Ethiopia inaenda kuvunjika kama Yugoslavia

Ethiopia inaenda kuvunjika kama Yugoslavia

Ukabila hauhitaji mpaka kabila liwe na watu million 30 au million 18, ukabila ni tabia mbaya tu ya kujiona bora kuliko binadamu wengine na kuanza kuwadharau wengine,

Watutsi wa Rwanda na Burundi walipoanza kuwabagua wahutu kwamiaka nenda rudi hawakuwa wengi kama wahutu,

Wazungu (makaburu) Boers Wa Afrika kusini hawakuwa wengi kama wazulu, waxhosa na wasani wa afrika kusini natives, lakini waliwabagua na kuwanyanyasa waafrika weusi walio wengi,

Ukabila hauhitaji muwe wengi, ni tabia tu , hata mkiwa watatu mnaweza kuwa wakabila.
Wingi ni sababu huo ndo ukweli, Tanzania hakuna ukabila sababu hakuna kabila lenye watu wengi sana, mengi ni madogo madogo
 
Mkuu hebu fanya maarifa umwage tena huo uzi, najua wenye roho mbaya hawapo tena.
Dah mkuu nilitaka kukupita mbona umetoa avatar picha yako ya muda mrefu tuliyokuzoea njiwa anaosha kichwa kwenye bomba. Naona umeweka picha ya Madagascar ya iconic baobab trees
 
Upo sahihi mkuu
Jumbe Brown.
..

....ndicho KIWAPIGANISHACHO....

Imagine OROMIA miaka nenda rudi wanafanywa TAMBARA la DEKI....

Leo ametokea mmoja kuwa PM....ishakuwa tena ngoma ni ileileee....

Abiy Ahmed anaijua vyema ETHIOPIA....
Abiy Ahmed alichaguliwa kwa SIFA STAHIKI na waethiopia....
Abiy Ahmed amepewa tuzo ya NOBEL kwa kuanza kuondoa SINTOFAHAMU ya nchi hiyo....

Nchi zenye UCHUMI WA KIKABILA suluhisho huwa ni:

1.Matumizi ya nguvu kuwadhibiti WAKAIDI.

2.Kugawana nchi.
 
Hii mbona inakuja kuwa sawa kabisa na hapa kwetu tz kuna watu Fulani wao walijiona kuwa ndo wamesoma na wanastahili kutawala.JP hakuteua hata waziri mmoja wakaleta mjadala kuwa JP ana shida gani na tigray mana hajatupa waziri mmoja jamani.
So saivi wanajiona kama wanaonewa ila enzi zao walijiona wao ndo wajanja wamesoma Kumbe walipewa madaraka afu wakafanya ofisi za serikali kama za familia zao.
Sie Wa promo, Amhara na huku sudani kusini Wa fugaji tu Wa ng'ombe.
Tangu Uhuru hamnaga wachagga waliopendelewa madaraka get ur Facts real acha uongo
 
M
Tangu Uhuru hamnaga wachagga waliopendelewa madaraka get ur Facts real acha uongo
MIE sijataja MTU hapa ndugu. Ama unajishtukia. Yaani nikisema kuwa hebu angalie mwizi Wangu akaota nyoya usoni Mara paaa umejishika USO.
Afu MIE ni kutokea Rwanda so unajishtukia mwenyewe pole kwa kujihisi binti.
Wakati tunapata Uhuru jamii iliyokuwa na wasomi wengi Ilikuwa ya mbeya na kagera over.
 
Note:
Naona wazungu wapo katika mkakati wa kuligawa tena bara la afrika hasa kwa nchi kubwa kubwa, itazame Sudan imeshagawanyika, Chad hapakaliki ,Nigeria anytime itagawanyika sababu ya mafuta yanayopatikana kaskazini, Mozambique tayari gesi imeanza kuleta shida, Ethiopia inaelekea ugawanyika, Libya tayari iko vipandevipande, Somalia tayari wana Somali land na Somalia nyingine, Congo hapakaliki, Angola aidha pana vita ama vuguvugu la kutoelewana sijaiweka Tanzania japo ni nchi kubwa afrika pamoja na South Africa labda sababu inawazungu wengi, na Misri hizi hazipo salama anytime zitatikisika whether you like it or no lazima zitatikiswa ni swala la muda tu, ila siku zinahesabika, naona whites wapo kwenye mission kali sana sijui kama tutapona Tanzania!
Sioni pa kuponea uenda varangati itaanzia kusini mwa Tanzania ila inabidi tuwe makini we're in danger naona dhahiri hatupo salama.
Tusisingizie wazungu kwa uzembe wetu wa kushindwa kujitawala
 
