Ethiopia: Updates on war against TPLF

Ethiopia: Updates on war against TPLF

Salaam,

Kwa mahaba yangu Nitakua naweka updates za mapigano yanayoendelea huko Ethiopia Kati ya Jeshi la Serikali na Waasi wa TPLF na Jeshi lao liitwalo TDF.

Kwanza Kuna vitu vya kuweka sawa

1. Vita siyo Kati ya Ethiopia na Jimbo la Tigray. Bali ni Vita ni Kati ya Ethiopia na Chama Cha TPLF. Chama hicho ndiyo kina Jeshi lake liloitwa TDF (Tigray Defence Force). Chama hiki wafuasi wake wengi ni watu wa Jimbo la Tigray ila siyo wote. Takwimu zinataja Chama kinaungwa mkono huko Tigray kwa wasitani wa asilimia 70. Hivyo kama 30 ya Watigray hawakikubali.

Chama hiki ndiyo kiliongoza mapigano ya kumpindua Waziri mkuu wa Zamani Mangisu Haille Mariam mwaka 1991. Baada ya kufanikiwa Mtigray wa kwanza akaongoza nchi hiyo Bw Meles Zenawi.

Melez ndiye alirudisha utawala wa majimbo uliokua umetokomezwa tangu 1975 baada ya mapinduzi ya mfalme Haile Selassie.

Aidha katika utawala wa Melez ndiyo Watigray walikamata fursa zote za taifa.

Baada ya kifo cha Melez na maandamano ya Waoromo na Wahmara ulifanyika uchaguzi mkuu akashinda Bw Ali Ahmed Ali mwaka 2018.

Bw Abiy kwa kabila ni Muoromo. Abiy akaanza mikakati ya kuweka usawa jeshini na kwenye taasisi nyingi nyeti za taifa. Jambo ambalo liliwaudhi Watigray.

Chuki hii ndo imefikisha taifa katika vita.

2. Napenda niweke sawa wiano wa watu Ethiopia. Nchi hiyo inamakabila mengi zaidi ya 20 ila Makabila makubwa ni matatu. La kwanza ni Oromo 34% la pili Ahmara 27%, na la tatu ni TIGRAY 06%.

3. Historia utawala wa Ethiopia ni Kati ya wa Ahmara na Tigray. Wa Oromo hawajajaliwa kutwaa kiti mara nyingi.

4. Wa Tigray na Ahmara ni Wahabeshi wakati Waoromo ni Wakush.

Mwisho wa UTANGULIZI.

Vita.
TPLF ni rafiki wa Magharib hasa US. Wakati Abiy ni rafiki wa nchi majirani hasa Eritria, Somali hadi UAE. Sababu ya hili ni moja, Watigray huwa ni vibaraka wa US, kusimamia maslahi ya US katika pembe ya AFRICA. Utakumbuka enzi za PM Melez Zenawi akiwa Waziri Mkuu wa Ethiopia. US walikua wanatumia Jeshi la Ethiopia kuwachapa Wasomali na Wa Eritria.

Sasa Waeritria hawataki Watigray watawale Ethiopia kwa hofu zama za Marekani kuwapiganisha zitarudi.
Umenikumusha historia wahabeshi na wakushi hizi zilikuwa ni tawala za kifalme na zinahistoria ndefu sana, Wakushi walikuwa maarufu sana katika uhunzi
 
Eritrea yenyewe Ina historia tofauti kidogo sababu ilitawaliwa na Italy japo briefly wakati Menelik alizuia kutwaliwa na hatimaye kura wakiwa kwa sehemu nyingine za Ethiopia.Vita dhidi ya waitalia ilipiganwa zaidi na Wa Tigray na hata majeshi ya Italia yalisambaratishwa kwa kichapo walichopata katika mji wa Adowa ambao upo jimbo la Tigray kwa sasa.Hilo na historia ya Malkia wa Sheba kuzaa na Nabii Suleiman kumewafanya Watigray kujiona watu maalum wanaostahili kuongoza wengine tu huko Ethiopia .Wanajiona ni Wateule fulani kama vile Waisrael .Ndio maana hata kama wangefanikiwa kuuteka Addis Ababa bado wangepata shida sana kutawala hiyo nchi maana hawakubaliki makabila mengine makubwa.Wangeishia udikteta tu kama wa Mengistu Haile Mariam na Meles Zenawi
Hongera sana utanisababisha nifuatilie historia ya nchi hizi za pembe ya Afrika
 
Salaam,

Kwa mahaba yangu Nitakua naweka updates za mapigano yanayoendelea huko Ethiopia Kati ya Jeshi la Serikali na Waasi wa TPLF na Jeshi lao liitwalo TDF.

Kwanza Kuna vitu vya kuweka sawa

1. Vita siyo Kati ya Ethiopia na Jimbo la Tigray. Bali ni Vita ni Kati ya Ethiopia na Chama Cha TPLF. Chama hicho ndiyo kina Jeshi lake liloitwa TDF (Tigray Defence Force). Chama hiki wafuasi wake wengi ni watu wa Jimbo la Tigray ila siyo wote. Takwimu zinataja Chama kinaungwa mkono huko Tigray kwa wasitani wa asilimia 70. Hivyo kama 30 ya Watigray hawakikubali.

