Ethics/Moral philosophy inaweza kua suluhisho ya matatizo yako

Ethics/Moral philosophy inaweza kua suluhisho ya matatizo yako

Da'Vinci nimekusoma sana kuna mwana falsafa kutoka Germany anaitwa Immanuel Kant aliongelea kuhusu ethics inaitwa Deontology "deo' ni neno la kigiriki liki maanisha duty ama majukumu.

Anasema jambo lolote utakalofanya haijalishi ni baya ama ni nzuri bali litaangaliwa kwa mtazamo wa sheria zilizowekwa ndio maana unaona dunia nzima waroma wanafuata amri 10 za Mungu bila kujali. Sheria iwe mbaya kiasi gani mfano adhabu ya kifo haijalishi ni itaumiza kiasi gani lakini kwa kuwa mlikubaliana inapaswa kuheshiwa.
Hivyo kwenye mikopo umiza huhitajiki kujitetea kiasi gani kama ulikubali mwanzo sharti deni ulipe.

Kuna mwanafalsafa mwingine kutoka England anaitwa Jeremy Bertham ameishi miaka ya 1400.. Aliandika theory ya Utilitarianism " Hii ni tofauti na deontology' anasisitiza jambo lolote litakalofanywa ikiwa litaleta furaha na faida kwa watu wengi zaidi basi jambo hilo linapaswa kuendelezwa[emoji93]

Hapa ndio utasikia misemo kama majibu ya wengi ni majibu ya Mungu [emoji23][emoji23]. Wengi wape au nguvu ya umma. Hizi falsafa ndio zinaongoza dunia.

Kuna ethics kibao sasa hivi kuna ishu ya AI au akili bandia na ugunduzi unaotokana na science technology innovation and engineering. Hawa philosophers jamii ya tuliowasema ndio wanahakikisha dunia inakuwa sehemu salama kwa kila mtu au kwa watu wengi[emoji23][emoji23][emoji23].

Dunia inakoelekea mwanamke hatohitajika kubeba mimba tena kuepusha kujiweka katika hatari ya kufariki akiwa anajifungua hivyo mimba zitalelewa maabara wanandoa watakwenda kuchukua mtoto baada ya miezi 9. Pia tunaweza kupunguza muda wa kukuza mtoto kutoka miezi 9 mpaka 3 [emoji23][emoji23][emoji1].

Scientists hatujawahi kushindwa kitu huwa tunachelewa tu but kufanikisha ni lazima[emoji23][emoji23].
Hawa philosophers ndio wanatuchelewashaga. But ni muhimu sana ndio maana dunia inatawalika mpaka sasa

Vijana kunyweni bia dini waachieni wazeee narudia kunyweni pombe. Bia ni uchumi jengeni nchi yenu beer[emoji485]
 
Moral decisions...
Kama huku faida za kukamatwa kwangu zitakua zinafaida kuliko kutokamatwa basi...Nikamatwe tu.
Ethicist tunajua kifo ni hatma yetu sote at any time. So pindi faida za kufa zinapozidi kuishi basi we embrace the fate[emoji3526]

But simotivate yeyote kujiua, ila nataka watu tufanye maamuzi kwa kuzingatia Moral decisions
Mkuu nakubaliana na wewe, lkn ninapingana na wewe Kidogo, Kwasababu Binadamu huwa anapitia Nyakati mbalimbali, za ugumu na wepesi, sasa inaweza kutokea mtu kupitia Wakati ambao ni very tough na kukataliwa na jamii lkn hali hiyo ikapita, kisha ikaja Nyakati Nzuri. Hata Maandiko Matakatifu yanatupa Mfano mzuri wa Nabii Ayubu,ambaye alipitia Wakati mgumu, lkn alivumilia mwanzo mwisho, na Baadaye Mungu akamrudishia Vyote alivyovipoteza. Ktk Ukristo tunajifunza kuvumilia mapito tunayopitia bila kujali ni makubwa Kiasi gani, Ndivyo tunavyoaswa pia na Stoic Phillosophers km vile Epictectus na wenzake. Kumbe tusijisubject Kwenye kifo Kwasababu ya Changamoto za Maisha, bali tuwe wavumilivu Maana yatakwisha tu. Huwa Napenda usemi unaoandikwa Kwenye vyombo vya Usafiri siku hizi ukisema "HILO NALO LITAPITA."
 
