Ethics/Moral philosophy inaweza kua suluhisho ya matatizo yako

When corruption is order, revolution is a Law. Huwezi kua na furaha bila kua na material things. Though I'm kinda of Stoic myself...but I come to realize that internal Happiness is nourished by materials n possession.
Kuteseka sio sifa...
Je watu wote wenye material possessions wanafuraha?Je na watu wote wenye uchache wa material possessions hawana furaha.??Kiasi gani cha material possessions ni benchmark ya kuanza kupata furaha....Je hakuna varibles zingine zinazoaffect furaha zaidi ya possessions??
Life is always good
 
Maxence Melo ni kweli mtu akiwa platinum member humu hapigwi ban?? Huyu mtu amekua akinitusi bila sababu yoyote. Mada inaongelea Ethics, ila yeye analeta habari za ushoga
Sasa kijana, mashoga hao na ushahidi bimekuwekea unataka watufundishe maadili yepi? Ya ushoga?

Kama ulikuwa huelewi kuwa hao ni mashiga nimekuwekea ushahidi, unataka nini zaidi?

Eti unajidai kutia unaa wa ban. Ban upigwe wewe kwa kutuletea mambo ya mashoga na huu uzi tunataka max aufute jabisa.

Ushoga siyo maadili ya Kitanzania. Vipi kijana? Wachana kabisa na hayo mambo.
 
Huko shule ulienda kosomea uzezeta??

NB. Mimi sio kijana
 
Kwanza hiyo "hilioni" ndiyo nini na unaitowa wapi? Kuileta duniani kama ulivyoandika.
 
Aisee mbona waniandama?? Unashida gani nami??
Sasa kitu ulichokiandika kukuuliza ni nini imekuwa nakuandama?


Unafahamu kuwa "Socrates" uliyemuandika alikuwa anajihusisha na ushoga?

Sasa unataka shoga ndiyo tujifunze maadili (ethics) kutokea kwake?
 
Sasa kitu ulichokiandika kukuuliza ni nini imekuwa nakuandama?


Unafahamu kuwa "Socrates" uliyemuandika alikuwa anajihusisha na ushoga?

Sasa unataka shoga ndiyo tujifunze maadili (ethics) kutokea kwake?
Wapi ushahidi?
 
Wewe hauna tofauti na shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…