,[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]Russia ameokoa nchi nyingi sana kama Iran na Syria... nchi ambazo mabeberu walitaka kuwamaliza. Ethiopia na hasa huyo waziri mkuu, wameponzwa na hilo bwawa. Mabeberu hawataki Africa wawe na umeme wa uhakika
Hii tabia ya kila shida zenu kuwatupia wazungu ni ya kindezi sana aisee, yaani nchi zote 53 za Africa hamuwezi kushughulikia shida zenu?? Mbona mkisikia kiongozi wenu kapinduliwa na jeshi mnakimbilia kuweka vikwazo??
Wafanye wafanyavyo ila WASIUWE WATU
Si kweli jamaa aliyeongelea bwawa yupo sahihi. Wazungu hawataki kabisa huku Africa uwe na kitu cha kukuendeleza labda kama wanafanya wao kama ilivyokuwa Zimbabwe na South Africa kwenye mashamba.
Ethiopia walipogoma kusitisha kujenga bwawa, nakumbuka Trump alisema kuwa Egypt wakalisambaratishe hilo bwawa. Nakumbuka pia Egypt na Sudan walifanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi. Naona Analysis ikaonyesha itakuwa vita kubwa ndipo wakaamua kutumia njia hii ya kuwatumia wasaliti / mapandikizi. Vifaa na wengi wa majeshi ya waasi wanatoka somewhere...
Hakuna sababu ya kuwazuia Ethiopia kujenga bwawa katika nchi yao kutumia maji kutoka nchini kwao.
Angalia hii!
Dah!...Abiy kaizamisha kabisa Ethiopia....ila mazungumzo ndio njia pekee ya kumaliza huu mzozo.
Hata hao Tplf na Ola wakishinda Vita hawataweza kuleta utulivu na makundi mengine ya jamii bila mazungumzo.
Abiy si alishaanza kuwafunga waoromo wenzake jela,acha wamnyooshe..tplf na Ola/Oromo wakifika addis ababa nani atashika madaraka?
..kabla Abbiy hajaingia madarakani, wakati wa Meles Zenawi, Ola/Oromo walikuwa mahasimu wakubwa wa Tplf.
..Na Abbiy anatokea jamii ya Waoromo sasa inashangaza ndugu zake kumpiga vita.
Na vikwazo vya kiafrica Ni vya kikuda tu huko Mali,Guinea meza zimepinduliwa kibabe na vikwazo uchwara vya kutoka nchi maskini nyenzao vimewekwa lkn wajuba wanadunda tu.Hii tabia ya kila shida zenu kuwatupia wazungu ni ya kindezi sana aisee, yaani nchi zote 53 za Africa hamuwezi kushughulikia shida zenu?? Mbona mkisikia kiongozi wenu kapinduliwa na jeshi mnakimbilia kuweka vikwazo??
Hawawezi msaidia maana wanaona ana mradi mkubwa wa maendeleo ya nishati ya umeme kuliko waoHao TPLF ni genge tu Linalodhaminiwa na Watu Wasiomtaka Abbiy ahmed sadly ni kitu kitafanikiwa kabisa.... Wanamtoa Kama Walivyommaliza Muamar Ghadaf na Wengineo wengi akina Sankara....Ni Jambo la kusikitisha sana sana..Egypt Iko Nyuma ikitoa Mapesa Vifaa na Askari wengi vijana kutoka Ethiopia wasiokua na ajira na. Wengine Eritrea..Wakuu wengi wa Jeshi wamepewa hela wanahujumu . WATAMTOA NA BORA akimbie tu bado kijana ajipange upya...
Bahati Mbaya Afrika hawasaidiani Wanamuacha Mwenzao anakufa hivi hivi tu...
Hizo ni indirect MAAGIZO ndugu yangu we acha tu!hivi uwa mnapata faraja ya kuandika uwongo bila benefit yoyote?.
et trump aliwaaambia Misri wakasambalatishe bwawa!!.
katika ulimwengu wa illusions ilo linawezekanaHizo ni indirect MAAGIZO ndugu yangu we acha tu!