MAKANJAMNA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,138
- 1,514
Albino si mnaendelea kula ?
Jamaa arguments zimeisha amebaki na Albino... 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Albino si mnaendelea kula ?
arguments zimetoka story za maua Ethiopia mkakosa hoja.Jamaa arguments zimeisha amebaki na Albino... 🤣 🤣
Magufuli is taking Tanzania backward, you are very correct.arguments zimetoka story za maua Ethiopia mkakosa hoja.
Kula albino
Tanzania iliwapa msaada wa pesa kipindi kile nafikiri ilikuwa nchi pekee kutoka afrika kufanya kwa Afrika misaada mingi ilitoka nje ya afrika.Ethiopia inajitahidi sana kufanya madaliko, miaka ya 80s walikufa sana kwa njaa ikabidi dunia yote ije pamoja kuwapa msaada wa chakula, Kenya ni miongoni mwa nchi zilizowasaidia, sasa hivi Kenya ndio nchi pekee duniani ambapo watu wanakufa kwa njaa na Ethiopia ndiyo inauzia Kenya Chakula [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Magufuli is taking Tanzania backward, you are very correct.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Nakaza hapaHakuna mtu anapinga kwamba Kenya inazalisha maua na Chai nyingi zaidi Africa, tunachosema ni vipi Kenya inazalisha Chai na maua kwa wingi lakini inapofika katika uzalishaji wa chakula mnasingizia ukame?, kwani chai na maua vinalimwa maeneo yenye jangwa?.
Hii ni wazi kwamba ardhi nzuri yenye rutuba ipo ila inamilikiwa na wazungu na mabwenyenye wachache ambao ndio wazalishaji wakubwa wa chai na maua, muache kusingizia ukame[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app