Mkuu nakubaliana na wewe,lkn ninapingana na wewe Kidogo,Kwasababu Binadamu huwa anapitia Nyakati mbalimbali,za,ugumu na wepesi,sasa inaweza kutokea mtu kupitia Wakati ambao ni very tough na kukataliwa na jamii lkn hali hiyo ikapita,kisha ikaja Nyakati Nzuri .Hata Maandiko Matakatifu yanatupa Mfano mzuri wa Nabii Ayubu,ambaye alipitia Wakati mgumu,lkn alivumilia mwanzo mwisho,na Baadaye Mungu akamrudishia Vyote alivyovipoteza.Ktk Ukristo tunajifunza kuvumilia mapito tunayopitia bila kujali ni makubwa Kiasi gani,Ndivyo tunavyoaswa pia na Stoic Phillosophers km vile Epictectus na wenzake.Kumbe tusijisubject Kwenye kifo Kwasababu ya Changamoto za Maisha,bali tuwe wavumilivu Maana yatakwisha tu.Huwa Napenda usemi unaoandikwa Kwenye vyombo vya Usafiri siku hizi ukisema "HILO NALO LITAPITA."
Mkuu hoja yako imesiamamia kwenye falsafa za kidini/kiimani. But philosophers wengi hawakua na imani hiyo ndio maana moja ya sababu ya kuuawa kwa Socrates ni kutokuabudu miungu ya kigiriki coz alikua haamini katika Mungu/miungu/dini.

So kwa mlengo wa falsafa za kidini upo sahihi ila kwa wasioamini hawawezi kuunga hoja yako
 
Da'Vinci nimekusoma sana kuna mwana falsafa kutoka Germany anaitwa Immanuel Kant aliongelea kuhusu ethics inaitwa Deontology "deo' ni neno la kigiriki liki maanisha duty ama majukumu.

Anasema jambo lolote utakalofanya haijalishi ni baya ama ni nzuri bali litaangaliwa kwa mtazamo wa sheria zilizowekwa ndio maana unaona dunia nzima waroma wanafuata amri 10 za Mungu bila kujali. Sheria iwe mbaya kiasi gani mfano adhabu ya kifo haijalishi ni itaumiza kiasi gani lakini kwa kuwa mlikubaliana inapaswa kuheshiwa.
Hivyo kwenye mikopo umiza huhitajiki kujitetea kiasi gani kama ulikubali mwanzo sharti deni ulipe.
Dunia inafuata amri 10 za Mungu kwa kuzingatia Ethics. Faida za kufuata sheria hizo ni nyingi kuliko hasara. Bila hofu ya sheria hizo kila mtu angeishi atakavyo...angebaka,angeua,angeiba nk
Laws and Orders ndio zinatutenganisha binaadamu na wanyama.
Kuna mwanafalsafa mwingine kutoka England anaitwa Jeremy Bertham ameishi miaka ya 1400.. Aliandika theory ya Utilitarianism " Hii ni tofauti na deontology' anasisitiza jambo lolote litakalofanywa ikiwa litaleta furaha na faida kwa watu wengi zaidi basi jambo hilo linapaswa kuendelezwa[emoji93]

Hapa ndio utasikia misemo kama majibu ya wengi ni majibu ya Mungu [emoji23][emoji23]. Wengi wape au nguvu ya umma. Hizi falsafa ndio zinaongoza dunia.

Kuna ethics kibao sasa hivi kuna ishu ya AI au akili bandia na ugunduzi unaotokana na science technology innovation and engineering. Hawa philosophers jamii ya tuliowasema ndio wanahakikisha dunia inakuwa sehemu salama kwa kila mtu au kwa watu wengi[emoji23][emoji23][emoji23].