Chama hiki ndiyo kiliongoza mapigano ya kumpindua Waziri mkuu wa Zamani Mangisu Haille Mariam mwaka 1991. Baada ya kufanikiwa Mtigray wa kwanza akaongoza nchi hiyo Bw Meles Zenawi.

Melez ndiye alirudisha utawala wa majimbo uliokua umetokomezwa tangu 1975 baada ya mapinduzi ya mfalme Haile Selassie.

Aidha katika utawala wa Melez ndiyo Watigray walikamata fursa zote za taifa.

Baada ya kifo cha Melez na maandamano ya Waoromo na Wahmara ulifanyika uchaguzi mkuu akashinda Bw Ali Ahmed Ali mwaka 2018.

Bw Abiy kwa kabila ni Muoromo. Abiy akaanza mikakati ya kuweka usawa jeshini na kwenye taasisi nyingi nyeti za taifa. Jambo ambalo liliwaudhi Watigray.

Chuki hii ndo imefikisha taifa katika vita.

2. Napenda niweke sawa wiano wa watu Ethiopia. Nchi hiyo inamakabila mengi zaidi ya 20 ila Makabila makubwa ni matatu. La kwanza ni Oromo 34% la pili Ahmara 27%, na la tatu ni TIGRAY 06%.

3. Historia utawala wa Ethiopia ni Kati ya wa Ahmara na Tigray. Wa Oromo hawajajaliwa kutwaa kiti mara nyingi.

4. Wa Tigray na Ahmara ni Wahabeshi wakati Waoromo ni Wakush.

Mwisho wa UTANGULIZI.

Vita.
TPLF ni rafiki wa Magharib hasa US. Wakati Abiy ni rafiki wa nchi majirani hasa Eritria, Somali hadi UAE. Sababu ya hili ni moja, Watigray huwa ni vibaraka wa US, kusimamia maslahi ya US katika pembe ya AFRICA. Utakumbuka enzi za PM Melez Zenawi akiwa Waziri Mkuu wa Ethiopia. US walikua wanatumia Jeshi la Ethiopia kuwachapa Wasomali na Wa Eritria.

Sasa Waeritria hawataki Watigray watawale Ethiopia kwa hofu zama za Marekani kuwapiganisha zitarudi.
Bwawa ndio halitengenezwi tena sio
 
Eritrea yenyewe Ina historia tofauti kidogo sababu ilitawaliwa na Italy japo briefly wakati Menelik alizuia kutwaliwa na hatimaye kura wakiwa kwa sehemu nyingine za Ethiopia.Vita dhidi ya waitalia ilipiganwa zaidi na Wa Tigray na hata majeshi ya Italia yalisambaratishwa kwa kichapo walichopata katika mji wa Adowa ambao upo jimbo la Tigray kwa sasa.Hilo na historia ya Malkia wa Sheba kuzaa na Nabii Suleiman kumewafanya Watigray kujiona watu maalum wanaostahili kuongoza wengine tu huko Ethiopia .Wanajiona ni Wateule fulani kama vile Waisrael .Ndio maana hata kama wangefanikiwa kuuteka Addis Ababa bado wangepata shida sana kutawala hiyo nchi maana hawakubaliki makabila mengine makubwa.Wangeishia udikteta tu kama wa Mengistu Haile Mariam na Meles Zenawi
Israel ni mteule kweli sio kwamba anajiona!
 
Marekebisho kidogo.
1: Kabila la tatu kwa ukubwa ni Somali halafu ndiyo Tigray.

2: Hili kabila la mama na mke wa Abbiy ni AMHARA sio Ahmara.

3: Abbiy alichaguliwa na bunge kama kiongozi wa mpito baada ya PM Haile Mariam Desalegn kujiuzuru kufuatia machafuko ya mauaji ya maelfu wa Oromo kabila la Abbiy. Hivyo hakuchaguliwa kwa uchaguzi mkuu.

La ziada ni kuwa japokuwa ni mahasimu wa kutupwa (Eritrea na TPLF) lakini chakustaajabisha ni kuwa Kabila kubwa Eritrea ni Tigray. Inasemekana Esayas Afwerk (Rais wa Eritrea) alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa waasi waliomuweka Zenawi madarakani lakini baadae wakahitilafiana ndiyo Afwerk akataka amegewe eneo lake na kuiasisi Eritrea.
Eritrea sio Watigray ni Watigrinya na wana mabifu zao za jadi ingawaje mila zao zinafanana. ni kama wapokot na wanandi hapo Kenya. pili hao jamaa ni wabishi hyo vita sio ya kuisha leo. utawashinda leo kesho wanaibuka upya. nchi inazid kuumia tu na maden makubwa wanayodaiwa na mchina. Abiya alifanya makosa kuleta mageuz ya haraka angeenda kwa hatua. watu walioiseti nchi miaka 27 unakuja kubomoa kila kitu kwa wakat mmoja utachemka. ni kama hapa kwetu. hata kama wapinzan wakichukua nchi huwez kuondoa misingi yote ya ccm kwa ghafla.
 
