Asante nashukuru kwa baraka inshallah nazipokea pia inferiority complex wanakuwa nayo ma sadist and toxic people.Be blessed my sister.
Kwani kuwa na inferiority wewe inakuuma ama kuna Hela umepoteza nikulipe.
Anayway let us call a day. Thank you kwa kubadilishana mawazo. Ukitaka zaidi nitumie namba yako pm tuchat vizuri yaweza kuwa ndo mwanzo Wa kufanikiwa
Wala usiogope yaani MTU mkitofautiana mawazo unatekwa jamani.Asante nashukuru kwa baraka inshallah nazipokea pia inferiority complex wanakuwa nayo ma sadist and toxic people.
Nikutumieje number ukute wewe ni wale watekaji na wauaji wa watu wanaotofautiana mawazo
Mimi roho hainiumi ni wewe kuleta swala lako la ukabila kwenye huu Uzi wakati ni vitu viwili tofauti na mbingu na ardhi as if acquiring a certain position ndio umaskini kwisha while hzo ni nafasi za kutumia wananchi unataka utajiri fanya biashara na hamna binadamu aliyetajirika kwa kuteuliwa akafika level za kina billgate au Marvk zuckberg so hyo eti nafasi zimetajirisha si kweli, maendeleo ni hard work na determination, na hata kila mtu akipewa fursa sawa usipo work hard kujiongeza wenzako watakushinda mwishowe uwe na roho ya kimaskini ukiamini flani wameendelea kwa sababu waliopendelewa, na wewe sasa umependelewa mbona umaskini kwa jamii yako hauiishi?Wala usiogope yaani MTU mkitofautiana mawazo unatekwa jamani.
Wala sio kuwa MIE ni toxic people Bali na mind pale wewe umefanikisha kitu Fulani afu unapenda kuabudiwa.
Unadhani kuna wangapi ambao hawakausoma kama MTT mdogo sana jamani.
Kuna watu wamepitia mazingira na bado wanaishi Hayo maisha magumu.
Uliona huko Haiti ama hapa nchini kwetu watu wanavyoteseka na ilhali mkoloni alikuletea elimu ukaipata afu unajiona kama vile malaika MTU.
Ishu ni exposure ,right information and opportunities zikitokea MTU yeyote anatoboa.
Hauoni saivi mwanga Upo kila sehemu watu wamesoma na wanawekana madarakani mana pia na wao wana vigezo pia ni watanzania kama wengine tu. Suala lako LA kuangalia mbona huyu ni kabila Fulani ni wivu tu ana karoho kanakuuma
Safi sana kwa maelezo mazuri, kwa Tz ilivyo serikali ya majimbo haiwezi kuwa kama Ethiopia au Nigeria maana jamii zetu zimeingiliana sana na lugha ya kiswahili imetuunganisha tayari.Nature ya majimbo kwenye nchi nyingi za kiafrika ni ukabila,ukifuata hata Sudan kusini ni hivyo hivyo,kwa Tzn kwa kuwa tuna muunganiko wa lugha na maingiliano ya makabila mengi serikali za majimbo zitakuwa kama USA ambako majimbo yao sio ya kikabila kwa hiyo hakuwezi kuwa na shida kama huko kwingine.
Mfumo wa Ethiopia majimbo yana hadi jeshi sijui wanamgambo sasa upuuzi kama huo hauwezi fanywa Tzn
Hii nishani ya Nobel kwa huyu PM naona hata watu wa Nobel Committee wanajuta kumpa.kuna madada mkule twitter anajiita sarangi kuchwa kuche alikuwa anamsifia abiye sasa awaache watigray waanzishe nchi yao
Wingi sio tija kaka, nimetoa mfano Wa watutsi Wa Rwanda Na Burundi ni asilimia 20 tu ya wanyarwanda lakini wanafahamika kwa kuwabagua wahutu miaka nenda rudi kule Rwanda Na Burundi mpaka kupelekea mauaji ya kimbari,Wingi ni sababu huo ndo ukweli, Tanzania hakuna ukabila sababu hakuna kabila lenye watu wengi sana, mengi ni madogo madogo
Again unapotoshaWingi sio tija kaka, nimetoa mfano Wa watutsi Wa Rwanda Na Burundi ni asilimia 20 tu ya wanyarwanda lakini wanafahamika kwa kuwabagua wahutu miaka nenda rudi kule Rwanda Na Burundi mpaka kupelekea mauaji ya kimbari,
Nimekupa mfano Wa Afrika kusini wale makaburu hawazidi hata asilimia 30 ya watu wote Wa afrika kusini lakini walikuwa wabaguzi wabaya kabisa kuwahi kutokeà duniani Na mfumo wao Wa apartheid,