Dunia inakoelekea mwanamke hatohitajika kubeba mimba tena kuepusha kujiweka katika hatari ya kufariki akiwa anajifungua hivyo mimba zitalelewa maabara wanandoa watakwenda kuchukua mtoto baada ya miezi 9. Pia tunaweza kupunguza muda wa kukuza mtoto kutoka miezi 9 mpaka 3 [emoji23][emoji23][emoji1].

Scientists hatujawahi kushindwa kitu huwa tunachelewa tu but kufanikisha ni lazima[emoji23][emoji23].
Hawa philosophers ndio wanatuchelewashaga. But ni muhimu sana ndio maana dunia inatawalika mpaka sasa

Vijana kunyweni bia dini waachieni wazeee narudia kunyweni pombe. Bia ni uchumi jengeni nchi yenu beer[emoji485]
Science ni kipande kidogo ndani ya Philosophy. Phylosophy ndio imezaa kila kitu na kila aina ya ustaarabu.
Faida za kukuza mtoto maabara zinaweza kua nyingi ila hasara inaweza kua kubwa zaidi.
Eg. Tutapoteza sifa yetu ya uasili wa binaadam, mwiaho tunakua kama haya maBroilers.
But mimi kama Futurist naamini tutafika huko tu, na hasara itakua kubwa sana
 
Nashauri inatupasa tukimbie matatizo japo matatizo hutuafuta huko huko tukimbiliapo!!
Asante 😳😳😳
I fight the world, I fight you, I fight myself
I fight God, just tell me how many burdens left
I fight pain and hurricanes, today I wept
I'm tryna fight back tears, flood on my doorsteps
Life a livin' hell, puddles of blood in the streets
Shooters on top of the building, government aid ain't relief
Earthquake, the body drop, the ground breaks
The poor run with smoke lungs and Scarface
Who need a hero? (Hero)
You need a hero, look in the mirror, there go your hero

It's all prophecy and if I gotta be sacrificed for the greater good
Then that's what it gotta be

-Kendrick Lamar
 
Wakuu,

Moral philosophy ni tawi la falsafa linalohusu nadhalia za maadili (Ethics) na kanuni za maisha. Falsafa hii inamtaka mtu mtu kufanya maamuzi yake kwa kuangalia/kupima faida na hasara, uzuri na ubaya, Haki na dhuruma, na jinsi maamuzi yake yanaweza kuathiri wengine.

NB: mtu anayejihusisha na falsafa hii anaitwa Ethicist!

So, Ethicist anapofanya jambo lake either kwa matendo au maneno yake huwa kwanza anaangalia faida na hasara ya kufanya jambo hilo.

Socrates baada ya kuitwa kwenye baraza la wazee akasomewa mashtaka yake, moja ya shtaka ikiwa kuwapotisha vijana kwa mafundisho yake alikubali kunywa sumu ili afe maana alitafakari faida na hasara, uzuri na ubaya wa yeye kuendelea kuishi, na jinsi uwepo wake kuwa duniani unaweza kuathiri Wengine. Suluhisho akaona afe.

Kuna wakati dawa ya tatizo sio kuendelea kupambana nalo bali inabidi utafakari Ethics za maisha. Maana kadri ya unavyozidi ku "Hold On" ndio unavyozidi kuumia.

Kwa mfano una mpenzi/mchumba wako unampenda sana ila huna uwezo wa kumuhudumia, ila pia kuna mtu anampenda mpenzi wako uwezo anao mzuri. Kama Ethicist inatakiwa umuachie mpenzi wako huyo aende kwa mtu huyo maana faida ni chache kuliko hasara za kua nawe. Akiwa na mtu huyo mwenye maisha mazuri atapata huduma zote pia anaweza kujenga familia na kuzaa kizazi chenye Unafuu wa maisha.

Example 2: Maisha yamekuchapa kila ukitafuta kusudi la wewe kuleta duniani hilioni. Kila unachofanya hakiendi. Kaa chini tafakari faida na hasara za wewe kuishi.