Nyongeza ya 1.

Baada ya Watigray kuanzisha vita Hadi nje ya Jimbo lao. Jeshi la Ethiopia lili pooza hasa kwa kua makamanda wengi walikua Watigray. Ndipo Abiy PM akaomba msaada wa Eritria kuaidia kuzuia Kasi ya Watigray. Ila Waeritria wana chuki sana na Watrigay kwa mauaji ya miaka mingi waliofanya enzi wakitawala Ethiopia.

Hili lilisababisha mauaji makubwa Tigray. Baada ya kelele za kimataifa Eritria ikandoka. Kwa hiyo vacuum chap chap TPLF ikatwaa maeneo mengi.

Kosa wa likafanywa na Watigray ni kuvamia Jimbo la Wahmara na kutishia kutwa adidas Ababa. Hapa likaamsha kabila la WaAhmara na mengine yakaungana KIKAMILIFU.

Abiy PM Sasa akaingia vitani kifua mbele ana wapiganaji royal.
Umekosea
1. Abiy ndiye aliyeanza mapigano ya kijeshi.
2.Kwa miaka 500 ya taifa la Ethiopia, watigray wametawala kwa miaka 27 tu.
3.Zenawi melesi mtigray rais aliyepita alifanikiwa kutokomeza njaa, ikumbukwe kabla ya hapo kila mwaka mamia walikufa kwa njaa
4.Chochote cha maana Ethiopia kina mkono wa tigrayans,
5.Watray wameungana na waoromo kabila la Abbiy, sababu ni chuki za Abby kwa yeyote anayehisi yupo juu take.
Viongozi na watu wenye ushawishi wa kabila la promo wamewekwa korokoni na huyo Abby, Jambo ambalo limepelekea hao waoromo kumgeuka Abby.
6. Abby. Anafanana na kiongozi flan ambaye alitaka atukuzwe na awe na influence katika kila sekta.
6.
 
Umekosea
1. Abiy ndiye aliyeanza mapigano ya kijeshi.
2.Kwa miaka 500 ya taifa la Ethiopia, watigray wametawala kwa miaka 27 tu.
3.Zenawi melesi mtigray rais aliyepita alifanikiwa kutokomeza njaa, ikumbukwe kabla ya hapo kila mwaka mamia walikufa kwa njaa
4.Chochote cha maana Ethiopia kina mkono wa tigrayans,
5.Watray wameungana na waoromo kabila la Abbiy, sababu ni chuki za Abby kwa yeyote anayehisi yupo juu take.
Viongozi na watu wenye ushawishi wa kabila la promo wamewekwa korokoni na huyo Abby, Jambo ambalo limepelekea hao waoromo kumgeuka Abby.
6. Abby. Anafanana na kiongozi flan ambaye alitaka atukuzwe na awe na influence katika kila sekta.
6.
Walizidi shobo za kujiona special,kanyaga hao kima hadi washike adabu.
 
Jeshi la Serikali limeafanikiwa kukomboa Jimbo zima la Afar na miji yake. Chefra, Kisingita Libella na nk.

Ikumbukwe Waasi wa TDF walifanikiwa kuteka majimbo mawili zaidi. Afar na Ahmara.
Mapigano yanaendelea huko aAhmara baada ya hapo Ahmara vita itamalizikia Jimbo la Tigray.

Inshor Watigray wana Historia ya kutopenda mapigano yafanyikie kwenye Jimbo lao. Matarajio ni wakizidiwa Ahamara tu watakimbilia maporini kujificha. Hawataki vita ipiganiwe Tigray kwa kuhofia uhalibifu.



Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Hao washenzi lazima wasakwe popote na wamalizwe wote.
 
Huu mfano mfu , CCM ilishajifia kitambo sasa hivi tunatawaliwa kwa nguvu ya Dola.Ni kama tunatawaliwa kijeshi!
na kwa taarifa yako CCM ni chama cha kijeshi. kile chama ni tawi la kijesh kama unavyoiona jkt. hawa akina Kikwete Lowasa Jaka mwambi nk walikuwa wanajesh wa ngaz za juu tu na zaman ulikuwa huwez kuingizwa jesh kama huna Card ya ccm
 
Eritrea sio Watigray ni Watigrinya na wana mabifu zao za jadi ingawaje mila zao zinafanana. ni kama wapokot na wanandi hapo Kenya. pili hao jamaa ni wabishi hyo vita sio ya kuisha leo. utawashinda leo kesho wanaibuka upya. nchi inazid kuumia tu na maden makubwa wanayodaiwa na mchina. Abiya alifanya makosa kuleta mageuz ya haraka angeenda kwa hatua. watu walioiseti nchi miaka 27 unakuja kubomoa kila kitu kwa wakat mmoja utachemka. ni kama hapa kwetu. hata kama wapinzan wakichukua nchi huwez kuondoa misingi yote ya ccm kwa ghafla.
Ethiopia haijajengwa miaka 27. Ilikiwepo tangu enzi. Walikuwepo viongozo wenye nguvu walioijenga tangu enzi za Menelick II, Haile Selasie n.k
 
Back
Top Bottom