Ethiopia inaenda kuvunjika kama Yugoslavia

Be blessed my sister.
Kwani kuwa na inferiority wewe inakuuma ama kuna Hela umepoteza nikulipe.
Anayway let us call a day. Thank you kwa kubadilishana mawazo. Ukitaka zaidi nitumie namba yako pm tuchat vizuri yaweza kuwa ndo mwanzo Wa kufanikiwa
Asante nashukuru kwa baraka inshallah nazipokea pia inferiority complex wanakuwa nayo ma sadist and toxic people.
Nikutumieje number ukute wewe ni wale watekaji na wauaji wa watu wanaotofautiana mawazo
 
Asante nashukuru kwa baraka inshallah nazipokea pia inferiority complex wanakuwa nayo ma sadist and toxic people.
Nikutumieje number ukute wewe ni wale watekaji na wauaji wa watu wanaotofautiana mawazo
Wala usiogope yaani MTU mkitofautiana mawazo unatekwa jamani.
Wala sio kuwa MIE ni toxic people Bali na mind pale wewe umefanikisha kitu Fulani afu unapenda kuabudiwa.
Unadhani kuna wangapi ambao hawakausoma kama MTT mdogo sana jamani.
Kuna watu wamepitia mazingira na bado wanaishi Hayo maisha magumu.
Uliona huko Haiti ama hapa nchini kwetu watu wanavyoteseka na ilhali mkoloni alikuletea elimu ukaipata afu unajiona kama vile malaika MTU.

Ishu ni exposure ,right information and opportunities zikitokea MTU yeyote anatoboa.
Hauoni saivi mwanga Upo kila sehemu watu wamesoma na wanawekana madarakani mana pia na wao wana vigezo pia ni watanzania kama wengine tu. Suala lako LA kuangalia mbona huyu ni kabila Fulani ni wivu tu ana karoho kanakuuma
 
Mimi roho hainiumi ni wewe kuleta swala lako la ukabila kwenye huu Uzi wakati ni vitu viwili tofauti na mbingu na ardhi as if acquiring a certain position ndio umaskini kwisha while hzo ni nafasi za kutumia wananchi unataka utajiri fanya biashara na hamna binadamu aliyetajirika kwa kuteuliwa akafika level za kina billgate au Marvk zuckberg so hyo eti nafasi zimetajirisha si kweli, maendeleo ni hard work na determination, na hata kila mtu akipewa fursa sawa usipo work hard kujiongeza wenzako watakushinda mwishowe uwe na roho ya kimaskini ukiamini flani wameendelea kwa sababu waliopendelewa, na wewe sasa umependelewa mbona umaskini kwa jamii yako hauiishi?
 
Safi sana kwa maelezo mazuri, kwa Tz ilivyo serikali ya majimbo haiwezi kuwa kama Ethiopia au Nigeria maana jamii zetu zimeingiliana sana na lugha ya kiswahili imetuunganisha tayari.

Hao wanaopinga serikali ya majimbo hapa Tz wana hofu ya kupoteza ulaji maana vyeo vya uteuzi huko mikoani vitafutika.
 
kuna madada mkule twitter anajiita sarangi kuchwa kuche alikuwa anamsifia abiye sasa awaache watigray waanzishe nchi yao
Hii nishani ya Nobel kwa huyu PM naona hata watu wa Nobel Committee wanajuta kumpa.
 
Wingi ni sababu huo ndo ukweli, Tanzania hakuna ukabila sababu hakuna kabila lenye watu wengi sana, mengi ni madogo madogo
Wingi sio tija kaka, nimetoa mfano Wa watutsi Wa Rwanda Na Burundi ni asilimia 20 tu ya wanyarwanda lakini wanafahamika kwa kuwabagua wahutu miaka nenda rudi kule Rwanda Na Burundi mpaka kupelekea mauaji ya kimbari,

Nimekupa mfano Wa Afrika kusini wale makaburu hawazidi hata asilimia 30 ya watu wote Wa afrika kusini lakini walikuwa wabaguzi wabaya kabisa kuwahi kutokeà duniani Na mfumo wao Wa apartheid,

Na kusema kuwa hapa Tanzania hakuna makabila makubwa ndio maana hakuna ubaguzi sio kweli kaka, ubaguzi ulikuwepo ndio maana nyerere aliupiga vita sana , kwanza kulikuwa Na shule za madhehebu Na dini waliosoma huko ni waumini Wa dini hizo tu nyerere akazitaifisha zote ili kila mtu asome kuondoa ubaguzi, kulikuwa Na uwakilishi bungeni kutokana Na rangi yaani wazungu, waasia Na waafrika,

Makabila makubwa yapo kuna wasukuma ni zaidi ya milioni 10, kuna makabila yaliyowahi kupata elimu zamani na Maendeleo kama Wahaya , wachagga na wanyakyusa: kama sio juhudi za mwl nyerere ungekuta Tanzania tuna ukabila mkali sana kama ilivyo kwa Kenya makabila ya wakikuyu, wakalenji, wakaramoja, wakamba, waluo, waturkana, wakisii, wamasai,wameru nk
 
