Ethiopia: Waziri Mkuu Abiy Ahmed atangaza hali ya dharura nchini kote

Ethiopia: Waziri Mkuu Abiy Ahmed atangaza hali ya dharura nchini kote

Unatumia tu akili bila ushabiki kwaba ni kweli JPM alikua mtu wa haki,hakupenda mali za waTanzania ziende hovyo na alidili na wananchi wanaounga mkono udhalimu wa mabeberu, hao ndiyo wanaoaminisha kwamba JPM hakua mtu wa haki kwa sababu walibanwa,walikua wanaiuza nchi na waliokua wanafaya biashara walikua wakipora kodi ya serikali

Watu msiwe mnaishia ushabiki tu bila kufikiri kwa makini

Rais anakufa kama mwananchi masikini wa kawaida ulisha ona wapi
wewe ni Jinga lingine la kanda ya ziwa....na nyie sukuma Gang bado moto unafukuta...mmetutesa sana nyie!
 
Enzi za Meles Zenawi, Ethiopia ilikuwa moja ya taifa lenye nguvu kubwa kijeshi kwenye ukanda wa pembe ya Africa na Africa kwa ujumla, kama mnakumbuka kuna kipindi serikali ya Zenawi (kwa ushawishi wa Marekani) ilituma majeshi yake huko Somalia kuuangusha makundi ya wapiganaji wa kiislamu waliounda mahakama za kidini kuendesha nchi.

Cha ajabu baada ya vita na Tplf jeshi hilo linaonekana ni dhaifu sana, sasa ule uwezo wao umekwenda wapi?
Nadhanu sababu moja ni kuwa kipindi hicho sehemu kubwa ya jeshi ilikuwa inashikwa na maofisa wa kitigray. Baada ya kutoka au tuseme kuwa purged kumetokea ombwe la weledi. Lakini bila shaka kuna sababu nyingi.
 
Namuonea huruma abbiy Ahmed alianza vizuri ...uongozi Africa ni kitu kigumu Sana...na pia alikuwa ni mtu wa haki ukiwa mtu wa haki hauwezi kudumu mfano magufuli.ghadafi...wenye nguvu duniani hawataki kuona viongozi wapenda haki na wenye maono mazuri wanataka viongozi wababaishaji ukiwa mkweli na mpenda haki ..Kuna raisi alikuwa wa Zambia alikuwa anaitwa Michael sata naye hakudumu ..Kuna mawili la ufe kabla ya wakati au utapata misukosuko ya Vita ...pole Sana abbiy Ahmed nakushauri kimbia mapema maana yake kifo chako hakipo mbali ..kimbia usife kijana...ghadafi aliambiwa akapuuzia matokeo yake Yuko kwenye udongo Sasa hivi ....kimbia ikiwezekana hata kesho...
Bado unaishi zama zile zile zinduka sasa we bwa mdogo.
 
Tuache masihara jamani.
Hivi Magufuli alikuwa mtu wa haki?
Ni nani alimuondoa Magufuli madarakani?
Ni tatizo lake la moyo au Covid au njama za mabeberu?

Kama una akili au mchunguzi utajua!! Ni swala la muda !! Itakuja kujulikana
 
Tigray ni kama wataleban, born to fight! Yaani hata iwe 100 yrs watakufumua tu.

Pole kwa Aby, Kuna mahali utahitaji soft touch na kwingine u need to use mkono wa kijerumani. Afrika ni tofauti na Ulaya, Sasa ukileta mambo ya uongozi wa kimagharibi utaangukia pua tu.

I loved this guy, but his time is out! Akae pembeni wenye mikono migumu waiongoze nchi ya wagumu!
 
wewe ni Jinga lingine la kanda ya ziwa....na nyie sukuma Gang bado moto unafukuta...mmetutesa sana nyie!
Acha ukuda aisee,jiwe alikua na roho mbya Tena Ile kishenzi lkn upuuzi wake usihusishwe na wasukuma.Nchi hii hakuna kabila lenye watu wema,wakarimu na waastarabu Kama wasukuma.
 
