielewa..
mwendo kasi inapanuliwa kutoka kibo hadi kimara? kivipi?
na njia sita hadi kibaha hii ni bara bara za kawaida wataziweza
Achatu mpwaaa twende wanavyotaka shukuru nahivyo viraka..Hivyo vipande vyenyewe mbona kama wameweka pechi za matuta ukipita utasikia tairi kwaaa kwaaa viraka kama vya tanroads, bure kabisa wawape SOGEA kampuni iliyojenga kipande cha uyole-kyela wale komesha barabara tangu earlier 90 bado iko smoooth kama ya jana
Pdidy. Pumzisha akili yaani lala sasa kunakaribia kuchaAchatu mpwaaa twende wanavyotaka shukuru nahivyo viraka..
Sogea kampuni ya nchi ganiHivyo vipande vyenyewe mbona kama wameweka pechi za matuta ukipita utasikia tairi kwaaa kwaaa viraka kama vya tanroads, bure kabisa wawape SOGEA kampuni iliyojenga kipande cha uyole-kyela wale komesha barabara tangu earlier 90 bado iko smoooth kama ya jana
Mkuu kichwani kuko sawa kweli? unajua maana ya tender,taratibu zake, kutangazwa na sababu zake? kama sio tatizo la shule basi wewe sio mzima.Cha muhimu barabara ijengwe hii michakato ya tenda sometimes ni ubabaishaji tu
Mkuu wana chuki na wivu tu,unaongea bila kuwajua unaowaongelea.. nitajie barabara gani kwa sasa hapa tanzania ina ubora kama ile ya msata -bagamoyo na hao ESTIM ndio waliojenga hyo barabara sio kila kitu unacriticise sometime fanya research ya kujua CV ya huyo unayemcriticise au kisa shubash patel ni mhindi ndo imekuwa nongwa