Ethiopia: Hitilafu ya Benki ya Biashara yasababisha Wateja kutoa hela kwenye ATM bila kikomo

Ethiopia: Hitilafu ya Benki ya Biashara yasababisha Wateja kutoa hela kwenye ATM bila kikomo

Sasa wakija kuchunguza si watajua tu kila muhusika wa account flan ametoa kiasi gani so lazima tu watadakwa na kutupwa jela. Labda issue tu ni hizo hela kama wataweza kuzirudisha zote ila kuwakamata hao wadau walochota pesa mi naona ni kazi rahisi tu
 
Sasa wakija kuchunguza si watajua tu kila muhusika wa account flan ametoa kiasi gani so lazima tu watadakwa na kutupwa jela. Labda issue tu ni hizo hela kama wataweza kuzirudisha zote ila kuwakamata hao wadau walochota pesa mi naona ni kazi rahisi tu
sanaa. watu weusi wana akili basi kuwaza hilo
short-sighted.
 
Sasa wakija kuchunguza si watajua tu kila muhusika wa account flan ametoa kiasi gani so lazima tu watadakwa na kutupwa jela. Labda issue tu ni hizo hela kama wataweza kuzirudisha zote ila kuwakamata hao wadau walochota pesa mi naona ni kazi rahisi tu
Hapo kama umejikopesha tu
 
Wanadai ni hackers cyber attackers waliiba 280 Ethiopian birr kama dollars billion 3. Serikali inajaribu kuficha. Na hiyo benki CBE ni ya Serikali.

Source rafiki yangu muithopia tunabeba naye box.
Duh! Balaa sana hilo mboba!
 
Back
Top Bottom