M

MIE sijataja MTU hapa ndugu. Ama unajishtukia. Yaani nikisema kuwa hebu angalie mwizi Wangu akaota nyoya usoni Mara paaa umejishika USO.
Afu MIE ni kutokea Rwanda so unajishtukia mwenyewe pole kwa kujihisi binti.
Wakati tunapata Uhuru jamii iliyokuwa na wasomi wengi Ilikuwa ya mbeya na kagera over.
Hujataja mtu lakini watawala wasiojiamini na wanaoshabikia hii awamu wanakuwa na ukabila na ku point kabila flani kuwa hawajafuraishwa wamejua ka sio inferiority complex na nilitaka kuweka clear to nchi hii kabila ulilomaanisha halijawahi kutoa mawaziri na wenye vyeo vikubwa Kama makabila mengine vipi maendeleo yao?.
Ulichoandika kwa muktadha wa issue ya ethiopia ni irrelevant una chuki zako tu binafsi
 
mi nadhani shida kubwa ni hao wa Tigray waliozoea kukalia madaraka na kujipatia mali, sasa wanaona wanaonewa.
Hao Matigray ni kama watusi wanajifanyaga wao ndio watawala wengine ni watumwa sasa kibao kimegeuka wanasomeshwa namba ila kwa uhasama wa Misri/Sudan kuhusu bwawa wanaweza kusaliti nchi wakapata silaha kutoka huko na kupigana kujitawala lakini kuiangusha Addis Abbaba
 
Wala Sina chuki nikuambie. Sema MIE Nina chukia Yale maneno kisa wewe umetoboa afu ujione mjanja uwe unatukuna wengine.
Ivi maendeleo gani kwanza unaongelea wewe.
Waliooendelea wanatusaidia afrika jamani.
Kama umeendelea unaenda hata sehemu unawasaidia kama wamisheni walivyokuja afrika. Sio wewe una kanyumba ka self three rooms na kagari kausafiri kama MIE afu unaanza kujinadi eti umeendelea na huku hujawahi hata kusaidia dawati shuleni
Hujataja mtu lakini watawala wasiojiamini na wanaoshabikia hii awamu wanakuwa na ukabila na ku point kabila flani kuwa hawajafuraishwa wamejua ka sio inferiority complex na nilitaka kuweka clear to nchi hii kabila ulilomaanisha halijawahi kutoa mawaziri na wenye vyeo vikubwa Kama makabila mengine vipi maendeleo yao?.
Ulichoandika kwa muktadha wa issue ya ethiopia ni irrelevant una chuki zako tu binafsi
 
Wala Sina chuki nikuambie. Sema MIE Nina chukia Yale maneno kisa wewe umetoboa afu ujione mjanja uwe unatukuna wengine.
Ivi maendeleo gani kwanza unaongelea wewe.
Waliooendelea wanatusaidia afrika jamani.
Kama umeendelea unaenda hata sehemu unawasaidia kama wamisheni walivyokuja afrika. Sio wewe una kanyumba ka self three rooms na kagari kausafiri kama MIE afu unaanza kujinadi eti umeendelea na huku hujawahi hata kusaidia dawati shuleni
Una inferiority complex inakusumbua tu just believe urself sio wewe tu hata washamba wengine hawajiamini na makabila yao wakati binadamu wote ni sawa Sasa mtu unayeanini uteuzi ndio maendeleo basi watu wa Mara wangekuwa tajiri ka california so futa hyo kusema eti teuzi zinalalamikiwa kwani before teuzi hilo kabila watu hawali na hawaishi ku enjoy life, ur comment was useless
 
