Ethiopia: Updates on war against TPLF

Vibaraka wa mabeberu wapigwe tu
 
na kwa taarifa yako CCM ni chama cha kijeshi. kile chama ni tawi la kijesh kama unavyoiona jkt. hawa akina Kikwete Lowasa Jaka mwambi nk walikuwa wanajesh wa ngaz za juu tu na zaman ulikuwa huwez kuingizwa jesh kama huna Card ya ccm
Yana mwisho haya
Kukata mzizi wa fitna ni katiba Mpya!
 
Mkuu fafanua;

"4. Wa Tigray na Ahmara ni Wahabeshi wakati Waoromo ni Wakush"

Waziri Mkuu aliyepinduliwa Mengistu Haile Mariamu alikuwa kabila gani?

Mfalme aliyepinduliwa Haile Selasie alikuwa kabila gani?
 
Mkuu fafanua;

"4. Wa Tigray na Ahmara ni Wahabeshi wakati Waoromo ni Wakush"

Waziri Mkuu aliyepinduliwa Mengistu Haile Mariamu alikuwa kabila gani?

Mfalme aliyepinduliwa Haile Selasie alikuwa kabila gani?
Habesh ni jumuisho ya Makabila yenye ufanano na asilia ya Asia ya kusini kama Yemen. Ila tofauti Hawa waliunda Dola ya Kikristo ya kale sana na hawakua Arabized.

Watawala wa Ethiopia na Makabila yao.

1. Menelik II kabila lake ni Amhara
2. Haile Selassie kabila lake ni Amhara
3. Mengetsu Haile Mariam kabila lake Ahmara
4. Melez Zenawi kabila lake ni Tigray
5. Haile Mariam Deselng Kabila dogo la kusini Woylita.

6. Abiy Ahmed ni Muoromo.

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Ni nani wanawafadhili hao TPLF!??
 
Misri ni kati ya nchi zinazowapa support Watigrayi kwa sababu ya Bwawa la kuzalisha umeme ambalo Abiy amelirithi kutoka utawala uliopita
 
Samahani kuuliza, huyu Mengistu Haile Mariam laiyemuua kikatili H. I. M Haile Selassie ni kabila lipi lati ya hayo tajwa?

Nadhani waethiopia walikosea kuuondoa utawala wa kizazi cha kina Menelik (Solomon Dynasty) pamoja na mapungufu yaliyokuwepo.

By then Ethiopia ilikuwa strong sana ila baada ya Mengistu kuzingua sidhani kama imewahi kuwa stable kama hapo kabla.
 
Ni sahihi kabisa
 
Nyongeza murua kabisa! Ila kabila ni Tigrinya ambayo pia ni lugha inayoongelewa katika jimbo la Tigray na Eritrea.

Kwahiyo kuna watigrinya wa Ethiopia walio katika jimbo la Tigray na walioko Eritrea. Ni sawa na Wamasai ambao wako Kenya na Tanzania - ni walewale!
 
Hapana,iko hivi;

1.Watigray walioko Eritrea wanaitwa TIGRINYAS

2.Watigray walioko Ethiopia wanaitwa TIGRIANS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…