Again unapotosha

Watusi walikuwa wanapendelewa na wakoloni kupitia divide and rule, south afrika wale makaburu ni wakoloni waliokuwa wanakingiwa kifua na nchi za ulaya,

Tanzania hakukua na Sera ya divide and rule iliyofanywa na wakoloni kama ulivyokua kwa nchi nyingine, sababu wakoloni Hawakukaa Sana (Germany), na wingereza walikua wanaichukulia Kama protectorate colony na sio settler colony kwa hiyo hawakujiangaisha sana Tanzania
 
Duuh, kumbe kwenye historia hauko vizuri mkuu,

Nenda kasome historia ya Tanganyika uone kwanini Nyerere alitaifisha shule za dini kila mtu asome ?!

Unajua kuwa shule ya pugu, forodhani, tabora boys nk zilikuwa za katoliki?! Unajua kuwa azania, tambaza zilikuea za mabohora wahindu?! Unajua kuwa weruweru, Moshi technical zilikuwa za Kkkt?! Jiulize kwanini zilitaifishwa?!

Unajua kuwa mfumo Wa waingereza kwenye bunge la kwanza ulikuwa wa ubaguzi Wa rangi?! Kura tatu?! Mwafrika, muasia Na mzungu?!

Unajua kuwa gavana Wa mwisho Wa Tanganyika alimwandikia barua malikia Wa uingereza kupendekeza kabila la wachagga ndilo likabidhiwe utawala Wa Tanganyika kwasababu ni kabila lililo smart?!

Hebu rudi kasome historia ya Tanganyika upya kuna mambo mengi sana inaonekana huyajui kabisa,

Kulikuwa na mpaka kuna vyama vya kidini mfano waislam walikuwa na chama chao cha kisiasa kiliitwa amnut, kikiongozwa na mtemvu, vyote vilipigwa marufuku na nyerere,

Tabia ya ukabila, udini au ubaguzi ni asili ya binadamu popote pale, umoja na mshikamano Wa kitaifa unajengwa haushuki tu kama mvua, tuwashukuru sana viongozi wetu wamwanzo kwa kutujengea umoja wetu, sio bahati tu,
 
Bila utulivu wa makabila hawezi kufanikiwa! Maendeleo bila amani hayawezekani.
 
Ban ya Manisha!
Pole mkuu nini hasa kilikusibu mpaka ID y'all ikapigwa ban ya maisha?
 
Kwa nilivopiga hesabu ndogo naona nchi kibao za kiafrika zina balaa,mi nilijua mwanzo Ethiopia wanaongea kiethiopia! Kumbe kila mtu na lake yan jimbo limejitosheleza kabisa hadi jeshi!!
 
wako tayari kwenda frontlinesio kwa sababu wanampendasana Abiy..
NOOO!!wanaenda kusettle old scores,now it's the time...
 
Hawa ndugu zetu wenye asili na nywele za kikemikali na pua ndefu kidogo wanajionaga class fulani hivi, acha wanyooshane tu mpaka watakapopata akili.
kweli..nilishawahi kuposti humu nilikutana nao India,wananiuliza wewe mbona mweusi sana..
Dah,nilicheka afu nkawajibu mimi Muafrika,nkawauliza kwani nyie mnatoka wapi wapi ???wakajibu Ethipia..
Nilitikisa kichwa nikawaambia nyie ndio waafrika mnaoongoza kwa shida na kufa njaa hadi kila Food Aid na Charity organization duniani inatumia picha zenu kama reference posters mnatutia aibu waafrika wote..
wakaanza kujifaragua..nkawapa el'mu kidogo kama Mzee Mo Said aitavyo..nkaachana nao..
Ni wajinga,malimbukeni na wapuuzi ajabu!!ukiena Gulf countries..Saudia,Lebanon,Qatar n.k ndio suppliers wakubwa wa nguvukazi ya kazi zote za kifala na mayaya(beki 3s) hadi dada yao mmoja bekitatu wa Royal house alibakwa na Crown Prince Abdulaziz al Saudi(former defence minister wa SaudiA)akamzaa Prince Bandar ambaye ni binamu wa Crown Prince MBS (Mo bin salman)
Mmoja wa wapiga deal wakubwa balaa kwenye house of Saudi..yaani huyo joka wa makengeza anasubiri...
 
Bila utulivu wa makabila hawezi kufanikiwa! Maendeleo bila amani hayawezekani.
Utulivu wa makabila ni mchakato mrefu sana, wakisema wapambane na hili kwanza itawachukua karne nzima. Bora kuwa mbabe tu uwafanyie maendeleo kama dictator. Historia ya makabila kwa ethiopia ni ya karne kadhaa zilizopita na uhasama haujaanza jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…