Namfahamu sana Muhammed Jawar! Alipotua Addis ababa mji ulisimama, nilikuwepo Addis wakati jamaa anarudi Ethiopia kutokea Marekani. Wa-Oromo wanamuona ndiye muokozi wao baada ya Abbiy Ahmed kugoma kuwapa upendeleo waoromo wenzake. Huyu Jawar ni threat sana kwa Abbiy ndiyo maana kila siku anapigwa kesi na kurundikwa jela kama viongozi wa CHADEMA(Joke).
Wapambanaji wote wa kweli aidha wako ndani kwa kesi zisizoisha au wamekimbia nchi zao,hii ni kama Lisu wa CHADEMA
 
Kwasababu yeye anataka eti kui-unify Ethiopia iwe kitu kimoja, yaani waoromo wasahau yaliyopita wagange yajayo. Waoromo walinyanyasika sana kipiti watigray wapo madarakani, Tigrayans na Amhara walikuwa wanawatreat kama seconda class citizens waoromo. Sasa alioingia Abbiy jamaa wakajua ndiyo muda wao sasa wa kulipa kisasi halafu yeye akawakata stimu kwamba wagange yajayo.

Huyo Jawara Muhammed amewaahidi akishika nchi hadi Addis ababa atairudisha kwa waoromo. (Kijiographia Addis ababa ipo Oromia region)
Huyo ni mpuuzi kama wapuuzi wengine,hakuna sababu ya kulipa kisasi maana ndio itakuwa kanuni sasa,Abiy yuko sahihi shida kubwa waliyonayo ni kukosa lugha ya kuwaunganisha watu wote wa Taifa kama Kiswahili kwa TZN
 
Una inferiority complex inakusumbua tu just believe urself sio wewe tu hata washamba wengine hawajiamini na makabila yao wakati binadamu wote ni sawa Sasa mtu unayeanini uteuzi ndio maendeleo basi watu wa Mara wangekuwa tajiri ka california so futa hyo kusema eti teuzi zinalalamikiwa kwani before teuzi hilo kabila watu hawali na hawaishi ku enjoy life, ur comment was useless
Be blessed my sister.
Kwani kuwa na inferiority wewe inakuuma ama kuna Hela umepoteza nikulipe.
Anayway let us call a day. Thank you kwa kubadilishana mawazo. Ukitaka zaidi nitumie namba yako pm tuchat vizuri yaweza kuwa ndo mwanzo Wa kufanikiwa
 
nadhani adui mkubwa wa Africa ni viongozi wake. Leo isingekuwa tamaa ya viongozi wa trigey unadhani Ethiopia kungekuwa na vurugu?
Tatizo Africa kuna makundi ya watu wanaamini wao ni bora na wanafaa kutawala bila kujali haki za wanaowatawala

Nadhani solutions ni waafrica kuwashughulikia viongozi wao kwa kutumia sheria ili kutotoa mwanya wa uingiliaji wa mataifa ya kigeni
Hao wa Tigray wanajiona ni wajuaji na ndio wenye haki saana kiliko wengine hii ni sawa na maccm kujiona wao ndio wenye hati miliki ya Tzn.
Tahadhari itafika mahali mtakuja kuzikimbia nyumba zenu na muamzi ni ugumu wa maisha tu huku kwetu haitakuwa ukabila bali itikadi za siasa nyie endeleeni tuu
 
Majimbo yanamakabila we ndo uaje Ujinga, Jimbo la oromia wanakaa kabila la oromo, the same kwa amhara na tingrayan
Nature ya majimbo kwenye nchi nyingi za kiafrika ni ukabila,ukifuata hata Sudan kusini ni hivyo hivyo,kwa Tzn kwa kuwa tuna muunganiko wa lugha na maingiliano ya makabila mengi serikali za majimbo zitakuwa kama USA ambako majimbo yao sio ya kikabila kwa hiyo hakuwezi kuwa na shida kama huko kwingine.
Mfumo wa Ethiopia majimbo yana hadi jeshi sijui wanamgambo sasa upuuzi kama huo hauwezi fanywa Tzn
 
Back
Top Bottom