Faida: Ukifa unapunguza population density, Eneo lako ambalo ungekaa atakaa mtu mwingine mwenye thamani katika maisha, ukifa Unapunguza competition ya resources za duniani, ukifa utatengeneza fosil fuel, ukifa utarututubisha ardhi miti na majani yaote izalishe Oxygen watu wenye Maana duniani wataivuta.

Hasara: Ukifa watu watahuzunika na kulia ila baada ya wiki tu watasahau na maisha yatendelea.

I'm not encouraging anyone to die ila nilijaribu kuwatazamisha ni jinsi gani ethics inaweza kusaidia kutatua matatizo yako mbalimbali kwa kufuata faida na harmsara ya kila jambo utendelo. Socrates, Plato, Aristotle, Zeno, Marcus aurelius wote hawa walikua Ethicist. Kutokana na mawazo yao haya wameweza kuishape dunia kwa kiwango kikubwa.

But ili uweze kuishika Moral philosophy vyema inatakiwa uwe ni mfuasi japo kwa kiwango kidogo wa falsafa ya Stoicism.

Nitaeleza Stoicism kwenye comment.
-Vinci
hiki ulichozungumzia kinapatikana kwenye degree ya kwanza ya mafunzo jamii ya Freemasonry.. correct me if am wrong
 
hiki ulichozungumzia kinapatikana kwenye degree ya kwanza ya mafunzo jamii ya Freemasonry.. correct me if am wrong
What are you trying to insinuating Sir slash Madame??
I don't get it, the point. Prior to your statement.
Enlight me🤔
 
I'm bad, and that's Good. I'll never be good, and that's not bad.
There's no one I'll rather be, than myself.😔
 
Hujachelewa kufanya maamuzi yako kwa kuzingatia Ethics
 
Hasara: Ukifa watu watahuzunika na kulia ila baada ya wiki tu watasahau na maisha yatendelea.
Kifo ni jambo zito.

Kama kuna jambo ambalo uharibifu wake ni zaidi ya kifo chenyewe, umakini unatakiwa katika kutekeleza hilo.

Hatahivyo, tendo hilo bado linabaki kosa.
 
Kifo ni jambo zito.

Kama kuna jambo ambalo uharibifu wake ni zaidi ya kifo chenyewe, umakini unatakiwa katika kutekeleza hilo.

Hatahivyo, tendo hilo bado linabaki kosa.
Kama faida ya kufa ni kubwa kuliko kuishi basi haina budi kutekeleza jambo hilo zito mkuu
 
Hii niliisoma kidogo nikawa nauliza maswali mazito kidogo,siku moja Dr akanifuata na kunitaka nimwandikie faida kumi za kuwa hai na kuwa hapo chuoni na pia hasara kumi za kufa na kuondolewa chuoni,mwisho akanitaka nimwandikie hasara za mimi kutomzaa baba yangu.Ilikuwa hatara hapo kwenye majibu!
 
Kama faida ya kufa ni kubwa kuliko kuishi basi haina budi kutekeleza jambo hilo zito mkuu
Kuna faida ya kuishi kuliko kufa.Na ukifa basi ufe kifo cha asili....Ethics ya kujiua ni uoga, hakuna justification ya mtu kujitoa uhai mwenyewe..kujitoa uhai mwenyewe ni dalili ya UBINAFSI na uchoyo uliotukuka..hivyo ni ant-ethics.Uwepo wa mtu yoyote unafaida kuliko kutokuwepo lkn inategemea na uwezo wa jicho la ndani kuona umuhimu wa mtu, siongelei materials & possessions, naongelea uwepo wa mtu unaojengwa na kuzungukwa na upendo.Upendo huvumilia, upendo hauna ubinafsi, upendo huheshimu, upendo uficha madhaifu, upendo hauna chuki, upendo hauna tamaa n.k.
Baki uishi "no matter what" mpaka pale nguvu ya asili uliyosababisha wewe kuwepo bila kutaka au kuamua itakopoamua kukurudisha kusikojulikana.
 