Nadhanu sababu moja ni kuwa kipindi hicho sehemu kubwa ya jeshi ilikuwa inashikwa na maofisa wa kitigray. Baada ya kutoka au tuseme kuwa purged kumetokea ombwe la weledi. Lakini bila shaka kuna sababu nyingi.
Abiy Ni mpuuzi Sana kawatoa jeshini Watigray kibao,kawatoa kwny kazi za serikalini Watigray,kulikua na wanajeshi wa Ethiopia waliokua Kule Darfur wakaitwa na serikali yao kurudi kwao Ethiopia wakakataa na waliotakiwa kurudi walikua Ni Watigray tu.Abiy Ali demand mpk yule boss wa WHO ambae ni mtigray apigwe chini UN ikakataa.

Mshenzi sana yule jamaa
 
Abiy Ni mpuuzi Sana kawatoa jeshini Watigray kibao,kawatoa kwny kazi za serikalini Watigray,kulikua na wanajeshi wa Ethiopia waliokua Kule Darfur wakaitwa na serikali yao kurudi kwao Ethiopia wakakataa na waliotakiwa kurudi walikua Ni Watigray tu.Abiy Ali demand mpk yule boss wa WHO ambae ni mtigray apigwe chini UN ikakataa.

Mshenzi sana yule jamaa
Rais wa Ethiopia yupo kimya kabisa, sijajua kwanini hasemi chochote.
 
Abiy Ni mpuuzi Sana kawatoa jeshini Watigray kibao,kawatoa kwny kazi za serikalini Watigray,kulikua na wanajeshi wa Ethiopia waliokua Kule Darfur wakaitwa na serikali yao kurudi kwao Ethiopia wakakataa na waliotakiwa kurudi walikua Ni Watigray tu.Abiy Ali demand mpk yule boss wa WHO ambae ni mtigray apigwe chini UN ikakataa.

Mshenzi sana yule jamaa
Erdogan alifanya haya pia baada ya jaribio la mapinduzi lilofeli.
 
Erdogan alifanya haya pia baada ya jaribio la mapinduzi lilofeli.
Timing ilikua Ina matter sana, sometimes zile story za mapinduzi ya Erdogan naonaga Kama ilipangwa tu ili aweze kuitimiza azma yake ya panga pangua.
 
Enzi za Meles Zenawi, Ethiopia ilikuwa moja ya taifa lenye nguvu kubwa kijeshi kwenye ukanda wa pembe ya Africa na Africa kwa ujumla, kama mnakumbuka kuna kipindi serikali ya Zenawi (kwa ushawishi wa Marekani) ilituma majeshi yake huko Somalia kuuangusha makundi ya wapiganaji wa kiislamu waliounda mahakama za kidini kuendesha nchi.

Cha ajabu baada ya vita na Tplf jeshi hilo linaonekana ni dhaifu sana, sasa ule uwezo wao umekwenda wapi?
68% ya Wanajeshi wa Ethiopia Tena wale HIGH PROPHILES Ni Kutoka Tigray. Kwahiyo wakati wa Zenawi Tigray ilikuwa Mstari wa Mbele huko Somalia ndio maana wanaogopwa na ALSHABAB hao jamaa.
 
Enzi za Meles Zenawi, Ethiopia ilikuwa moja ya taifa lenye nguvu kubwa kijeshi kwenye ukanda wa pembe ya Africa na Africa kwa ujumla, kama mnakumbuka kuna kipindi serikali ya Zenawi (kwa ushawishi wa Marekani) ilituma majeshi yake huko Somalia kuuangusha makundi ya wapiganaji wa kiislamu waliounda mahakama za kidini kuendesha nchi.

Cha ajabu baada ya vita na Tplf jeshi hilo linaonekana ni dhaifu sana, sasa ule uwezo wao umekwenda wapi?
MeresZenaw naye Ni (mtigrinya) tigray hata uundajinwa jeshi makamanda wengi hasa majenerali walikuwa wakabila lake

Kuwatenganisha watigrinya katika nafas za juu za uongoz n ngumu Sana hao jamaa n kajikabila kadogo Sana lakn kana nguvu za ajabu Sana

N suala la muda TU mh ABIY AHMED ambaye n muoromo kutoka kwa kuuawa ajiuzulu au akimbie nchi

Kumbuka bwana AHMED n MUOROMO kabila lenye watu wengi zaid Ethiopia lakn waoromo wenyewe pia wamemgeuka ndugu Yao hawamtaki wamejiunga na WATIGRAY

SUPPORT kubwa anawategemea waetria ambao nao komapambano n dhaifu Sana kumbuka Eritrea ilikuwa sehemu ya Ethiopia nayo ikajigawa.kutokana na upuuzi huuhuu wa kubaguliwa.katika uongozi
 
Back
Top Bottom