Na kusema kuwa hapa Tanzania hakuna makabila makubwa ndio maana hakuna ubaguzi sio kweli kaka, ubaguzi ulikuwepo ndio maana nyerere aliupiga vita sana , kwanza kulikuwa Na shule za madhehebu Na dini waliosoma huko ni waumini Wa dini hizo tu nyerere akazitaifisha zote ili kila mtu asome kuondoa ubaguzi, kulikuwa Na uwakilishi bungeni kutokana Na rangi yaani wazungu, waasia Na waafrika,
Makabila makubwa yapo kuna wasukuma ni zaidi ya milioni 10, kuna makabila yaliyowahi kupata elimu zamani na Maendeleo kama Wahaya , wachagga na wanyakyusa: kama sio juhudi za mwl nyerere ungekuta Tanzania tuna ukabila mkali sana kama ilivyo kwa Kenya makabila ya wakikuyu, wakalenji, wakaramoja, wakamba, waluo, waturkana, wakisii, wamasai,wameru nk
Duuh, kumbe kwenye historia hauko vizuri mkuu,Again unapotosha
Watusi walikuwa wanapendelewa na wakoloni kupitia divide and rule, south afrika wale makaburu ni wakoloni waliokuwa wanakingiwa kifua na nchi za ulaya,
Tanzania hakukua na Sera ya divide and rule iliyofanywa na wakoloni kama ulivyokua kwa nchi nyingine, sababu wakoloni Hawakukaa Sana (Germany), na wingereza walikua wanaichukulia Kama protectorate colony na sio settler colony kwa hiyo hawakujiangaisha sana Tanzania
Ethiopia haikutawaliwa, japo ilivamiwa na waitalia.Kwa africa hii alikotawala mfaransa/mbeligiji hakunaga amani tuanzie hapo...
Bila utulivu wa makabila hawezi kufanikiwa! Maendeleo bila amani hayawezekani.Kwa mustakabali waethiopia Abbiy Ahmed inabidi abaki madarakani. Jamaa yupo focused sana na uchumi wa Ethiopia utapaa zaidi chini ya huyu mtu. Kwasasa hadi ameanza ku-attract foreign investment na anamipango kabambe ya kubadilisha sera za kiuchumi za ethiopia ikiwepo kuruhusu biashara huria kutoka kwenye kila kitu kushikiliwa na serikali. Mimi naona angegeuka tu dikteta kama Zenawi ili aifikishe nchi mbali, hizi demokrasia anazotaka kuziweka kwenye nchi ya wakorofi haitawezekana
Ban ya Manisha!Tigray ni wachache ila wananguvu sana na Mali. Na ndio hao walimng'oa dikteta Mengistu Haile Mariam. Tigray wapo hadi Eritrea na wanaongea lugha moja Tigrinia japo mipaka tu na siasa imewatenganisha.
Rais wa Eritrea Isias alikulia na kusomea Addis Ababa akarudi Eritrea na kuanza siasa zake chafu.
Melez Zinawi aliingoza TPLF na akaleta maendeleo sana Ethiopia.
Wasomali wa Ethiopia wako jimbo la ogaden wenyewe wanjiona hawako Ethiopia. Djibouti ni Wasomali hawajawahi kuwa Ethiopia.
Cha kushangaza wote hao Ethiopian hawawezi kujitofautisha kwa sura wanakuja kujitofautisha na kujua flani katoka kabila flan wanapoongea.
Queen sheba (Sabaah) kipenzi cha mfalme Suleiman alitokea Tigray.
Pia kuna makabila mengi madogo madogo kusini mwa Ethiopia 'Southern nations' omo river valley kama gurage, Hamar.
Nilishaletaga Uzi humu miaka ya nyuma kuhusu uhasama wa makabila ya Ethiopia kwenye id yangu pendwa iliyopigwa life ban copen hagen DN
wako tayari kwenda frontlinesio kwa sababu wanampendasana Abiy..Kabisa! Na kinachombeba Abbiy ni zaidi wa Amhara na waoromo wachache. Maana wazazi wake Baba ni Muoromo na mama ni Amhara. Hivyo anaushawishi kutoka kwa makabila yote mawili ingawa waoromo walitegemea favor zaidi kutoka kwake hivyo kama wanakinyongo fulani hivi.
Cha kufurahisha kwenye hili la kuwachapa Tigray waoromo wamemuungamkono na wanamgambo wakioromo wapo tayari kwenda front line kuzichapa.
kweli..nilishawahi kuposti humu nilikutana nao India,wananiuliza wewe mbona mweusi sana..Hawa ndugu zetu wenye asili na nywele za kikemikali na pua ndefu kidogo wanajionaga class fulani hivi, acha wanyooshane tu mpaka watakapopata akili.
Utulivu wa makabila ni mchakato mrefu sana, wakisema wapambane na hili kwanza itawachukua karne nzima. Bora kuwa mbabe tu uwafanyie maendeleo kama dictator. Historia ya makabila kwa ethiopia ni ya karne kadhaa zilizopita na uhasama haujaanza janaBila utulivu wa makabila hawezi kufanikiwa! Maendeleo bila amani hayawezekani.