Watu walionya sana PM kuanzisha vita Tigray sasa mambo yamekua mahumu hadi Adis Ababa...sasa ni rasmi ni suala la muda tuu Ethiopoa itakua haitawaliki tena
Sifa tu aonekane anaweza kutatua migogoro mikubwa bila umwagaji damu.Very true. Sijaelewa mpaka leo kwanini waliondoka Makelle na kuruhusu waasi kujikusanya upya.
Na kwanini jeshi lote la Ethiopia hasa la anga linashindwa wadhibiti waasi wanaacha wa-davance watakavyo!
If he really wants to be a Hero he is not supposed to run away. He has to fight.Namuonea huruma abbiy Ahmed alianza vizuri ...uongozi Africa ni kitu kigumu Sana...na pia alikuwa ni mtu wa haki ukiwa mtu wa haki hauwezi kudumu mfano magufuli.ghadafi...wenye nguvu duniani hawataki kuona viongozi wapenda haki na wenye maono mazuri wanataka viongozi wababaishaji ukiwa mkweli na mpenda haki ..Kuna raisi alikuwa wa Zambia alikuwa anaitwa Michael sata naye hakudumu ..Kuna mawili la ufe kabla ya wakati au utapata misukosuko ya Vita ...pole Sana abbiy Ahmed nakushauri kimbia mapema maana yake kifo chako hakipo mbali ..kimbia usife kijana...ghadafi aliambiwa akapuuzia matokeo yake Yuko kwenye udongo Sasa hivi ....kimbia ikiwezekana hata kesho...
Waliosema wanajeshi wa jeshi la serikali kuu wamepigwa ni waasi wenyewe wa Tigray, Walichofanya waasi hapo ni propaganda tu na wewe umezimeza kama zilivyo. Kwenye vita yoyote lazima wanajeshi wafe lakini hiyo haina maana walizidiwa nguvu na waasi. Tigray hawana uchumi wala silaha nzuri kushinda serikali kilichotokea ni hesabu mbovu za Waziri mkuu kushindwa kutatua tatizo kabla halijawa kubwa.Hakutoka kwa hizo unazosema haki za binadam .Jeshi lake lilipigwa vibaya na wanajeshi wengi walipoteza maisha akaamua kuondoka.Mhimu tambua vita ni uchumi na mwenye uchumi mzuri lazima ashinde vita.Watigirey Wana uchumi mkubwa Sana pia wabasapoti kutoka mataifa ya magharibi hivo basi wanaludi Tena kuiongoza Ethiopia.
Vipi hukuziona videos za wanajeshi wa serikali waliotekwa na TPLF?Waliosema wanajeshi wa jeshi la serikali kuu wamepigwa ni waasi wenyewe wa Tigray, Walichofanya waasi hapo ni propaganda tu na wewe umezimeza kama zilivyo. Kwenye vita yoyote lazima wanajeshi wafe lakini hiyo haina maana walizidiwa nguvu na waasi. Tigray hawana uchumi wala silaha nzuri kushinda serikali kilichotokea ni hesabu mbovu za Waziri mkuu kushindwa kutatua tatizo kabla halijawa kubwa.
Niliziona, kwamba hiyo inathibitisha TPLF wana nguvu kuliko SerikaliVipi hukuziona videos za wanajeshi wa serikali waliotekwa na TPLF?
Rais aliyekufa masikini tanzania ni Nyerere tu.Unatumia tu akili bila ushabiki kwaba ni kweli JPM alikua mtu wa haki,hakupenda mali za waTanzania ziende hovyo na alidili na wananchi wanaounga mkono udhalimu wa mabeberu, hao ndiyo wanaoaminisha kwamba JPM hakua mtu wa haki kwa sababu walibanwa,walikua wanaiuza nchi na waliokua wanafaya biashara walikua wakipora kodi ya serikali
Watu msiwe mnaishia ushabiki tu bila kufikiri kwa makini
Rais anakufa kama mwananchi masikini wa kawaida ulisha ona wapi
Si kweli jamaa aliyeongelea bwawa yupo sahihi. Wazungu hawataki kabisa huku Africa uwe na kitu cha kukuendeleza labda kama wanafanya wao kama ilivyokuwa Zimbabwe na South Africa kwenye mashamba.Hakuna cha hujuma za Misri wala wazungu. Ni upumbavu wa karne wa waafrika wa kubaguana kwa ukabila ndio unalitafuna taifa la Ethiopia
Pumbavu kabisa!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah aisee hii comment bora ya uzi na ukaigongee hatimilikiNchi za Kiafrika nafikiri wakati wa kupigania uhuru kuna watu walifanya mazindiko halafu baadae wakasau kuyazindua, maana kila siku kuna kucha na mambo mabaya tu, inawezekana hata kiama kitaanzia Afrika.
Hii kauli inaonyesha serikali ya Abiy imeshindwa na haiwezi tena kuiangamiza Tplf ni bora wazungumze tu.Waziri Mkuu huyo amewataka Raia wote wa Nchi hiyo ambao wanamiliki Siraha Kinyume Cha sheria wazisajiri Siraha zao ndani ya mda wa siku mbili ili kujiandaa kuulinda mji mkuu wa Addis Ababa.
Vita hii inamkono wa Egypt na mabeberu(Ref: bwawa la umeme) na si rahisi kwa PM kusalia madarakani.Waziri Mkuu wa Ethiopia,Abiy Ahmed ametangaza Hali ya hatari nchini kote Ethiopia, hii Ni baada ya wapiganaji wa Jimbo la Tigray wa TPLF kuteka miji miwili ya Dessie na Kombolcha iliyoko Katika Jimbo jirani la Ahmara.
Waasi hao wa Kaskazini mwa Ethiopia ambao wamekuwa wakipigana na vikosi vya SERIKALI kuu ya Addis Ababa kwa mwaka Mmoja Sasa, wanaonesha Nia ya dhati ya kuanza kuushambulia mji mkuu wa Nchi hiyo wa Addis Ababa. Lakini SERIKALI ya Ethipia imesema kuwa bado vikosi vyake vinapambana na wapiganaji hao.
Waziri Mkuu huyo amewataka Raia wote wa Nchi hiyo ambao wanamiliki Siraha Kinyume Cha sheria wazisajiri Siraha zao ndani ya mda wa siku mbili ili kujiandaa kuulinda mji mkuu wa Addis Ababa.
Waasi hao wa TPLF wameungwa mkono na Wapiganaji wa jimbo la Oromo ambao wameonesha Nia ya kumuondoa Waziri Mkuu huyo Madarakani
Msemaji wa TPLF amesema kuwa,Nia yao haikuwa kupigana na vikosi vya SERIKALI nje ya Jimbo lao la Tigray,lakini kutokana na Mzingiro uliwekwa na Serikali ya Addis Ababa dhidi ya Jimbo Hilo umesababisha Ukosefu wa huduma mhimu za kijamii Katika Jimbo Hilo kitu ambao TPLF haiwezi kukubali kuona Wananchi wa Jimbo Hilo wakihangaika kwa kukosa Chakula,Maji na Madawa.