Kuna faida ya kuishi kuliko kufa.Na ukifa basi ufe kifo cha asili....Ethics ya kujiua ni uoga, hakuna justification ya mtu kujitoa uhai mwenyewe..kujitoa uhai mwenyewe ni dalili ya UBINAFSI na uchoyo uliotukuka..hivyo ni ant-ethics.Uwepo wa mtu yoyote unafaida kuliko kutokuwepo lkn inategemea na uwezo wa jicho la ndani kuona umuhimu wa mtu, siongelei materials & possessions, naongelea uwepo wa mtu unaojengwa na kuzungukwa na upendo.Upendo huvumilia, upendo hauna ubinafsi, upendo huheshimu, upendo uficha madhaifu, upendo hauna chuki, upendo hauna tamaa n.k.
Baki uishi "no matter what" mpaka pale nguvu ya asili uliyosababisha wewe kuwepo bila kutaka au kuamua itakopoamua kukurudisha kusikojulikana.
When corruption is order, revolution is a Law. Huwezi kua na furaha bila kua na material things. Though I'm kinda of Stoic myself...but I come to realize that internal Happiness is nourished by materials n possession.
Kuteseka sio sifa...
 
Wakuu,

Moral philosophy ni tawi la falsafa linalohusu nadhalia za maadili (Ethics) na kanuni za maisha. Falsafa hii inamtaka mtu mtu kufanya maamuzi yake kwa kuangalia/kupima faida na hasara, uzuri na ubaya, Haki na dhuruma, na jinsi maamuzi yake yanaweza kuathiri wengine.

NB: mtu anayejihusisha na falsafa hii anaitwa Ethicist!

So, Ethicist anapofanya jambo lake either kwa matendo au maneno yake huwa kwanza anaangalia faida na hasara ya kufanya jambo hilo.

Socrates baada ya kuitwa kwenye baraza la wazee akasomewa mashtaka yake, moja ya shtaka ikiwa kuwapotisha vijana kwa mafundisho yake alikubali kunywa sumu ili afe maana alitafakari faida na hasara, uzuri na ubaya wa yeye kuendelea kuishi, na jinsi uwepo wake kuwa duniani unaweza kuathiri Wengine. Suluhisho akaona afe.

Kuna wakati dawa ya tatizo sio kuendelea kupambana nalo bali inabidi utafakari Ethics za maisha. Maana kadri ya unavyozidi ku "Hold On" ndio unavyozidi kuumia.

Kwa mfano una mpenzi/mchumba wako unampenda sana ila huna uwezo wa kumuhudumia, ila pia kuna mtu anampenda mpenzi wako uwezo anao mzuri. Kama Ethicist inatakiwa umuachie mpenzi wako huyo aende kwa mtu huyo maana faida ni chache kuliko hasara za kua nawe. Akiwa na mtu huyo mwenye maisha mazuri atapata huduma zote pia anaweza kujenga familia na kuzaa kizazi chenye Unafuu wa maisha.

Example 2: Maisha yamekuchapa kila ukitafuta kusudi la wewe kuleta duniani hilioni. Kila unachofanya hakiendi. Kaa chini tafakari faida na hasara za wewe kuishi.

Faida: Ukifa unapunguza population density, Eneo lako ambalo ungekaa atakaa mtu mwingine mwenye thamani katika maisha, ukifa Unapunguza competition ya resources za duniani, ukifa utatengeneza fosil fuel, ukifa utarututubisha ardhi miti na majani yaote izalishe Oxygen watu wenye Maana duniani wataivuta.

Hasara: Ukifa watu watahuzunika na kulia ila baada ya wiki tu watasahau na maisha yatendelea.

I'm not encouraging anyone to die ila nilijaribu kuwatazamisha ni jinsi gani ethics inaweza kusaidia kutatua matatizo yako mbalimbali kwa kufuata faida na harmsara ya kila jambo utendelo. Socrates, Plato, Aristotle, Zeno, Marcus aurelius wote hawa walikua Ethicist. Kutokana na mawazo yao haya wameweza kuishape dunia kwa kiwango kikubwa.

