JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Yuko EUROPEAN union.Na mbwa anayeng'ata yupo wapi?
Hii EAC ni sawa na hakuna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko EUROPEAN union.Na mbwa anayeng'ata yupo wapi?
Ukweli ndiyo huo.Mi nafikiria hao wengine wanashawishiwa na Kenya maana ndio amepakana nao Ethiopia na somalia
Unajua kusini wanawazo ka kuwa na SA,Angola, Mozambique, Botswana, Zimbabwe na Makawi. WaKifikia huu muungano hututakuwa na nguvu.EAC inaenda kuwa Jumuiya kubwa na yenye Nguvu zaidi hapa Afrika.
Tukifita pass za kusafiria,tukaruhusu free movements of people and goods nadhani tutaendelea zaidi kuliko kuweka mamipaka yasiyo na msingi.
Somalia tayari inasubikiwa kutangazwa tuu.Bila Shaka Sudan nayo itaunga trailer sio mda.
============
ARUSHA: THE East African Community (EAC) is set to become a market size of 800 million people, with the introduction of more countries to the regional economic community on the cards.
With Somalia waiting in line to join the regional intergovernmental organisation of seven partner states, two countries from the Horn of Africa are also set to become part of the EAC.
EAC Secretary General Dr Peter Mathuki hinted here on Tuesday evening, that both, Djibouti and Ethiopia would also join the Regional Economic Community.
“The vision of our leaders is to have a market of 800 million people. And that will be possible if we integrate all the countries in the horn of Africa and make one huge market,” projected Dr Mathuki, shortly before launching the EU-EAC Market Access Upgrade Programme (MARKUP II).
Dr Mathuki’s revelations come in the wake of negotiations between the EAC and the Federal Republic of Somalia for the entry of Somalia into the bloc.
Held in August, the nine-day negotiations brought together experts from the seven EAC partner states, the EAC Secretariat, East African Legislative Assembly (EALA) and East African Court of Justice (EACJ) and their counterparts from the Federal Republic of Somalia.
Daily News
Sadc ni kitu gani? Muungano upi? Nchi za Kusini zote ni maskini hazina watu wa kutoshaUnajua kusini wanawazo ka kuwa na SA,Angola, Mozambique, Botswana, Zimbabwe na Makawi. WaKifikia huu muungano hututakuwa na nguvu.
Unatia aibu mkuu.Afrika nashariki unadhani ni ile ya akina nyerere. Kasome ramani tena.Hiyo siyo afrika mashariki tena
Ova
Unajiona kuwa bora kuliko wengine kwa sababu tu ya wizi huo ni upumbavu.Sadc ni kitu gani? Muungano upi? Nchi za Kusini zote ni maskini hazina watu wa kutosha
Kila kitu kinabadilika kutokana na majira na nyakatiUnatia aibu mkuu.Afrika nashariki unadhani ni ile ya akina nyerere. Kasome ramani tena.
🗑️🗑️🗑️🗑️Unajiona kuwa bora kuliko wengine kwa sababu tu ya wizi huo ni upumbavu.
Kwa kweli wewe umo kwenye kundi la mafisadi wakubwa wa nchi hii na ni mmojawapo wa wale ambao wanatamani siku moja Tanzania ije itawaliwe na Waarabu.Unajiona kuwa bora kuliko wengine kwa sababu tu ya wizi huo ni upumbavu.
Umechanganyikiwa Hadi unajikoti 😂😂😂😂Kwa kweli wewe umo kwenye kundi la mafisadi wakubwa wa nchi hii na ni mmojawapo wa wale ambao wanatamani siku moja Tanzania ije itawaliwe na Waarabu.
Ukweli ndiyo huo.Umechanganyikiwa Hadi unajikoti 😂😂😂😂
Sisi ni matajiri kuliko botswana? Angola SA ?Sadc ni kitu gani? Muungano upi? Nchi za Kusini zote ni maskini hazina watu wa kutosha
Vip Congo mkuuEAC inakwenda kupoteza spirit yake kwa kukimbilia kuingiza wanachama wengi pasipo kutazama hali hali ya wanachama wapya.
Nchi kama Somalia haitawaliki kila siku ni vita unapomwingiza katika Jumuiya maana yake umekaribisha tatizo kubwa. Ethiopia nako ni shida tu, kila siku wimbi la wakimbizi na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Landmass huwa haibadiriki labda siasa tu.Kila kitu kinabadilika kutokana na majira na nyakati
Zambia itajiunga. Mimi sio mtabiri ila kwa mazingira yaliyopo hakuna namna wataomba tu. Cha muhimu Tanzania inatakiwa izidi kuwa imara kisiasa na kidiplomasia kwasababu nchi yetu ndo kama mzizi mkuu wa hii jumuiya. Bila Tanzania imara chini ya CCM hata EAC itayumbaSiku Zambia na South Africa wakijiunga ndiyo nitaamini, nchi za ajabu ajabu ndiyo zinaomba kujiunga.
Hii hiii hiiii. Kuna mmoja kasema katoka mirembe we bado upo mirembe au hujakamatwa na kufungwa kamba ?Siku Zambia na South Africa
Kenya wakifunga mpaka mnalialia halafu huoni faida yake.Kwanza hii iliyopo hatujaona faida yoyote na bado wanataka kuongeza wengine. Kwa mipango yao leo hii tulitakiwa tuwe na sarafu ya pamoja na mipango mingi ambayo hata kuanza tu kutekelezwa haijaanza. EAC ni kijiwe cha kupigia stori tu.
Ungekula kwanza mkuu.Kenya wakifunga mpaka mnalialia halafu huoni faida yake.
Halafu mnaisingizia ccm kuwa ndio inawatia ujinga, kweli ?