Huo ndio mwanzo wa kusambaratisha nchi.Hiyo ndio nzuri,Jeshi la Jimbo Ni Muhimu ili kulinda Maslahi ya Jimbo endapo mtawala wa Serikali Kuu atakauja na Chuki zake dhidi ya Jimbo furani.
Hata hapa Tanzania,kipindi Cha utawala wa awamu ya 5 Kuna Mikoa ilipendelewa Mpaka kufikia hatua wakati wengine Nyumba zao zinabomolewa na Tingatinga Mikoa pendwa hata Vibanda vya mbwa havikubomolewa. Hayo majimbo yaliyobomolewa Nyumba yangelikuwa na Jeshi lao la kuwatetea ukute Nyumba zao Mpaka leo zingelikuwepo.
Kwani Mbona Jumuiya ya Ulaya kila nchi ina jimbo lake? hata United Kingdom, kila mtu ana jeshi lake?Yaani, Kila Jimbo lina jeshi lake na kila kabila hivyo hivyo... ila watu wengine bhana
huu ni uhuni kweli.Tigrayans waache uhuni kwamba wao tu wajiona wana haki ya kutawaliwa ameingia Ikulu muOromo wanasema hawataki kuwa Ethiopia
Kwahiyo nimbabe kwasababu wasomali wanamjus sio!.Hakuna mtu wa kumkalisha muethiopia...wasomali wanamjua vizuri
Hadi hao wazungu wanamjua ndo maana walishindwa kumtawalaKwahiyo nimbabe kwasababu wasomali wanamjus sio!.
Unaacha kujibuswali unaniambia habari ya wazungu.Hadi hao wazungu wanamjua ndo maana walishindwa kumtawala
Basi ntakwambia na habari za wahindiUnaacha kujibuswali unaniambia habari ya wazungu.
Nita puuza.Basi ntakwambia na habari za wahindi
Tanzania wapiJuzi tarehe 16.12.2021. baraza la UNHR lilipiga kura za kukubali ma kutaa kuunda tume ya kiuchunguzi kuchunguza uhalifu wa kivita Ethiopia. Mataifa mengi pro US yapiga kura ya ndiyo, wakati Mataifa yote ya Afrika yakipiga kura ya hapana. Kundi ndiyo pro US lilishinda kwa kura 22
Leo serikali ya Ethiopia imetangaza kutoiruhusu tume hiyo inchini kwao.
Matokea
Ndiyo 21
Hapana 15
Wasiopiga kura 11.
Ndiyo ni wale pro US walipigia chapuo kuunda tume, hapana ni wale waliopinga kuunda tume. Wasiopiga kula ni wale wasionaupande aka wanafiki.View attachment 2050040
kwenye bold hapo sio kweli. Kuna mataifa ya Africa yamewatia kisu cha mbavu kwa kuruhusu hii tume. Wameruhusu kwa kutokupiga kura.Juzi tarehe 16.12.2021. baraza la UNHR lilipiga kura za kukubali ma kutaa kuunda tume ya kiuchunguzi kuchunguza uhalifu wa kivita Ethiopia. Mataifa mengi pro US yapiga kura ya ndiyo, wakati Mataifa yote ya Afrika yakipiga kura ya hapana
[emoji3][emoji3][emoji3]Na hii imesaidia tumekua donor kantri na nchi ya Viwanda.