But ili uweze kuishika Moral philosophy vyema inatakiwa uwe ni mfuasi japo kwa kiwango kidogo wa falsafa ya Stoicism.

Nitaeleza Stoicism kwenye comment.
-Vinci
Hayo yote suluhisho ni kuufata Uislam tu.

Unatudanganya tumfate Plato wakati Plato alikuwa shoga (homosexual). Ujinga huo.

Ushahidi huu hapa 👇🏾

 
Wakuu,

Moral philosophy ni tawi la falsafa linalohusu nadhalia za maadili (Ethics) na kanuni za maisha. Falsafa hii inamtaka mtu mtu kufanya maamuzi yake kwa kuangalia/kupima faida na hasara, uzuri na ubaya, Haki na dhuruma, na jinsi maamuzi yake yanaweza kuathiri wengine.

NB: mtu anayejihusisha na falsafa hii anaitwa Ethicist!

So, Ethicist anapofanya jambo lake either kwa matendo au maneno yake huwa kwanza anaangalia faida na hasara ya kufanya jambo hilo.

Socrates baada ya kuitwa kwenye baraza la wazee akasomewa mashtaka yake, moja ya shtaka ikiwa kuwapotisha vijana kwa mafundisho yake alikubali kunywa sumu ili afe maana alitafakari faida na hasara, uzuri na ubaya wa yeye kuendelea kuishi, na jinsi uwepo wake kuwa duniani unaweza kuathiri Wengine. Suluhisho akaona afe.

Kuna wakati dawa ya tatizo sio kuendelea kupambana nalo bali inabidi utafakari Ethics za maisha. Maana kadri ya unavyozidi ku "Hold On" ndio unavyozidi kuumia.

Kwa mfano una mpenzi/mchumba wako unampenda sana ila huna uwezo wa kumuhudumia, ila pia kuna mtu anampenda mpenzi wako uwezo anao mzuri. Kama Ethicist inatakiwa umuachie mpenzi wako huyo aende kwa mtu huyo maana faida ni chache kuliko hasara za kua nawe. Akiwa na mtu huyo mwenye maisha mazuri atapata huduma zote pia anaweza kujenga familia na kuzaa kizazi chenye Unafuu wa maisha.

Example 2: Maisha yamekuchapa kila ukitafuta kusudi la wewe kuleta duniani hilioni. Kila unachofanya hakiendi. Kaa chini tafakari faida na hasara za wewe kuishi.

Faida: Ukifa unapunguza population density, Eneo lako ambalo ungekaa atakaa mtu mwingine mwenye thamani katika maisha, ukifa Unapunguza competition ya resources za duniani, ukifa utatengeneza fosil fuel, ukifa utarututubisha ardhi miti na majani yaote izalishe Oxygen watu wenye Maana duniani wataivuta.

Hasara: Ukifa watu watahuzunika na kulia ila baada ya wiki tu watasahau na maisha yatendelea.

I'm not encouraging anyone to die ila nilijaribu kuwatazamisha ni jinsi gani ethics inaweza kusaidia kutatua matatizo yako mbalimbali kwa kufuata faida na harmsara ya kila jambo utendelo. Socrates, Plato, Aristotle, Zeno, Marcus aurelius wote hawa walikua Ethicist. Kutokana na mawazo yao haya wameweza kuishape dunia kwa kiwango kikubwa.

But ili uweze kuishika Moral philosophy vyema inatakiwa uwe ni mfuasi japo kwa kiwango kidogo wa falsafa ya Stoicism.

Nitaeleza Stoicism kwenye comment.
-Vinci
Wewe kijana una matatizo gani kwa kututaka tuwafate mashoga watufundishe maadili?


Nilimsoma haraka haraka juu hapo Plato, Kmbe umemweka na Socrates DUH! Hilo nalo shoga, tena lililo kubuhu, ushahidi huu hapa👇🏾

 
Back
Top Bottom